Uchaguzi 2020 Sababu ya Vyama vya Upinzani kutomuunga mkono Lissu, CHADEMA walivunja makubaliano ya kugawana Ruzuku kuvipa Vyama vyote vya UKAWA

Uchaguzi 2020 Sababu ya Vyama vya Upinzani kutomuunga mkono Lissu, CHADEMA walivunja makubaliano ya kugawana Ruzuku kuvipa Vyama vyote vya UKAWA

Uzushi tuu kwann hoja ije wakati huu, wewe ni nani katika ukawa? ok tusrme ni kweli ni chama gani cha kuungana cdm ? ACT, CUF au CHAUMA ? wana nin cha kuunganisha? kwa ufupi wote hao wanaitaka cdm iwabebe na baada ya hapo wanaunga juhudi.
Baada ya kudhulumu ruzuku zao ndio mnakuja na matusi
 
Huu uchaguzi uko pande mbili kwa Chadema

Chadema makao makuu wanatafuta ruzuku mgombea wao wa kuwawezesha ruzuku kupatikana ni Tundu Lisu ndio maana anatumia pesa za makao makuu kuendesha kampeni akikodiwa ndege helikopta nk

Majimboni wagombea ni wabunge na madiwani hao ni kama wagombea binafsi pesa ya ruzuku ya makao makuu ya Chadema haiendi kwao kuwasaidia kukodi hata baiskeli sababu wao sio wagombea wa kusaka ruzuku wa makao makuu

Uko sahihi kabisa, unapata ruzuku bila kura?
 
Uko sahihi kabisa, unapata ruzuku bila kura?
Majimboni na wilayani wa Chadema kuna faida gani kupambana Lisu apate kura nyingi ruzuku iwe kubwa wakati pesa za ruzuku haziendi mikoani wala wilayani zinaishia makao makuu tu

Ndio maana niwashauri wawapigie wabunge na madiwani huyu msaka ruzuku Lisu waachane naye sababu ikipatikana haiendi mikoa yao wala wilaya zao
 
Lumumba safari hii ina wapiga propaganda vilazaa kwelikweli.
 
Hao ndio Chadema matapeli wanaojaribu kuwalaghai Watanzania eti wataleta utawala wa haki huku wamefisidi pesa ya ruzuku ya CUF.
 
Vyama vya upinzani vyote ulivyovisema ni CCM B hao bakini nao watawasaidia,cdm anamfanya meko aropoke tu kwenye kampeni zake.
Bado mtataga maboga safari hii lissu atawatoa puru
 
Naskia meko anakula valium 20 ndio apumzike,lissu ni habari ingine mtatema moto safari hii
 
Katika vitu vilivyotukwaza wanacdm wengi ni huo muungano wa vyama. 2015 cdm ilikuwa inajimudu bila muungano na chama chochote. Hata kujiunga walijiunga kama fashion tu na haikuwa lazima sana. Na kitendo cha kutokuungana hivi sasa, na ile mijizee miwili ya ccm Lowassa na Sumaye kurudi huko huko chama chakavu kumetupa faraja sana. Kwa mfano sasa hivi cdm wangekosea kisha wajiunge na Membe ingetukera vibaya sana. Hivyo vyama vilivyojiunga na ccm ni bora viendeleze muungano wao na ccm, maana vitapewa chochote. Cdm haihitaji kujiunga na mchepuko wowote wa ccm, maana ina mtaji wa kutosha wa watu.
Hivi hujui Lowassa aliingia Chadema kwa mabilioni ya fedha zake?
Je hujui Lowassa alijipigia kampeni yeye kwa mabilioni yake na marafiki zake.
 
Elimisha kuhusu ilani ya chama chenu na why magufuli apigiwe kura, acha hizo mambo unazoleta
 
Majimboni na wilayani wa Chadema kuna faida gani kupambana Lisu apate kura nyingi ruzuku iwe kubwa wakati pesa za ruzuku haziendi mikoani wala wilayani zinaishia makao makuu tu

Ndio maana niwashauri wawapigie wabunge na madiwani huyu msaka ruzuku Lisu waachane naye sababu ikipatikana haiendi mikoa yao wala wilaya zao

Unajua unachoongea kuhusu sifa za upatikanaji wa ruzuku?
 
Hivi hujui Lowassa aliingia Chadema kwa mabilioni ya fedha zake?
Je hujui Lowassa alijipigia kampeni yeye kwa mabilioni yake na marafiki zake.

Hilo nalifahamu vizuri. Hata hivyo hoja ni nini hapa.
 
Baada ya kudhulumu ruzuku zao ndio mnakuja na matusi
Nimekuwa nikisikia wapinzani wanamatusi kwenye kampeni zao lkn matusi yenyewe hayatajwi, kumbe haya ndio matusi !! umenitoa tongotongo mwanawani.
 
Ni sheria ipi ingeruhusu Chadema kuvigawia ruzuku vyama vilivyokuwa kwenye Ukawa,ilhali muungano huo haukuwa rasmi.
 
Back
Top Bottom