- Thread starter
- #41
Unapinga nnAmefungiwa(suspended) kwa sababu alipoteza kwa TKO.
Ulichoandika hapo ni uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapinga nnAmefungiwa(suspended) kwa sababu alipoteza kwa TKO.
Ulichoandika hapo ni uongo
Mwakinyo katuaibisha kama Simba uchawi tu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Habara za ndani kabisa nimepenyezewa kutoka kwa mdau wa masumbwi huko Uingereza!
Uchunguzi uliofanywa na bodi ya ngumi kutoka Uingereza umebaini kwamba;
1. Mwakinyo Alidanganya "cheat" . uchunguzi umebaini kwamba kiatu alichopewa hakikuwa na madhara yoyote, hata hivyo alipatiwa kabla ya siku ya pambano hivyo alikijaribu na kujiridhisha kipo sawa!
Mdau alizidi kusema kitendo cha mwakinyo kusema alichezewa mchezo kwa kupewa kiatu kinachobana ni kashfa kwa bodi ya ngumi Uingereza ambayo ililenga kuichafua taswira ya ngumi nchini humo!
Hivyo mwakinyo kafungiwa kucheza michezo ya ngumi Uingereza kwa mujibu wa kanuni zinazozingatia 'Fair play"
2. Sababu ya pili iliyogundulika ni mazingira ya kuuza mechi! Hili nalo limechangia Mwakinyo afungiwe
3. Sababu ya tatu ni taarifa za kitabibu kutoka maabara ya uwanja wa ndege zilizobaini begi la Mwakinyo halikuwa na vitu vya kawaida kimchezo ambavyo vimetafsiliwa ni ushirikina katika mchezo.
View attachment 2360556
Mwakinyo katuaibisha kama Simba uchawi tu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
hiki ndicho nilichotarajia kwa mwakinyo yaani wazungu hawana masihara kwenye mambo yao aisee, ukiwa mtu wa janja janja, michongo michongo, ubabaishaji na uongo uongo wazungu achana nao kabisa baki na waswahili wenzio ufe uzikwe na maskini wenzio. copy;Habara za ndani kabisa nimepenyezewa kutoka kwa mdau wa masumbwi huko Uingereza!
Uchunguzi uliofanywa na bodi ya ngumi kutoka Uingereza umebaini kwamba;
1. Mwakinyo Alidanganya "cheat" . uchunguzi umebaini kwamba kiatu alichopewa hakikuwa na madhara yoyote, hata hivyo alipatiwa kabla ya siku ya pambano hivyo alikijaribu na kujiridhisha kipo sawa!
Mdau alizidi kusema kitendo cha mwakinyo kusema alichezewa mchezo kwa kupewa kiatu kinachobana ni kashfa kwa bodi ya ngumi Uingereza ambayo ililenga kuichafua taswira ya ngumi nchini humo!
Hivyo mwakinyo kafungiwa kucheza michezo ya ngumi Uingereza kwa mujibu wa kanuni zinazozingatia 'Fair play"
2. Sababu ya pili iliyogundulika ni mazingira ya kuuza mechi! Hili nalo limechangia Mwakinyo afungiwe
3. Sababu ya tatu ni taarifa za kitabibu kutoka maabara ya uwanja wa ndege zilizobaini begi la Mwakinyo halikuwa na vitu vya kawaida kimchezo ambavyo vimetafsiliwa ni ushirikina katika mchezo.
View attachment 2360556
Mtu kazi anakwambia bondia inabidi upambane upigwe ufie ulingoniMandonga atosha.
Zipo nyingi sana hiyo ni miongoni tuSababu kuu itakua hiyo ya tatu.
Yule sio wa kumsikiliza yule.Mtu kazi anakwambia bondia inabidi upambane upigwe ufie ulingoni
Ukipata pesa na umaarufu warembo wanajirengesha wanakujaga na magonjwa ni hatari tupu yaanhiki ndicho nilichotarajia kwa mwakinyo yaani wazungu hawana masihara kwenye mambo yao aisee, ukiwa mtu wa janja janja, michongo michongo, ubabaishaji na uongo uongo wazungu achana nao kabisa baki na waswahili wenzio ufe uzikwe na maskini wenzio. copy;
Akipata mwalimu mzuri angalau anajua kupambana hadi kufa ulingoniYule sio wa kumsikiliza yule.
Tumtume Jijini Liverpool akazidunde.Akipata mwalimu mzuri angalau anajua kupambana hadi kufa ulingoni
Apigwe brush kwanza la sivyo tutampoteza bado tunamhitajiTumtume Jijini Liverpool akazidunde.
Atakuwa maulid kitengeMbona source ya habari umeificha.
Watanga na ushirikina ni sawa na uji na mgonjwaSababu kuu itakua hiyo ya tatu.
Tiba asiliaWatanga na ushirikina ni sawa na uji na mgonjwa
Uchawi uchawi tuTiba asilia
Kazi na dawaUchawi uchawi tu
Huko hakuna ujinga ujinga wa kiswahili, uwongo uwongo na upuuzi upuuzi wawe wanauacha huku.Kwaiyo Begi halikusaulika kama alivyodai ila lilizuiwa?