Hawatoi WHO,lakini si zipo Public hizo taarifa?Au zimefichwa?Marekani imejitoa WHO haipeleki takwimu kule imekaa nazo yenyewe kama ni lazima wao mbona hawapeleki na wamejitoa WHO shirika la afya linalosimamia afya duniani
Nonsense.Walikuwa wanazusha wakisema ohh madereva 10 wameonekana na corona ukiwaambia tuonyeshe wanaanza kujiuma uma meno ohhh walikuwepo hapa hapa sijui wameenda wapi
ukiwauliza passport namba zao na majina yao si mnayo tupeni wanaanza ohh list hatuioni nadhani itakuwa imeenda na sampuli maabara nairobi
Ndipo serikali ikapanda hasira kufunga mipaka na kuwaambia wakenya mkome kutuchafua ndio wakaja ohh tutakuwa hatutaji mtu anayeumwa corona katokea nchi gani
Waliwapima wagonjwa wangapi??Juzi tu wametoa wagonjwa nchi nzima walioko hospitalini wenye corona ni wanne tu
Kwa hiyo mtaani kwenu watu hawafi kwa ugonjwa wowote ule?Mtaa gani huo ambao watu wanakufa kwa corona? mimi mtaani kwangu toka corona ianze hakuna mtu hata mmoja aliyekufa iwe kwa corona au ugonjwa wowote mitaa ipi hiyo tutajie mzushi wewe
Possibly they are trying to hide the shame as a big nation for failure to control the pandemic...Marekani huwa ni taifa linalojiona ni dume linaweza kila kitu kuliko taifa lolote duniani
Sasa imekuja Corona nchi za Africa tumeiwezea kuliko marekani
Sasa baada ya marekani kuona ohhh vinanipita hata vi nchi vidogo kuishinda corona akaona atafute sababu za kujikosha kuwa ohhh mimi bado niko vizuri mno kwenye hii vita kuliko nchi zote za Africa
Sababu ya marekani kupiga yowe kuwa nchi za Africa zinaficha takwimu za corona ni kuficha aibu kuwa wao taifa kubwa limeshindwa kupambana na corona!!! Na Trump anaogopa kubwagwa chini uchaguzi ujao
Ndio maana anarusha propaganda aonekane yuko fit tu wasiangalie Africa yuko kwenye right track kumbe muongo waafrika kwenye Corona tumemzidi
Akubali tu marekani kuwa yeye sio mjua yote ,mjua yote ni Mungu tu .Kuhitaji msaada africa wa majani ya kujifukizia na dawa za corona asiogope kuomba.Africa tuna huruma sana hasa kwa wagonjwa tunaweza ku donate bure na kama maombi ya wamarekani yamekwama hewani mungu hasikii maombi yao aje aombe waafrika tuiombee marekani sababu kwetu tumeomba katusikia sababu tulimwambia sisiwaafrika unatujua hatuna wataalamu wala maabara nzuri wala miundo mbinu mizuri ya tiba turehemu viumbe wako wanyonge kuanzia uchumi hadi uwezo wa kupambana na corona.Tukafunga na kuomba Mungu akatusikia.Tunadunda maisha yanaendelea
Acha kujidanganya,yaani Mungu atupende sie zaidi,kuriko USA,au Italy ambapo kuna makao ya kanisa,au Ulaya ambapo "mitume wote" wametoka!?Marekani huwa ni taifa linalojiona ni dume linaweza kila kitu kuliko taifa lolote duniani
Sasa imekuja Corona nchi za Africa tumeiwezea kuliko marekani
Sasa baada ya marekani kuona ohhh vinanipita hata vi nchi vidogo kuishinda corona akaona atafute sababu za kujikosha kuwa ohhh mimi bado niko vizuri mno kwenye hii vita kuliko nchi zote za Africa
Sababu ya marekani kupiga yowe kuwa nchi za Africa zinaficha takwimu za corona ni kuficha aibu kuwa wao taifa kubwa limeshindwa kupambana na corona!!! Na Trump anaogopa kubwagwa chini uchaguzi ujao
Ndio maana anarusha propaganda aonekane yuko fit tu wasiangalie Africa yuko kwenye right track kumbe muongo waafrika kwenye Corona tumemzidi
Akubali tu marekani kuwa yeye sio mjua yote ,mjua yote ni Mungu tu .Kuhitaji msaada africa wa majani ya kujifukizia na dawa za corona asiogope kuomba.Africa tuna huruma sana hasa kwa wagonjwa tunaweza ku donate bure na kama maombi ya wamarekani yamekwama hewani mungu hasikii maombi yao aje aombe waafrika tuiombee marekani sababu kwetu tumeomba katusikia sababu tulimwambia sisiwaafrika unatujua hatuna wataalamu wala maabara nzuri wala miundo mbinu mizuri ya tiba turehemu viumbe wako wanyonge kuanzia uchumi hadi uwezo wa kupambana na corona.Tukafunga na kuomba Mungu akatusikia.Tunadunda maisha yanaendelea
Hilo la mitaa unaenda mbali sana. Tuambie tu kwanza kwenye ukoo wako umepoteza wangapi. Utakacho ona itoshe tu kujua na kwenye koo za wenzako pia hali ni kama hiyo.Kwa upimaji gani?
