Sababu ya Siasa: Biashara Kariakoo zinakufa kisa kuwapenda na kuwakumbatia machinga

Sababu ya Siasa: Biashara Kariakoo zinakufa kisa kuwapenda na kuwakumbatia machinga

Yes, na ukiuzia nje hakuna EFD receipts. Ngoja nitafute vijana km 5 hivi niwe nawapa mzigo asubuhi jioni mahesabu. vita na giant inatakiwa akili.
Kabisa yani, ndio wajanja hufanya hivyo.
 
Kama wewe ni mfanyabiashara makini, mmachinga hawezi kukusumbua, hao na ni wafanyabiashara na wananunua mizigo toka kwa wafanyabiashara wenzao.

Mlizoea vya kunyonga sasa mnalia lia, zamani mlikua mnatoa mpaka milioni 40 kwa mwaka kulipia pango uchochoro tu, lakini kodi hamlipi.

Hakuna sheria mpya alizoleta Magufuli, zote ni za Kikwete na Mkapa, lipeni kodi
Tatizo siyo wafanyabishara tu, serikali inakosa mapato mengi sana. kwa mtu mwenye akili ndogo anaweza kuona km tunawaonea wivu. wamachinga wakiwekewa utaratibu mzuri wanasadia mzunguko kwa wafanyabiashara wakubwa. lkn ilivyo sasa hata wafanyabiashara kutoka nchi jirani hawawezi kufunga mzigo. Naweza kufanya hujuma kwa kuwapa wamachinga mizigo wakauza chini ambako sitakuwa natoa hata EFD receipts. nani anakosa mapato.
 
Yaani mazingira yake kwa kweli yanasikitisha ukienda na mtoto anaweza kufia mgongoni.
 
lengo lango ni kuwa uwe unasoma post yote na kuielewa kabla ya kutoa mapovu, maana unapotoa mapofu kabla ya kusoma unajidhalilisha wewe na wanaccm wenzako
Tafadhali,rudia kusoma hiki ulichokiandika hapa,then unifafanulie
 
Mimi mwenyewe ningekuwa na duka kariakoo nisingelipa kodi. Sasa machinga anauza suruali cadet elfu 10 mpaka elfu 12 wakati mwenye duka ili apate faida yakuweza kulipa malindiko ya makodi anatakiwa auze elfu 25 mpaka 30 wateja wenyewe wanaenda kwa machinga kwa sababu ya unafuu wa bei.
Jiulize mmachinga amepata wapi hiyo suruali !? Anaenda China?
 
Tafadhali,rudia kusoma hiki ulichokiandika hapa,then unifafanulie
narudia tena "uwe unasoma post yote na kuielewa kabla ya kutoa mapovu, maana unapotoa mapofu kabla ya kusoma unajidhalilisha wewe na wanaccm wenzako" sina ufafanuzi zaidi ya huo
 
narudia tena "uwe unasoma post yote na kuielewa kabla ya kutoa mapovu, maana unapotoa mapofu [/COLOR=red]kabla ya kusoma unajidhalilisha wewe na wanaccm wenzako" sina ufafanuzi zaidi ya huo
 
vipi umeshataga tayari kwenye mabanda yenu hapo ufipa au unasubiri kupandwa??
 
178909098.jpg
 
Watolewe tu Kwakweli wamekua kero..
 
Sehemu ambapo kuna maduka kama Kariakoo machinga wa kazi gani? Wangetolewa wote hapo Kariakoo. Wakakae barabarani na kwenye vituo vya mabasi.
Nakuhakikishia machinga wakiondolewa kariakooo wakabaki wenye maduka tu,mwezi hauishi frem zote zitafungwa.
 
Ndiyo maana tumeweka viongozi wetu watuongoze, waumize vichwa watafute suluhisho, huo utaratibu mzuri.

Ndiyo maana tumeajiri maafisa wizara I na manispaa ya jiji na kwingineko watafute suluhisho.

Ndiyo maana mjadala umeletwa hapa ili tujadili, katika mawazo ya wachangiaji tunawaza kupata huo utaratibu mzuri.
Siyo lazima ushauri utoke kwangu.
machinga complex na sehe zingine wametengewa hawati kwenda wanataka kwenda kariakoo
 
Ndio Nyerere alikataa Msukuma kuwa Rais.Miji yote imekuwa maguli😵vyo kabisa huyu jamaa.
 
Hili bomu ni hatari sana huko tuendako kwani sasa wameshaona ni haki yao kufanya biashara popote pale wanapotaka hata katikati ya barabara. Raisi ajae atakuwa na wakati mgumu sana kuja kuweka utawala wa nidhamu na kurudisha mpangilio wa awali.
Barabara zimewekwa lami kwa gharama kubwa lakini zinapangwa nyanya na vitunguu...
 
Back
Top Bottom