Sababu nne za kuweka mali kwenye jina la Mama badala ya mpenzi

Sababu nne za kuweka mali kwenye jina la Mama badala ya mpenzi

ukweli haupingiki wanaume tupo kwenye vita na wanawake kupitia ndoa, hawa wanaojifanya kama hawajui yanayoendelea ulimwenguni kwa sasa wanashangaza.
dunia na sheria zote duniani zipo kumkandamiza mwanaume.
inabidi uwe na mbinu za kutosha kupambana wakati unapozidiwa utoke.
wanawake watulivu ni wazamani sio hawa wa sasa tunaokumbana nao.
TAKE CARE NDOA NI VITA HATA AKUONYESHE ANAKUPENDA VIPI.
Noma sana!
 
asante sana!!! ila kwa sasa sina mpango wa kuishi tena na mwanamke wa aina yoyote,,,yaliyonitokea ni JINAMIZI zito sana!!!!,,,,,,,,,,,,nilikuwa najiuliza kwa nini YESU KRISTO hakuoa,,,,nikagundua inawezekana alipoona yaliyomkuta ADAM kwa EVA,na yaliyomkuta SAMSON kwa DELILA,akaona bora aishi KISELA tu!!!!,,nae mtume MUHAMMAD S.W.S...akaona dawa yao ni moja tu!!!,,,kuwaoa wengi ili waoneane WIVU,,na kweli kabisa wanaume waliooa wanawake wengi,,hauwezi kusikia wanapata misukosuko,kwani mwanaume akiona zuwena anazengua anaenda kwa halima,akiona asha anazengua anahamia kwa jasmini...mtume MUHAMMAD aliona mbali sana!!!!{amani iwe juu yake]
Pole sana Mkuu
 
Mimi nimejifunza mali zangu simuamini mtu yoyote. Naandika kila kitu jina langu na sioi. Kwanini nimuoe mtu ambaye hatuaminiani? Kwani mi bwege?
 
Mimi nimejifunza mali zangu simuamini mtu yoyote. Naandika kila kitu jina langu na sioi. Kwanini nimuoe mtu ambaye hatuaminiani? Kwani mi bwege?
Pole mkuu
 
Na mama akifa uanze kugombea mali zako na ndugu zako kwenye mirathi.

Watu wenye tamaa za mali wapo kilamahali, hakuna njia za mkato kwenye hili swala
 
Na mama akifa uanze kugombea mali zako na ndugu zako kwenye mirathi.

Watu wenye tamaa za mali wapo kilamahali, hakuna njia za mkato kwenye hili swala
Kipi bora ugombanie mali na ndugu zako au na mwanamke wako!?
 
Kweli mkuu, watakugeuka ubaki na machozi. Halafu uone watu wanalewea pombe pesa zako.
Kwa wanaume hii ni bora zaidi kuliko kuona mwanamke anachukua ½ ya mali
 
Mamaako ni mke wa mtu akifa yeye anachukua Mali zote mumewe(huyo mumewe anaweza kuwa babaako au asiwe)

Kama Hana Mume (single mother au Mjane) ikatokea amedondoka Mali zote zitagawanywa pasu kwa pasu kwa ndugu mliozaliwa wote kwa huyo Mama..

Mali ni kwaajili yako MWENYEWE.
Mali ni kwaajili ya watoto na kizazi chako.
Huwa nasema heri mali zangu wale ndg zangu kuliko mwanamke ale na mwanaume mwingine HAPANA ASEE.kati ya hao ndg 4 watakaogawana namimi nimo pia kwenye mgawao pia bado ndg wote sio vichaa kuna uwezekano mkubwa sana leo ama kesho wakasaidia watoto wangu nikipita kushoto kwa sir god. Baba mwache ale mali ya kijana wake anibariki.

Mimi nimezaa nje huwa stumi hela mtoto anabima afya. mahitaji kama nguo huwa nanunua mwenyewe au dada yangu anaenda kununua mwenyewe anapeleka.

Siwezi tuma hela akainunue samaki ampikie supu bwana yake wale usiiku kucha wapelekeane moto kwa hela yangu.
 
Huo ni utoto tu.

Umeshatoka kwa mama yako dogo, fanya maisha yako anzisha maisha yako.

Mama yako ni binadamu kama alivyo mkeo. Kuna mama vichaa na mama wazuri. Mfanye mkeo awe mke bora.
Hadi unafikia umri wa kuoa bado hujajua akili ya mama ilivyo?
 
Ndoa zimeshakuwa za kuviziana,mtume Paul alikuwa na maono ya mbali sana,aliposema kama hujaoa ni vema ukawa kama yeye bila ya mke...
Yule alikuwa na familia tena ya wake wengi. Sifa kuwa farisayo lazima uwe na mke na paul alikuwa kiongozi tegemewa huwezi kuwa bachelor halafu uende mkutanoni huko sanderin
 
Back
Top Bottom