Sababu ya Marekani kupiga yowe kuwa nchi za Afrika zinaficha takwimu za Corona ni kuficha aibu kuwa wao taifa kubwa limeshindwa kupambana na Corona!

Sababu ya Marekani kupiga yowe kuwa nchi za Afrika zinaficha takwimu za Corona ni kuficha aibu kuwa wao taifa kubwa limeshindwa kupambana na Corona!

Trump anaogopa uchaguzi mpuuzi yule
Serikali ya Marekani ya Raisi Donald Trump inatumia corona politics kusingizia nchi zingine kuwa hazifanyi vizuri kuliko yenyewe kulinda image iliyoporomoka ya Serikali ya Trump kuhusu kupambana na Corona!!! kawekeza propaganda za bla bla kwa WHO na nchi zingine kuwa hazifanyi vizuri kama serikali yake kumbe muongo mkubwa!! Anatafuta tu political milage and Americans confidence!!!

Kwa mara ya kwanza katika historia ya Marekani serikali inatumia case za mataifa ya nje za corona kujitetea kuwa iko vizuri kwenye vita ya Corona!!!! Kwa mara ya kwanza inajilinganisha na nchi kamaa Burundi !!!! kuwa ohhh we doing more than burundi!!!! kujenga political confidence ya ndani ya marekani!!!ha ha ha ha Ohhh we are doing more than Tanzania in the war againist corona !!!!!! ha ha ha ha

Trump anatumia balozi zake kama wapiga filimbi wa hamelini na mashahidi hewa wa kuwa rubuni wamarekani waamini Trump na serikali yake wako vizuri!!! wakiuliza Trump uko vizuri kivipi mbona malaki ya wamarekani corona inawasumbua na wengi wanakufa anasemna ask American ambassadors in Burundi or Tanzania or go to their websites in case their phones are not working because phone facilities their are also worse ,Corona Situation there is worse we are doing more than them!!!!! we are on right track.No country do better than us!!!!
 
Kama Tanzania hauna corona ni kwanini Kenya wamekatazwa kutangaza madereva wanaopatikanaena corona kama wanatoka Tanzania?

Si mtu mmoja, waliopimwa Rwanda, Namibia, Uganda na Kenya walikutwa na corona baada ya safari ya Tanzania?
Walikataa ulikuwepo
 
Wao ndio wanamatatizo makubwa
Marekani imejitoa WHO haipeleki takwimu kule imekaa nazo yenyewe kama ni lazima wao mbona hawapeleki na wamejitoa WHO shirika la afya linalosimamia afya duniani
 
Kama Tanzania hauna corona ni kwanini Kenya wamekatazwa kutangaza madereva wanaopatikanaena corona kama wanatoka Tanzania?
Walikuwa wanazusha wakisema ohh madereva 10 wameonekana na corona ukiwaambia tuonyeshe wanaanza kujiuma uma meno ohhh walikuwepo hapa hapa sijui wameenda wapi
ukiwauliza passport namba zao na majina yao si mnayo tupeni wanaanza ohh list hatuioni nadhani itakuwa imeenda na sampuli maabara nairobi

Ndipo serikali ikapanda hasira kufunga mipaka na kuwaambia wakenya mkome kutuchafua ndio wakaja ohh tutakuwa hatutaji mtu anayeumwa corona katokea nchi gani
 
Serikali ya Tanzania inaficha data au haifichi?

Hilo ni suala la msingi na la awali kabisa, la muhimu kwa Mtanzania, bila kujali Mmarekani anafuatilia au hafuatilii.
Juzi tu wametoa wagonjwa nchi nzima walioko hospitalini wenye corona ni wanne tu
 
Juzi tu wametoa wagonjwa nchi nzima walioko hospitalini wenye corona ni wanne tu
Kwa upimaji gani?

Na kwa nini madereva wengi tu wa Tanzania wanapatikana na Coronavirus mipakani wakitaka kuingia nchi jirani wakati namba rasmi za Watanzania wenye virusi hivi haiongezeki?

