Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kabisa yani, ndio wajanja hufanya hivyo.Yes, na ukiuzia nje hakuna EFD receipts. Ngoja nitafute vijana km 5 hivi niwe nawapa mzigo asubuhi jioni mahesabu. vita na giant inatakiwa akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa yani, ndio wajanja hufanya hivyo.Yes, na ukiuzia nje hakuna EFD receipts. Ngoja nitafute vijana km 5 hivi niwe nawapa mzigo asubuhi jioni mahesabu. vita na giant inatakiwa akili.
Tatizo siyo wafanyabishara tu, serikali inakosa mapato mengi sana. kwa mtu mwenye akili ndogo anaweza kuona km tunawaonea wivu. wamachinga wakiwekewa utaratibu mzuri wanasadia mzunguko kwa wafanyabiashara wakubwa. lkn ilivyo sasa hata wafanyabiashara kutoka nchi jirani hawawezi kufunga mzigo. Naweza kufanya hujuma kwa kuwapa wamachinga mizigo wakauza chini ambako sitakuwa natoa hata EFD receipts. nani anakosa mapato.Kama wewe ni mfanyabiashara makini, mmachinga hawezi kukusumbua, hao na ni wafanyabiashara na wananunua mizigo toka kwa wafanyabiashara wenzao.
Mlizoea vya kunyonga sasa mnalia lia, zamani mlikua mnatoa mpaka milioni 40 kwa mwaka kulipia pango uchochoro tu, lakini kodi hamlipi.
Hakuna sheria mpya alizoleta Magufuli, zote ni za Kikwete na Mkapa, lipeni kodi
Tafadhali,rudia kusoma hiki ulichokiandika hapa,then unifafanulielengo lango ni kuwa uwe unasoma post yote na kuielewa kabla ya kutoa mapovu, maana unapotoa mapofu kabla ya kusoma unajidhalilisha wewe na wanaccm wenzako
Jiulize mmachinga amepata wapi hiyo suruali !? Anaenda China?Mimi mwenyewe ningekuwa na duka kariakoo nisingelipa kodi. Sasa machinga anauza suruali cadet elfu 10 mpaka elfu 12 wakati mwenye duka ili apate faida yakuweza kulipa malindiko ya makodi anatakiwa auze elfu 25 mpaka 30 wateja wenyewe wanaenda kwa machinga kwa sababu ya unafuu wa bei.
narudia tena "uwe unasoma post yote na kuielewa kabla ya kutoa mapovu, maana unapotoa mapofu kabla ya kusoma unajidhalilisha wewe na wanaccm wenzako" sina ufafanuzi zaidi ya huoTafadhali,rudia kusoma hiki ulichokiandika hapa,then unifafanulie
narudia tena "uwe unasoma post yote na kuielewa kabla ya kutoa mapovu, maana unapotoa mapofu [/COLOR=red]kabla ya kusoma unajidhalilisha wewe na wanaccm wenzako" sina ufafanuzi zaidi ya huo
Hii awamu sio ya laha, hata mke wangu mie hanipi laha.
Chapeni kazi, au nasema uongo ndugu zangu!
Naona ndo kawaida yako kuchezea libolo fc.Nataka uvue suruali then uiname ,kuna kitu nataka kukusuprise😈👹
Umeingia joto mara hii tu?? Daah haya basi njoo room no 6 nikupande tena,naiwe mwanzo na mwisho!Naona ndo kawaida yako kuchezea libolo fc.
Nakuhakikishia machinga wakiondolewa kariakooo wakabaki wenye maduka tu,mwezi hauishi frem zote zitafungwa.Sehemu ambapo kuna maduka kama Kariakoo machinga wa kazi gani? Wangetolewa wote hapo Kariakoo. Wakakae barabarani na kwenye vituo vya mabasi.
machinga complex na sehe zingine wametengewa hawati kwenda wanataka kwenda kariakooNdiyo maana tumeweka viongozi wetu watuongoze, waumize vichwa watafute suluhisho, huo utaratibu mzuri.
Ndiyo maana tumeajiri maafisa wizara I na manispaa ya jiji na kwingineko watafute suluhisho.
Ndiyo maana mjadala umeletwa hapa ili tujadili, katika mawazo ya wachangiaji tunawaza kupata huo utaratibu mzuri.
Siyo lazima ushauri utoke kwangu.
Machinga Complex ndogo sana kulingana na idadi yao.machinga complex na sehe zingine wametengewa hawati kwenda wanataka kwenda kariakoo
Raha gani hiyo hupati mie nkakupeHii awamu sio ya laha, hata mke wangu mie hanipi laha.
Chapeni kazi, au nasema uongo ndugu zangu!
Barabara zimewekwa lami kwa gharama kubwa lakini zinapangwa nyanya na vitunguu...Hili bomu ni hatari sana huko tuendako kwani sasa wameshaona ni haki yao kufanya biashara popote pale wanapotaka hata katikati ya barabara. Raisi ajae atakuwa na wakati mgumu sana kuja kuweka utawala wa nidhamu na kurudisha mpangilio wa awali.
Raha ya kunako 6x6,,, njoo ukaniburudishe bibie.Raha gani hiyo hupati mie nkakupe