USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Huyu ni wakuonea huruma sana tuHilo la mitaa unaenda mbali sana. Tuambie tu kwanza kwenye ukoo wako umepoteza wangapi. Utakacho ona itoshe tu kujua na kwenye koo za wenzako pia hali ni kama hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni wakuonea huruma sana tuHilo la mitaa unaenda mbali sana. Tuambie tu kwanza kwenye ukoo wako umepoteza wangapi. Utakacho ona itoshe tu kujua na kwenye koo za wenzako pia hali ni kama hiyo.
Tuna ubavu huo? Juzi juzi tu hapa wamebip tulapokea.Wasilete tu
Vifaa tuliagiza wenyewe. Tena china.Sisi wametuletea vifaa vibovu na tulipo waambia kuwa ni vibovu wakakataa halafu baadae wakakubali
Kuna korona huko nao wanaficha takwimu sana tu
Wewe ngumbaru unajua hata Corona ni nini?We ni mpuuzi sana hao wameandikwa wapi kuwa wamekufa kwa korona. Jinga sana wewe
Wewe nyungunyungu usiye ubongo wala uti wa mgongo lete hoja acha viroja.Kigagula wewe usiyeamini kama mungu yupo
Hivi ninavyoongea kuna dada anazikwa Moshi. Haipiti wiki bila kusikia msiba wa Covid-19.Hilo la mitaa unaenda mbali sana. Tuambie tu kwanza kwenye ukoo wako umepoteza wangapi. Utakacho ona itoshe tu kujua na kwenye koo za wenzako pia hali ni kama hiyo.
Wala USA haijawahi kuwa Rafiki wakweli wa Africa,Watatue yakwao kwanza hawa jamaa wana kasumba mbaya sana
Kiufupi USA Kwa sasa si rafiki wa kweli kwa Africa
Ukipewa data zitakusaidia nini
Ccm ni chama imara sana
We ni mpuuzi sana hao wameandikwa wapi kuwa wamekufa kwa korona. Jinga sana wewe
Ni hiyo uliyonayo unayokusumbuaWewe ngumbaru unajua hata Corona ni nini?
Data zinasaidia kujua ukubwa wa tatizo.Ukipewa data zitakusaidia nini
Mkuu sijui ni tatizo la Taifa au kizazi kilichopo. Kuna ombwe la kufikiri na kutafuta ufahamu.Data zinasaidia kujua ukubwa wa tatizo.
Hatuabya kwanza ya kutatua tatizo ni kukubali kuna tatizo.
Sasa ukikataa kutafuta data ni kama umekataa kuna tatizo.
Utataua vipi tatizo ambalo hukubali kwamba lipo?
Bora uwaambie ukweli.... Coz tuna viongozi wengine ni kama wamekuwa machizi... Hutoi taarifaa halafu Kesho unaomba msaada....Unatia huruma kweli! Hivi suala la kutokutoa taarifa limelalamikiwa Afrika nzima au sisi tuu?
Na unajua kuwa masuala ya Pandemic utoaji taarifa sio sharti la hiari bali lazima kwa dunia nzima ili kulinda na kuchukua hatua kwa wengine?
Madhara tuwezayo kupata kwa hili la kutotoa taarifa za kweli ni kutengwa na huo muziki unakuja kwa kuendekeza akili za kijinga.
Magonjwa yanadhibitiwa kwa kufuata kanuni sio maombi ya siku tatu msimchoshe Mungu kwa uzembe wenu.
Kuna kauli za sijui wivu, yaani US anayekupa ARV na vyandalua bure akuonee wivu masikini kama wewe?
Mbona mnakuwa masikini jeuri hivi?
Jifunzeni kuwa na adabu. Na fuateni masharti ya tiba acheni kudanganywa na Vibwetere wa kizazi hiki.
Jamani... Kuna mambo hayahitaji siasa kabisa.... Hasa khs afya za watu.. Mda utasema ukweli cku moja...Naunga mkono hoja,
Kwavile vile nchi za jirani zetu maambukizi na vifo vinaendelea, lakini Tanzania hakuna vifo na hakuna maambukizi, kama huu ndio
Ukweli wenyewe na sio kuficha takwimu, then Marekani anayetutangaza vibaya ndiye muongo, tusimnyamazie kama nilivyo shauri hapa.
COVID-19: Nani mkweli kati ya Serikali yetu na Ubalozi wa Marekani?!. Je, Tanzania tunawaogopa sana Wamarekani?!. Kwanini waseme uongo huu waachwe?.
P
Mkuu sijui ni tatizo la Taifa au kizazi kilichopo. Kuna ombwe la kufikiri na kutafuta ufahamu.
Takwimu za medical si sawa na takwimu za miti au malimao.
Takwimu za medical zipo katika Bio statistic na hutafsiriwa katika epidemiology.
Maeneo hayo mawili yanafanya kazi kwa pamoja kila moja liki suppliment jingine.
Huwezi kujua uwepo wa tatizo kama huna takwimu. Huwezi kujua trend ya ugonjwa kama huna takwimu.
Huwezi kujua 'factor' za tatizo kama huna takwimu.Huwezi kulikabili tatizo kama huna takwimu.
Mimi sioni kwanini tatizo la dunia Tanzania ilikatae kwa aibu. Leo tunasema hatuna Corona, je, ni kweli hatuna?
At the end of the day waathirika ni sisi na watakaolia au kubaki na tatizo ni sisi.
Nimesoma hoja ya ''takwimu' zinasaidia nini kila siku hapa jamvini. Nilichobaini ni kuwa ima wanaosema hivyo hawajui wanasema nini, au wanajua lakini wanapotosha tu .
Tanzania ni masikini kwasababu ya kizazi kama hiki kisichojua takwimu na bado tunategemea kuingia uchumi wa kati na mentality ya watu hao ambao wengine ni 'senior' katika vyombo mbali mbali tunavyotegemea!