Na kwa nini madereva wengi tu wa Tanzania wanapatikana na Coronavirus mipakani wakitaka kuingia nchi jirani wakati namba rasmi za Watanzania wenye virusi hivi haiongezeki?
Kwa nini watu wengi wanakufa mitaani wakiwa na dalili zote za Coronavirus lakini namba rasmi ya Watanzania wenye virusi hivi haiongezeki?
Watanzania wangapi kati ya mamilioni wote wamepimwa mpaka sasa?
Tanzania Says COVID-19 Defeated With Prayer Despite Fears
Ukipewa data zitakusaidia niniSerikali ya Tanzania inaficha data au haifichi?
Hilo ni suala la msingi na la awali kabisa, la muhimu kwa Mtanzania, bila kujali Mmarekani anafuatilia au hafuatilii.
Walikuwa wanazusha wakisema ohh madereva 10 wameonekana na corona ukiwaambia tuonyeshe wanaanza kujiuma uma meno ohhh walikuwepo hapa hapa sijui wameenda wapi
ukiwauliza passport namba zao na majina yao si mnayo tupeni wanaanza ohh list hatuioni nadhani itakuwa imeenda na sampuli maabara nairobi
Ndipo serikali ikapanda hasira kufunga mipaka na kuwaambia wakenya mkome kutuchafua ndio wakaja ohh tutakuwa hatutaji mtu anayeumwa corona katokea nchi gani
Kigagula wewe usiyeamini kama mungu yupoKwa upimaji gani?
Na kwa nini madereva wengi tu wa Tanzania wanapatikana na Coronavirus mipakani wakitaka kuingia nchi jirani wakati namba rasmi za Watanzania wenye virusi hivi haiongezeki?
Kwa nini watu wengi wanakufa mitaani wakiwa na dalili zote za Coronavirus lakini namba rasmi ya Watanzania wenye virusi hivi haiongezeki?
Watanzania wangapi kati ya mamilioni wote wamepimwa mpaka sasa?
Tanzania Says COVID-19 Defeated With Prayer Despite Fears
Sisi wametuletea vifaa vibovu na tulipo waambia kuwa ni vibovu wakakataa halafu baadae wakakubaliAmerica amejitoa akianimin kuwa WHO ilichelewa ku respond. Ila si sababu ya takwimu.
And for the record anahitaji takwim si america. Ni taasisi kama CDC.. na WHO.
Na misaada yao tusipokee. Maana huwa tunawasema hapa. Ila wakija na pesa tunawahita wahisani.
Kama hoja yako ingekuwa na mashiko beberu angekuwa anawasema pia Rwanda, Uganda, Namibia, Africa kusini, Kenya, Nigeria, Brazil nk. Kwa nini sisi tu? Hata kujiuliza hamna?
Hebu angalia anaowasema kuwa wanaficha takwimu. Kwani umewasikia hata wenyewe wakithubutu kulikanusha hilo?
Kwa kuona kwako tu, hata wewe mkuu, unadhani Tanzania haifichi takwimu?
Si ndiyo hawa hapa au siyo hawa?
More Tanzanians Test Positive for Coronavirus
Wasema kweli wapenzi wa Mungu. Panga pangua mama Samia ni mmoja wa watu hao. Lakini siyo hawa wengine!
Mtaa gani huo ambao watu wanakufa kwa corona? mimi mtaani kwangu toka corona ianze hakuna mtu hata mmoja aliyekufa iwe kwa corona au ugonjwa wowote mitaa ipi hiyo tutajie mzushi wewe
We ni mpuuzi sana hao wameandikwa wapi kuwa wamekufa kwa korona. Jinga sana weweYou diseased imbecile, unaanza kutukanana na mimi hapa?
Hawa wote hakuna aliyefariki na Covid-19?
Tanzia: Roman Luoga afariki dunia
TANZIA: Dkt. Kinabo ambaye ni daktari bingwa wa moyo afariki dunia leo Dodoma
TANZIA - Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoani Geita, Hamim Buzohera Gwiyama afariki dunia
TANZIA - Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia
TANZIA - TANZIA: Mchungaji Dkt. Peter Mitimingi wa Warehouse Christian Centre (WCC), afariki dunia
TANZIA: Meneja wa Aga Khan Outreach Services, Fayyaz Mohammedtaqi afariki dunia
TANZIA: Mkuu wa Uhamiaji mkoa wa Kagera, Pendo Butenghe afariki dunia
Ccm ni chama imara sanaHawatoi WHO,lakini si zipo Public hizo taarifa?Au zimefichwa?
Mbona huwa unajitoa ufahamu kabisa na kujifanya zumbukuku kisa kushabikia CCM??
Waliwapima wagonjwa wangapi??
Kwa kutumia kifaa gani?
Kwani maambukizi duniani ni sawa hata Canada na U.S. hakuna usawaAcha kujidanganya,yaani Mungu atupende sie zaidi,kuriko USA,au Italy ambapo kuna makao ya kanisa,au Ulaya ambapo "mitume wote" wametoka!?
Mungu sio mbaguzi kiasi hicho,
Unataka kutuambia kwamba,Mungu katuonesha upendo kwenye korona tu,mbona kwenye majanga mengine,hatukuona huo upendo,Ebola,Njaa,msfuriko,umaskini,