Sababu nne za kuweka mali kwenye jina la Mama badala ya mpenzi

Sababu nne za kuweka mali kwenye jina la Mama badala ya mpenzi

Kuliko kuwapa ndugu mali wa kazipigie totozi bora uzikabithi parokiani tu waendelee kuzipigia kondooo🤣

Andika majina ya watoto kama humuamini yeyote.

Mtoto akitumia vibaya ni juu yake lakini wewe kama Baba ulimuachia urithi kulingana na uwezo wako.

Ni jukumu la Baba kuacha urithi kwa kizazi chake.

Huko Kanisani nako hakuna maana kihivyo. Ni Sawa umepoteza nguvu bure na hukujua kwa nini unapambana kutafuta Mali
 
Mamaako ni mke wa mtu akifa yeye anachukua Mali zote mumewe(huyo mumewe anaweza kuwa babaako au asiwe)

Kama Hana Mume (single mother au Mjane) ikatokea amedondoka Mali zote zitagawanywa pasu kwa pasu kwa ndugu mliozaliwa wote kwa huyo Mama..

Mali ni kwaajili yako MWENYEWE.
Mali ni kwaajili ya watoto na kizazi chako.
Baelezee baelezee.
 
Andika majina ya watoto kama humuamini yeyote.

Mtoto akitumia vibaya ni juu yake lakini wewe kama Baba ulimuachia urithi kulingana na uwezo wako.

Ni jukumu la Baba kuacha urithi kwa kizazi chake.

Huko Kanisani nako hakuna maana kihivyo. Ni Sawa umepoteza nguvu bure na hukujua kwa nini unapambana kutafuta Mali
Unaweza kuandika majina ya watoto ukakuta hata watoto sio wako ni wamwafulani tu na anakuchora🤣🤣
 
Unaweza kuandika majina ya watoto ukakuta hata watoto sio wako ni wamwafulani tu na anakuchora🤣🤣

Huo sasa ni uzembe wako/wangu.
Lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa watu huhangaika usiku na mchana kwaajili ya maisha yao na maisha ya kizazi chao sio kizazi cha ndugu.
Ingawaje unaweza kusaidia ndugu zako na jamii lakini haiondoi wajibu wako WA msingi ambao unakufanya kila siku uamke asubuhi.

Matajiri wote Wakubwa wengi wao walipambaniwa na wazazi wao na sio ndugu za wazazi wao.
Wengi wamerithi Mali za wazazi wao na sio kupewa zawadi na ndugu za wazazi wao.
 
Unaweza kuandika majina ya watoto ukakuta hata watoto sio wako ni wamwafulani tu na anakuchora🤣🤣
Ndo utajua haujui 😃 halafu watoto wakiwa wakubwa wanakufungulia kesi ya unyanyasaji wa kingono, shahidi ni mama yao 😃 😀
 
Huo sasa ni uzembe wako/wangu.
Lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa watu huhangaika usiku na mchana kwaajili ya maisha yao na maisha ya kizazi chao sio kizazi cha ndugu.
Ingawaje unaweza kusaidia ndugu zako na jamii lakini haiondoi wajibu wako WA msingi ambao unakufanya kila siku uamke asubuhi.

Matajiri wote Wakubwa wengi wao walipambaniwa na wazazi wao na sio ndugu za wazazi wao.
Wengi wamerithi Mali za wazazi wao na sio kupewa zawadi na ndugu za wazazi wao.
Ni kwel mkuu ila binafsi assist huwa najitolea mimi kwanza nifunge goli kabla ya kutoa kwa mwingine 🤣🤣
 
Ndo utajua haujui 😃 halafu watoto wakiwa wakubwa wanakufungulia kesi ya unyanyasaji wa kingono, shahidi ni mama yao 😃 😀
Mapaja na vidari ni vya baba kwanza nyie wengine mtakula hivyo vingine bwashee🤣
 
Watahakikisha unafungwa maisha au kunyongwa kabsa
Wakati una pita Buchani kuchukua nyama ya familia hakikisha unakata ya kidari kwanza uchomewe hapo hapo, kaa kula shushia na tubia tu wili kwanza then ndio upeleke ya nyumbani sasa 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom