asante sana!!! ila kwa sasa sina mpango wa kuishi tena na mwanamke wa aina yoyote,,,yaliyonitokea ni JINAMIZI zito sana!!!!,,,,,,,,,,,,nilikuwa najiuliza kwa nini YESU KRISTO hakuoa,,,,nikagundua inawezekana alipoona yaliyomkuta ADAM kwa EVA,na yaliyomkuta SAMSON kwa DELILA,akaona bora aishi KISELA tu!!!!,,nae mtume MUHAMMAD S.W.S...akaona dawa yao ni moja tu!!!,,,kuwaoa wengi ili waoneane WIVU,,na kweli kabisa wanaume waliooa wanawake wengi,,hauwezi kusikia wanapata misukosuko,kwani mwanaume akiona zuwena anazengua anaenda kwa halima,akiona asha anazengua anahamia kwa jasmini...mtume MUHAMMAD aliona mbali sana!!!!{amani iwe juu yake]