Sababu kuu za Mwakinyo kufungiwa kupigana tena Uingereza

Mwakinyo katuaibisha kama Simba uchawi tu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
hiki ndicho nilichotarajia kwa mwakinyo yaani wazungu hawana masihara kwenye mambo yao aisee, ukiwa mtu wa janja janja, michongo michongo, ubabaishaji na uongo uongo wazungu achana nao kabisa baki na waswahili wenzio ufe uzikwe na maskini wenzio. copy;
 
Ukipata pesa na umaarufu warembo wanajirengesha wanakujaga na magonjwa ni hatari tupu yaan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…