Kwa nini watu wengi wanakufa mitaani wakiwa na dalili zote za Coronavirus lakini namba rasmi ya Watanzania wenye virusi hivi haiongezeki?

Watanzania wangapi kati ya mamilioni wote wamepimwa mpaka sasa?

Tanzania Says COVID-19 Defeated With Prayer Despite Fears
 
Marekani huwa ni taifa linalojiona ni dume linaweza kila kitu kuliko taifa lolote duniani

Sasa imekuja Corona nchi za Africa tumeiwezea kuliko marekani
Sasa baada ya marekani kuona ohhh vinanipita hata vi nchi vidogo kuishinda corona akaona atafute sababu za kujikosha kuwa ohhh mimi bado niko vizuri mno kwenye hii vita kuliko nchi zote za Africa

Sababu ya marekani kupiga yowe kuwa nchi za Africa zinaficha takwimu za corona ni kuficha aibu kuwa wao taifa kubwa limeshindwa kupambana na corona!!! Na Trump anaogopa kubwagwa chini uchaguzi ujao

Ndio maana anarusha propaganda aonekane yuko fit tu wasiangalie Africa yuko kwenye right track kumbe muongo waafrika kwenye Corona tumemzidi

Akubali tu marekani kuwa yeye sio mjua yote ,mjua yote ni Mungu tu .Kuhitaji msaada africa wa majani ya kujifukizia na dawa za corona asiogope kuomba.Africa tuna huruma sana hasa kwa wagonjwa tunaweza ku donate bure na kama maombi ya wamarekani yamekwama hewani mungu hasikii maombi yao aje aombe waafrika tuiombee marekani sababu kwetu tumeomba katusikia sababu tulimwambia sisiwaafrika unatujua hatuna wataalamu wala maabara nzuri wala miundo mbinu mizuri ya tiba turehemu viumbe wako wanyonge kuanzia uchumi hadi uwezo wa kupambana na corona.Tukafunga na kuomba Mungu akatusikia.Tunadunda maisha yanaendelea
Chuki zako tu
 
WHO marekani wamejitoa sasa wanataka takwimu za nini.Wao wenyewe zao hawapeleki WHO baada ya kujitoa
America amejitoa akianimin kuwa WHO ilichelewa ku respond. Ila si sababu ya takwimu.
And for the record anahitaji takwim si america. Ni taasisi kama CDC.. na WHO.
 
Mkuu unaelekea kusema kwamba Mauaji ya Floyd ni diversion ya failure ya kuhandle corona.
 
Marekani huwa ni taifa linalojiona ni dume linaweza kila kitu kuliko taifa lolote duniani

Sasa imekuja Corona nchi za Africa tumeiwezea kuliko marekani
Sasa baada ya marekani kuona ohhh vinanipita hata vi nchi vidogo kuishinda corona akaona atafute sababu za kujikosha kuwa ohhh mimi bado niko vizuri mno kwenye hii vita kuliko nchi zote za Africa

Sababu ya marekani kupiga yowe kuwa nchi za Africa zinaficha takwimu za corona ni kuficha aibu kuwa wao taifa kubwa limeshindwa kupambana na corona!!! Na Trump anaogopa kubwagwa chini uchaguzi ujao

Ndio maana anarusha propaganda aonekane yuko fit tu wasiangalie Africa yuko kwenye right track kumbe muongo waafrika kwenye Corona tumemzidi

Akubali tu marekani kuwa yeye sio mjua yote ,mjua yote ni Mungu tu .Kuhitaji msaada africa wa majani ya kujifukizia na dawa za corona asiogope kuomba.Africa tuna huruma sana hasa kwa wagonjwa tunaweza ku donate bure na kama maombi ya wamarekani yamekwama hewani mungu hasikii maombi yao aje aombe waafrika tuiombee marekani sababu kwetu tumeomba katusikia sababu tulimwambia sisiwaafrika unatujua hatuna wataalamu wala maabara nzuri wala miundo mbinu mizuri ya tiba turehemu viumbe wako wanyonge kuanzia uchumi hadi uwezo wa kupambana na corona.Tukafunga na kuomba Mungu akatusikia.Tunadunda maisha yanaendelea

Kama hoja yako ingekuwa na mashiko beberu angekuwa anawasema pia Rwanda, Uganda, Namibia, Africa kusini, Kenya, Nigeria, Brazil nk. Kwa nini sisi tu? Hata kujiuliza hamna?

