Sababu nne za kuweka mali kwenye jina la Mama badala ya mpenzi

Kwahiyo ni heri apige mali manzi kuliko mshua wa kambo!?

Mali ni zako.
Mali zinamaana kama ataitumia mwanao tena kwa AKILI.

Mkeo akirithi possibility ya watoto uliozaa naye kufaidika ni kubwa Sana.
Lakini wengine wote akiwemo mamaako, babaako, ndugu zako hawawezi kufaidisha watoto wako.

Kama Mkeo hamna watoto angalau hoja hii inaweza Kupata nguvu.

Kama wewe ni mgumba na umezaliwa pekee yako kwa Mamaako Basi andika Mamaako kwenye hizo Mali.

Watoto hawana haki ya kudai Mali zozote kwa Bibi yao(Mama yako) lakini wanahaki ya kudai Mali kwa mama Yao(Mkeo) ikiwa wewe Baba yao uliacha Mali
 
Ni ubinafsi uliokothiri wa aidha mume au mke. Hiyo ndiyo sababu kuu
 
ukweli haupingiki wanaume tupo kwenye vita na wanawake kupitia ndoa, hawa wanaojifanya kama hawajui yanayoendelea ulimwenguni kwa sasa wanashangaza.
dunia na sheria zote duniani zipo kumkandamiza mwanaume.
inabidi uwe na mbinu za kutosha kupambana wakati unapozidiwa utoke.
wanawake watulivu ni wazamani sio hawa wa sasa tunaokumbana nao.
TAKE CARE NDOA NI VITA HATA AKUONYESHE ANAKUPENDA VIPI.
 
Bora hivyo kuliko achukue mwanamke niliyekutana naye ukubwani

Aliyekuzalia watoto.
Huyo Mamaako anaubavu wa kukuzalia hao watoto ili upate kizazi hapa duniani?

Kama wewe ni mgumba upo sahihi kumpa Mama Mali zako zote lakini kama unakizazi na mmezaliwa wengi huo uamuzi haujawahi kuitwa uamuzi wa HEKIMA.

Uamuzi huo ni kwa kina John Cena na wanaume wote ambao hawajapata watoto.
 
Mwanamke ni rafiki yangu wa ukubwani....na sio ndugu yangu
 
Tangu Lini ndugu wakarithi Mali?

Wanaorithi Mali ni Watoto.
Kama watoto ni wadogo Mkeo ndio atakuwa msimamizi wa Mali hizo.

Ndugu na Mama yako hawawezi na hawana haki ya kurithi Mali zako
Mimi mali zangu nitawaandika mama yangu ili ndugu zangu waje kurithi.....watoto wangu watarithi kwenye mgao huo
 
Je mkipata divorce halafu mke akapewa watoto inakuwaje!?
Siku yaja ambapo utataka umeze hizi theory zako ila utakuwa umechelewa sana😄😄😄😄

Huyo huyo mke wako unashupaza naye shingo yeye akiwa na mali wewe utakuwa mtu wa mwisho huko kwenye list ya warithi.

Wake up my friend!!!!Najua upo kwenye pick ya ujana na ndoa ila graph ikianza kushuka utayaelewa haya yote kwa mapana🙏

Maisha ya mwanaume ni mafupi sana kama mbio za vijiti,make sure ww ni HUSEIN BOLT and not otherwise maana itakuwa hasara sana katika historia yako ya maisha.
 
Jichanganye, utakuja na uzi hapa wa malalamiko hapa. Ndugu wa Kiafrika tunawajua sana, unaweza ukatokea ugomvi huo hadi mwenye mali ukarestishwa in peace. Mimi siwezi kufanya huo ujinga, kama sio kuandikisha watoto basi bora niache liwalo na liwe. Bora kugawana wawili kuliko kundi la watu.
 
Unaandika mali zako jina la mama yako. Unawahi kufa, mama yako anafariki siku chache baadae.
Ndugu zako wanakuja kugawana mali za mama yao, watoto wako wanabakia kuwa machokoraa.
Akili ya kuambiwa changanya za zako, usioe gold digger. Oa mwanamke ambaye unajua mtapambana pamoja, na mtazeeka pamoja.
 
Mali zako andika jina lako mwenyewe, ukiandika jina lako hata ikitokea mwenza mmeachana mtagawa 50/50 utabakiwa na kitu.

Hasara za kuandika majina ya mama, ndugu, ikitokea mama ameenda utapata mgao kidgo kutokana na Mali zilizopo au usipate kbsaa.

Au ukiandika wanao , watoto wa sasa wengi Hawana huruma watakutimua kwenye Mali zako mwenyewe hutobaki hata na mia.

Na kwanini uhangaike kuandika watu wengine wakati uliyehenyeka ni wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…