Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
😂 hujawai kunijibu hiyo baadae[emoji1787] nitakujibu badae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 hujawai kunijibu hiyo baadae[emoji1787] nitakujibu badae.
Leo nitakujibu bila kukosa [emoji41][emoji23] hujawai kunijibu hiyo baadae
Wewe ndio umesema ukweli kabisa na kutoboa siri ya wanawake wote.Wanawake wengi hawapendi kuwa na mahusiano na wanaume weupe. Sababu zangu mimi binafsi naona mwanaume mweupe ananifunika. Yeye anaonekana zaidi kuliko mimi. Mimi maji ya kunde.
Nataka mwanaume awe mweusi tunapokuwa pamoja nionekane mimi kwanza. Ila kwenye kuzaa nataka nizae na mwanaume mweupe. Kwa kweli napenda mtoto awe na rangi ya mtume.
Kuna raha sana kuwa na mtoto mweupe not black magenta. Ingawa pia napenda wanaume weupe coz ni wasafi na wanajipenda sana. Kuliko black magenta. Ile ya kusema napenda tolu and black. U black ni sababu tu sitaki mwanaume awe mzuri kunizidi.
Mikoa ya kwetu , sisi wanyamwezi tunapenda sana weupe. Hata wanaume weupe tunawapenda sana. Wanavutia wana kuwa mashallah... Rangi ya mtume. Ublack tunauongelea tu in public... Tena ukipata half cast weeeeeh.....
Raha yake acha tu.
Ndo nimeshasema sasa. SIJALI WALA NINI.
Acha ubaguzi....shenzi...by LeornadoSasa mwanaume anakuwaje mwepe!!🙆🙆🙆
Anaendeshwa zaidi na hisia kuliko akiliKwa ku summerize;
mwanamke hajui anacho kita
Labda ngoja tuone, sasa si ujibu unangoja nini.Leo nitakujibu bila kukosa [emoji41]
Unataka nijibu hapa?Labda ngoja tuone, sasa si ujibu unangoja nini.
Sasa wataka ujibie wapi na pm nilishaiuza.Unataka nijibu hapa?
Huyo ni nani akiyejitwisha kinyago cha dhahabu tupu!Sauwer
... 'Ndo nimeshasema sasa. SIJALI WALA NINI'.Wanawake wengi hawapendi kuwa na mahusiano na wanaume weupe. Sababu zangu mimi binafsi naona mwanaume mweupe ananifunika. Yeye anaonekana zaidi kuliko mimi. Mimi maji ya kunde.
Nataka mwanaume awe mweusi tunapokuwa pamoja nionekane mimi kwanza. Ila kwenye kuzaa nataka nizae na mwanaume mweupe. Kwa kweli napenda mtoto awe na rangi ya mtume.
Kuna raha sana kuwa na mtoto mweupe not black magenta. Ingawa pia napenda wanaume weupe coz ni wasafi na wanajipenda sana. Kuliko black magenta. Ile ya kusema napenda tolu and black. U black ni sababu tu sitaki mwanaume awe mzuri kunizidi.
Mikoa ya kwetu , sisi wanyamwezi tunapenda sana weupe. Hata wanaume weupe tunawapenda sana. Wanavutia wana kuwa mashallah... Rangi ya mtume. Ublack tunauongelea tu in public... Tena ukipata half cast weeeeeh.....
Raha yake acha tu.
Ndo nimeshasema sasa. SIJALI WALA NINI.
HahahaWaliosema JF hakuna mwanamke wa kuoa wapo sahihi
Wanaume weupe tumefikiwa😀😀Wanawake wengi hawapendi kuwa na mahusiano na wanaume weupe. Sababu zangu mimi binafsi naona mwanaume mweupe ananifunika. Yeye anaonekana zaidi kuliko mimi. Mimi maji ya kunde.
Nataka mwanaume awe mweusi tunapokuwa pamoja nionekane mimi kwanza. Ila kwenye kuzaa nataka nizae na mwanaume mweupe. Kwa kweli napenda mtoto awe na rangi ya mtume.
Kuna raha sana kuwa na mtoto mweupe not black magenta. Ingawa pia napenda wanaume weupe coz ni wasafi na wanajipenda sana. Kuliko black magenta. Ile ya kusema napenda tolu and black. U black ni sababu tu sitaki mwanaume awe mzuri kunizidi.
Mikoa ya kwetu , sisi wanyamwezi tunapenda sana weupe. Hata wanaume weupe tunawapenda sana. Wanavutia wana kuwa mashallah... Rangi ya mtume. Ublack tunauongelea tu in public... Tena ukipata half cast weeeeeh.....
Raha yake acha tu.
Ndo nimeshasema sasa. SIJALI WALA NINI.
HahahaKama huonekani ukitoka nae vaa reflector.
IdiotWanawake wengi hawapendi kuwa na mahusiano na wanaume weupe. Sababu zangu mimi binafsi naona mwanaume mweupe ananifunika. Yeye anaonekana zaidi kuliko mimi. Mimi maji ya kunde.
Nataka mwanaume awe mweusi tunapokuwa pamoja nionekane mimi kwanza. Ila kwenye kuzaa nataka nizae na mwanaume mweupe. Kwa kweli napenda mtoto awe na rangi ya mtume.
Kuna raha sana kuwa na mtoto mweupe not black magenta. Ingawa pia napenda wanaume weupe coz ni wasafi na wanajipenda sana. Kuliko black magenta. Ile ya kusema napenda tolu and black. U black ni sababu tu sitaki mwanaume awe mzuri kunizidi.
Mikoa ya kwetu , sisi wanyamwezi tunapenda sana weupe. Hata wanaume weupe tunawapenda sana. Wanavutia wana kuwa mashallah... Rangi ya mtume. Ublack tunauongelea tu in public... Tena ukipata half cast weeeeeh.....
Raha yake acha tu.
Ndo nimeshasema sasa. SIJALI WALA NINI.