Sababu nne za kuweka mali kwenye jina la Mama badala ya mpenzi

Sababu nne za kuweka mali kwenye jina la Mama badala ya mpenzi

Hauwezi lakini Ukwel ni kwamba mbegu ilitumika kuunda mtoto , sio ya mume mtu ila ni ya bwana x .
Na hata kisayansi itasema hivyo hivyo 😃 DNA doesnt acknowledge step dads
 
Na hata kisayansi itasema hivyo hivyo 😃 DNA doesnt acknowledge step dads
Huu ni ukwel na huwa kuusema ni mchungu kwamba umechapiwa na unapambana kutunza watoto ambao sio wako kwa kujifariji eti shamba ni lako🤣🤣
 
Huu ni ukwel na huwa kuusema ni mchungu kwamba umechapiwa na unapambana kutunza watoto ambao sio wako kwa kujifariji eti shamba ni lako🤣🤣
Kabsa watu wanajipatia faraja kwenye manii sizizo zao
 
Ila humu [emoji19] hivi hata kuna sababu gani ya kuwa na mwenza kama unakuwa na mawazo kama haya? Hivi kuwa na partner doesn't means to flourish and grows together? Tujifunze kutengeneza na tulionao. Kama haiwezekani ni bora kila mmoja ashike njia yake. Ifike mahali tuache kuishi kinafki. Wakati wewee ukiwa unatafuta hizo unazoita mali huyo ke wako si anakuwa anabkubebea mimba, kukuzalia na kukulelea watoto?
Kukubebea mimba, kukuzalia na kukulelea watoto. Hii kauli huwa sipendi kuisikia. Hivi hao watoto mnaojivunia mnatuzalia sijui kutulelea sijui na kufanyajefanyaje, si ndiyo hao hao wakiwa wakubwa mnajimilikisha na kuhamisha upendo wa baba muonekane ni nyie tu ndiyo mnaowapenda. Mnataka vipato vyao viwanufaishe nyie tu. Moja ya faida anazopata mwanaume kutokana na hao watoto ni kutengwa uzeeni. Sasa mwanaume anajivunia nini juu ya huo uzao mnaoutumia kutafuta huruma za mwanaume. Hivi mbona hamueleweki nyie wanawake mnataka nini?!!

Kwenye mada kwenyewe inaelezwa jina la mali za mwanaume ziandikwe kwa jina la mama yake kwa nini isiwe baba yake?!! Ama kweli kila mtu atachanganyikiwa kwa wakati wake

Wanaume tumesahaulika sana
 
Sisi ngozi nyeusi Hilo ni Hatarii zaidi,akianguka tu mama umekwisha.Ndugu zako wanapasua zote watoto wanapotezaa!
 
Kukubebea mimba, kukuzalia na kukulelea watoto. Hii kauli huwa sipendi kuisikia. Hivi hao watoto mnaojivunia mnatuzalia sijui kutulelea sijui na kufanyajefanyaje, si ndiyo hao hao wakiwa wakubwa mnajimilikisha na kuhamisha upendo wa baba muonekane ni nyie tu ndiyo mnaowapenda. Mnataka vipato vyao viwanufaishe nyie tu. Moja ya faida anazopata mwanaume kutokana na hao watoto ni kutengwa uzeeni. Sasa mwanaume anajivunia nini juu ya huo uzao mnaoutumia kutafuta huruma za mwanaume. Hivi mbona hamueleweki nyie wanawake mnataka nini?!!

Kwenye mada kwenyewe inaelezwa jina la mali za mwanaume ziandikwe kwa jina la mama yake kwa nini isiwe baba yake?!! Ama kweli kila mtu atachanganyikiwa kwa wakati wake

Wanaume tumesahaulika sana
Your life your choice neno langu sio sheria
 
Hawawezi Atoto , wataoa, tutaishi kwenye nyumba zao na wataanza kufa wao watuache tunakula mali! Hizi mada za kujipa moyo tu
🤣🤣🤣🤣 na wanaohangaika na kujipa moyo ni hawa ndugu zetu wasio hata na mia mbovu. Hapo kapanga chumba na sebule hukoo uswekeni na ana mke na watoto wanne. Hata hizo mali za kumuandika mama hana🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Unaandika mali zako jina la mama yako. Unawahi kufa, mama yako anafariki siku chache baadae.
Ndugu zako wanakuja kugawana mali za mama yao, watoto wako wanabakia kuwa machokoraa.
Akili ya kuambiwa changanya za zako, usioe gold digger. Oa mwanamke ambaye unajua mtapambana pamoja, na mtazeeka pamoja.
kwani huyo gold digger anajitambulisha kuwa yeye ni gold digger?,...
 
Ni vyema ukajua aina ya mwenzi uliyenaye,kukosea kuchagua mwezi ni shida yako.
Ila nikukumbushe tu mwenzi wako hawezi kuwatelekeza watoto wako.
Sasa utaamua nduguzo waanze kugombania hizo mali au mkeo akutunzie watoto wako.
 
Kuna watu waliwahi kujenga nyumba kwenye kiwanja cha baba zao; watoto wote wanajua nyumba ilijengwa na ndugu yao, picha linaanza sasa, Mzee kafariki; wale wale uliokua unadhani ni ndugu zako wanadai nyumba ni ya familia, sasa may be na wewe ndio kipato kimekata, umerudi kwenye nyumba yako..., utajua hujui.
Anyway, unajua kinacho endelea kwa mtoto wa Dr. Mwele Malecela? Bro, hi ni Tanzania, usije uka copy huko na ku paste huku. Naona ume attach na picha ya Hakimi, usisahau pia kupitia historia ya yule mchezaji wa Togo, sijui ni Emmanuel Ebue? Kamsome some nae, ana kitu cha kujifunza kwake
 
Back
Top Bottom