Uchaguzi 2020 Sababu ya Vyama vya Upinzani kutomuunga mkono Lissu, CHADEMA walivunja makubaliano ya kugawana Ruzuku kuvipa Vyama vyote vya UKAWA

Uzushi tuu kwann hoja ije wakati huu, wewe ni nani katika ukawa? ok tusrme ni kweli ni chama gani cha kuungana cdm ? ACT, CUF au CHAUMA ? wana nin cha kuunganisha? kwa ufupi wote hao wanaitaka cdm iwabebe na baada ya hapo wanaunga juhudi.
Baada ya kudhulumu ruzuku zao ndio mnakuja na matusi
 

Uko sahihi kabisa, unapata ruzuku bila kura?
 
Uko sahihi kabisa, unapata ruzuku bila kura?
Majimboni na wilayani wa Chadema kuna faida gani kupambana Lisu apate kura nyingi ruzuku iwe kubwa wakati pesa za ruzuku haziendi mikoani wala wilayani zinaishia makao makuu tu

Ndio maana niwashauri wawapigie wabunge na madiwani huyu msaka ruzuku Lisu waachane naye sababu ikipatikana haiendi mikoa yao wala wilaya zao
 
Lumumba safari hii ina wapiga propaganda vilazaa kwelikweli.
 
Hao ndio Chadema matapeli wanaojaribu kuwalaghai Watanzania eti wataleta utawala wa haki huku wamefisidi pesa ya ruzuku ya CUF.
 
Vyama vya upinzani vyote ulivyovisema ni CCM B hao bakini nao watawasaidia,cdm anamfanya meko aropoke tu kwenye kampeni zake.
Bado mtataga maboga safari hii lissu atawatoa puru
 
Naskia meko anakula valium 20 ndio apumzike,lissu ni habari ingine mtatema moto safari hii
 
Hivi hujui Lowassa aliingia Chadema kwa mabilioni ya fedha zake?
Je hujui Lowassa alijipigia kampeni yeye kwa mabilioni yake na marafiki zake.
 
Elimisha kuhusu ilani ya chama chenu na why magufuli apigiwe kura, acha hizo mambo unazoleta
 

Unajua unachoongea kuhusu sifa za upatikanaji wa ruzuku?
 
Hivi hujui Lowassa aliingia Chadema kwa mabilioni ya fedha zake?
Je hujui Lowassa alijipigia kampeni yeye kwa mabilioni yake na marafiki zake.

Hilo nalifahamu vizuri. Hata hivyo hoja ni nini hapa.
 
Baada ya kudhulumu ruzuku zao ndio mnakuja na matusi
Nimekuwa nikisikia wapinzani wanamatusi kwenye kampeni zao lkn matusi yenyewe hayatajwi, kumbe haya ndio matusi !! umenitoa tongotongo mwanawani.
 
Ni sheria ipi ingeruhusu Chadema kuvigawia ruzuku vyama vilivyokuwa kwenye Ukawa,ilhali muungano huo haukuwa rasmi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…