minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Kuna shida kubwa Kkoo hata maambukizi ya TB, vikohozi, mafua, UTI ni makubwa ingawa sasa corona imeanza tena yafaa Kkoo imulikwe kwa jicho la tatuSikuhizi hata kwenda huwa sitaki. Msongamano mkubwa sana kila sehemu wameweka bidhaa.