Hebu angalia anaowasema kuwa wanaficha takwimu. Kwani umewasikia hata wenyewe wakithubutu kulikanusha hilo?

Kwa kuona kwako tu, hata wewe mkuu, unadhani Tanzania haifichi takwimu?

Si ndiyo hawa hapa au siyo hawa?

More Tanzanians Test Positive for Coronavirus

Wasema kweli wapenzi wa Mungu. Panga pangua mama Samia ni mmoja wa watu hao. Lakini siyo hawa wengine!
 
Kwa nini watu wengi wanakufa mitaani wakiwa na dalili zote za Coronavirus lakini namba rasmi ya Watanzania wenye virusi hivi haiongezeki?
Mtaa gani huo ambao watu wanakufa kwa corona? mimi mtaani kwangu toka corona ianze hakuna mtu hata mmoja aliyekufa iwe kwa corona au ugonjwa wowote mitaa ipi hiyo tutajie mzushi wewe
 
Naunga mkono hoja,
Kwavile vile nchi za jirani zetu maambukizi na vifo vinaendelea, lakini Tanzania hakuna vifo na hakuna maambukizi, kama huu ndio
Ukweli wenyewe na sio kuficha takwimu, then Marekani anayetutangaza vibaya ndiye muongo, tusimnyamazie kama nilivyo shauri hapa.

COVID-19: Nani mkweli kati ya Serikali yetu na Ubalozi wa Marekani?!. Je, Tanzania tunawaogopa sana Wamarekani?!. Kwanini waseme uongo huu waachwe?.
P
Marekani ni sawa na kichaa aliyeshika panga mkononi huku akikutishia kukukata usipotii maelekezo yake,

Hivyo hata akikuambia ucheke bila sababu ya wewe kucheka utacheka tu! Ili umfurahishe maana ukimbishia anaweza kukukata au kukufanyia chochote kulingana na hakiri zake zilivyo! Kwahiyo hakuna haja yakumjibu huyo anajibiwa na mungu
Kama hivi corona, maandamano na baadae kisanduku cha kura! Hao akina pompeo hawatakaa hapo kufikia 2021 .
 
Hao ni panya tu wachache kati ya wengi waliokufa unaokumbuka, tembo nao ni wengi mpaka nafasi zao zijazwe na waliotenguliwa Mara kadha kwa kukosa standby wanaofaa. Sisimizi ndo usiseme, wamekuwa wanakufa na kuzikwa na Serkali kimyakimya usiku. Kama wangekuwa wanasema kweli shule zote zingekuwa zimefunguliwa watoto wasome kama nchi zile zilizokuwa kwenye lockdown.
 
Unatia huruma kweli! Hivi suala la kutokutoa taarifa limelalamikiwa Afrika nzima au sisi tuu?

Na unajua kuwa masuala ya Pandemic utoaji taarifa sio sharti la hiari bali lazima kwa dunia nzima ili kulinda na kuchukua hatua kwa wengine?

Madhara tuwezayo kupata kwa hili la kutotoa taarifa za kweli ni kutengwa na huo muziki unakuja kwa kuendekeza akili za kijinga.

Magonjwa yanadhibitiwa kwa kufuata kanuni sio maombi ya siku tatu msimchoshe Mungu kwa uzembe wenu.
Kuna kauli za sijui wivu, yaani US anayekupa ARV na vyandalua bure akuonee wivu masikini kama wewe?

Mbona mnakuwa masikini jeuri hivi?
Jifunzeni kuwa na adabu. Na fuateni masharti ya tiba acheni kudanganywa na Vibwetere wa kizazi hiki.
Kwanini USA walitoa pesa kwa Tanzania wakijua fika kabisa kuwa hatutoi taarifa?
Hii kitu inanishangaza sana.Waliyataka wenyewe.
 
Back
Top Bottom