Sababu nne za kuweka mali kwenye jina la Mama badala ya mpenzi

Sababu nne za kuweka mali kwenye jina la Mama badala ya mpenzi

Wakati una pita Buchani kuchukua nyama ya familia hakikisha unakata ya kidari kwanza uchomewe hapo hapo, kaa kula shushia na tubia tu wili kwanza then ndio upeleke ya nyumbani sasa 🤣🤣🤣
Hii cheat code nimeipenda
 
Nikiandika wanangu Kuna shida gani..?!
Ni nzuri lkn iwe kwa mtoto unaeelewana nae alasivyo cha mtoto ni cha mama, maana watoto huamini kwa mama ndio salama kama ambavyo hapa tunajadili kumrithisha mama!.

so ukimrithisha mtoto, mtoto nae anaweza kumpa mama yake ambae wewe hutaki hizo mali ziende kwake!..😀
 
Inamana sie wababa ndio hamtuoni kabisa, yan tunatumia nguvu zetu zote zaujana kuwapambania mpate maisha ila nyie hamtuamini kusimamia mali zenu daaah
 
Ni nzuri lkn iwe kwa mtoto unaeelewana nae alasivyo cha mtoto ni cha mama, maana watoto huamini kwa mimi ndio salama kama ambavyo hapa tunajadili kumrithisha mama!.

so ukimrithisha mtoto, mtoto nae anaweza kumpa mama yake ambae wewe hutaki hizo mali ziende kwake!..😀
Umetisha sana Mkuu
 
Ila humu 😒 hivi hata kuna sababu gani ya kuwa na mwenza kama unakuwa na mawazo kama haya? Hivi kuwa na partner doesn't means to flourish and grows together? Tujifunze kutengeneza na tulionao. Kama haiwezekani ni bora kila mmoja ashike njia yake. Ifike mahali tuache kuishi kinafki. Wakati wewee ukiwa unatafuta hizo unazoita mali huyo ke wako si anakuwa anabkubebea mimba, kukuzalia na kukulelea watoto?
Vipi kama hatuna watoto na tulikubaliana hakuna kuzaa hapa ni kugegeduana tuu
 
Vipi kama hatuna watoto na tulikubaliana hakuna kuzaa hapa ni kugegeduana tuu
Tafuteni mwanasheria na mkubaliane na kusaini prenup mapema kabsa 😃 kama alikukuta upo point 4.8 na sasa upo 5.1 na mkazinguana na kutalikiana basi anachukua 0.3 hiyo chap
 
Hasara nne za nguvu kuficha mali kwa jina la mama
1.Mama akiingia tamaa umeliwa
2.Mama yako akifa mali zake(ambazo ni zako) kuingia kwenye mgawanyo wa milathi.
3.Mama yako kama kaolewa na baba wa kambo ikitokea kifo mali zako zitamfaidisha mtu asie sahihi
4.Mali zako zikiingia kwenye mgogoro mama yako na uzee wake atatakiwa asimame kupambana yeye maana sheria haikutambui wewe
5.Akiumwa akawa hajitambui au karukwa na akili huwezi kupata access ya mali zako hili haswa kwenye acc
6.Mama akikumbwa ama kukutana na seke seke la TAKUKURU,MONEY LAUNDRYING mama anaweza akashindwa kujustfy hizo hela uhalali wake so unaweza msababishia mama kesi na kufungwa
7.Liability au hatia yoyote itayojitokeza kuhusu mali mama ndie ataetakiwa ajibu mfano Gari lako limegonga mtu ila lina jina la mama atajibia yeye nyumba or airbnb imepangishwa muuza ngada,gari imebeba wahamiaji haramu,nyumba kukutwa na wahamiaji haramu mama itamtaka ajibu hizo shutuma.
Anyway yapo mengi sema watu wengi wanaipenda hii mada ila hawana vya kuficha zaidi ya aibu zao ha ha ha mfano mimi labda nikafiche kwa mama ki stuli(stool)
 
Unaweza kuandika majina ya watoto ukakuta hata watoto sio wako ni wamwafulani tu na anakuchora🤣🤣


Nijuavyo mzazi ni yule aliye lea; namaanisha aliyekaa na mtoto tangia uchanga/udogo, akimlea, kumsomesha nk
Hata hivyo mtu akijichanganya akazaa na mke wa mtu, ajue hana haki yoyote kisheria na mtoto aliyezaliwa
 
Hasara nne za nguvu kuficha mali kwa jina la mama
1.Mama akiingia tamaa umeliwa
2.Mama yako akifa mali zake(ambazo ni zako) kuingia kwenye mgawanyo wa milathi.
3.Mama yako kama kaolewa na baba wa kambo ikitokea kifo mali zako zitamfaidisha mtu asie sahihi
4.Mali zako zikiingia kwenye mgogoro mama yako na uzee wake atatakiwa asimame kupambana yeye maana sheria haikutambui wewe
5.Akiumwa akawa hajitambui au karukwa na akili huwezi kupata access ya mali zako hili haswa kwenye acc
6.Mama akikumbwa ama kukutana na seke seke la TAKUKURU,MONEY LAUNDRYING mama anaweza akashindwa kujustfy hizo hela uhalali wake so unaweza msababishia mama kesi na kufungwa
7.Liability au hatia yoyote itayojitokeza kuhusu mali mama ndie ataetakiwa ajibu mfano Gari lako limegonga mtu ila lina jina la mama atajibia yeye nyumba or airbnb imepangishwa muuza ngada,gari imebeba wahamiaji haramu,nyumba kukutwa na wahamiaji haramu mama itamtaka ajibu hizo shutuma.
Anyway yapo mengi sema watu wengi wanaipenda hii mada ila hawana vya kuficha zaidi ya aibu zao ha ha ha mfano mimi labda nikafiche kwa mama ki stuli(stool)
Ukimwandika mama kwenye mali zako hakikisha nayeye amekuandika wew kama mrithi pekee wamali zake
 
Nijuavyo mzazi ni yule aliye lea; namaanisha aliyekaa na mtoto tangia uchanga/udogo, akimlea, kumsomesha nk
Hata hivyo mtu akijichanganya akazaa na mke wa mtu, ajue hana haki yoyote kisheria na mtoto aliyezaliwa
Huyo ni mlezi mkuu na sio mzazi , mzazi lazima viungo vyako vya uzazi vihusike.
 
Nijuavyo mzazi ni yule aliye lea; namaanisha aliyekaa na mtoto tangia uchanga/udogo, akimlea, kumsomesha nk
Hata hivyo mtu akijichanganya akazaa na mke wa mtu, ajue hana haki yoyote kisheria na mtoto aliyezaliwa
Na yule ambaye DNA inamtambua na wakati mwingine mpaka Dawati la Jinsia linampeleka mahakamani yeye ni baba au mzazi mwenza!??
 
Back
Top Bottom