Sababu nne za kuweka mali kwenye jina la Mama badala ya mpenzi

Kipi bora mkuu! Pesa yako ipigwe na ndugu zako au mwanamke ambaye atakwenda kula na mwanaume mwingine!?? Kipi bora Mercedes-Benz yako aendeshe ndugu yako au aendeshe Mwanaume mpya wa ex wako!??
 
Mimi mali zangu watarithi mke wangu,watoto na shemeji zangu,
Nb:samahani sana msije kusema nimerogwa
 
Kwa dunia ya sasa hakuna nafuu wala afadhali unaweza muamini huyo Mzazi wako na mwisho wa siku akakuzingua vile vile.
Mzazi kukuzingua ni mara chache sana tofauti na wanawake ambao daily wanasababisha majanga kwa wanaume sababu ya mali.
 
Sasa mnaoa ya kazi gani Mkuu?

Si mkae single tu.
Kuoa tunaoa ila Tumeambiwa tuishi nao kwa akili kwa experience yangu ndogo jamaa zangu kadhaa ndoa zao ziliharibika kwa sababu ya migogoro iliyoanzia kwenye mali, mwisho wa siku wanaachana na wanaume kuanza upya.
 
Da!!!,wanawake wamekuwa pasua kichwa sana jamaa!!!,,,,yaani wamekuwa majambazi,,,,,yaani mimi nawaogopa sana,tangu mwenzangu abebe kila ki2 cha ndani,kuanzia fenicha,mafriji,vitanda,magodoro,vitanda,jiko la gesi na m2ngi wake,yaani kila ki2,yhen 2ulikuwa na duka la samaki jumla na rejareja pale banana akahamishia hilo duka sehemu anayoijua yeye na yeye kwenda kupanga sehemu anayoijua mwenyewe{sikutaka kupajua na wala sina mpango wa kupajua],,,,kiukweli nimekufa ganzi kabisa!!! yaani ata nikipanda usafiri wa umma kama daladala akaja mdada kukaa karibu yangu,,,,nasjihisi kama atanichomolea pesa mfukoni,,,then naanza kutoka jasho la hofu huku mwili ukinitetemeka!!!!,,,,,,,,,,kimsingi "IDON'T LOVE THEM AT ALL"...da!!! kudadadadadadadeq!!
 
Pole yako Mkuu! Kikubwa sasa hivi ni kusaini prenup pekee 😔 tunatafuta mwanasheria anakula elfu 50 mnatia saini kabsa
 
Kuoa tunaoa ila Tumeambiwa tuishi nao kwa akili kwa experience yangu ndogo jamaa zangu kadhaa ndoa zao ziliharibika kwa sababu ya migogoro iliyoanzia kwenye mali, mwisho wa siku wanaachana na wanaume kuanza upya.
Sheria za ndoa huwa inampa advantage mwanamke wa kwanza kabsa
 
Pole yako Mkuu! Kikubwa sasa hivi ni kusaini prenup pekee 😔 tunatafuta mwanasheria anakula elfu 50 mnatia saini kabsa
asante sana!!! ila kwa sasa sina mpango wa kuishi tena na mwanamke wa aina yoyote,,,yaliyonitokea ni JINAMIZI zito sana!!!!,,,,,,,,,,,,nilikuwa najiuliza kwa nini YESU KRISTO hakuoa,,,,nikagundua inawezekana alipoona yaliyomkuta ADAM kwa EVA,na yaliyomkuta SAMSON kwa DELILA,akaona bora aishi KISELA tu!!!!,,nae mtume MUHAMMAD S.W.S...akaona dawa yao ni moja tu!!!,,,kuwaoa wengi ili waoneane WIVU,,na kweli kabisa wanaume waliooa wanawake wengi,,hauwezi kusikia wanapata misukosuko,kwani mwanaume akiona zuwena anazengua anaenda kwa halima,akiona asha anazengua anahamia kwa jasmini...mtume MUHAMMAD aliona mbali sana!!!!{amani iwe juu yake]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…