Sababu za kiroho kwanini Tanzania ya Mama Samia itakuwa yenye neema kubwa sana kwa Watanzania

hupendi kufikiria.

Angekuwa vipi Rais kama Mungu asinge mchukua Magu? Hapo ndio kwenye content.
Magu si alichaguliwa na Watanzania kwa 84% ya kura kwenye uchaguzi wa mwezi October 2020.....Mungu yupi aliyemchagua......?
 
Maisha yanabadilika haraka Sana ndugu, Mungu Ni mkali kwa kweli, nmewaza kwamba mzee baba alikuwa ni njia tu ya bi mkubwa kufika hapa
 
Mama Samia alichaguliwa na Hayati JPM kuwa Mgombea Mwenza, na kisha amechaguliwa na vifungu vya sheria kuwa rais. Tusimsingizie Mungu
Unahitaji dua au maombi ww,acha kwenda kwa waganga
 
Unahitaji dua au maombi ww, acha kwenda kwa waganga
Nasadiki kwa Mungu mmoja, Muumba wa mbingu na nchi, na vitu vyote, vinavyoonekana na visivyoonekana.
Huu msemo wa kusema eti fulani amechaguliwa na Mungu, umekaa kisiasa zaidi kuliko kiimani
 
Mama Samia Hajachaguliwa na Mungu ni Takwa la Katiba...isome katiba inasemaje kuhusu Rais aliye madarakani akifa nani anashika uongozi wa nchi na kwa namna gani....
hujapenda kufikiria mkuu. Mungu asingemuita Magufuli then Mama Samia asingeweza kuwa Rais leo hii. so nasisitiza Mama Samia ni chaguo la Mungu
 
Maisha yanabadilika haraka Sana ndugu,Mungu Ni mkali kwa kweli,nmewaza kwamba mzee baba alikuwa Ni njia tu ya bi mkubwa kufika hapa
very possible
 
sema insha allah
 
Acha unafiki, Afrika nzima inamlilia Magufuli saivi. Mwaache yetu amalizie kazi ya Musa. Mimi naamini Magufuli ni Musa, mama Samia ndio Yoshua.
Africa nzima wanamlilia? Hebu otea je Mimi ni mzungu, Mhindi, mwarabu au nani?
 
ameeeen
 
naandika nafuta,naandika nafuta ....nitarudi baadae.
 
Acha unafiki, Afrika nzima inamlilia Magufuli saivi. Mwaache yetu amalizie kazi ya Musa. Mimi naamini Magufuli ni Musa, mama Samia ndio Yoshua.
Mussa? Usitake tuandike kiusahihi mseme tunadharau msiba wenu.
 
hujapenda kufikiria mkuu. Mungu asingemuita Magufuli then Mama Samia asingeweza kuwa Rais leo hii. so nasisitiza Mama Samia ni chaguo la Mungu
.....Nafikiria tu ...kama katiba pia isingetoa "option" ya Makamu wa Rais kuapishwa kuwa Rais kumalizia kipindi cha Rais aliyekuwa madarakani kufariki...Basi Mama Samia asingekuwa Rais leo hii.....Nasisitiza Mama Samia ni kuwa Rais ni Takwa la Katiba...
 
ok
 
S

Si kweli.
Amepigiwa Kura, nae Kampeni akapiga mara zote mbili 2015 na juzi 2020.
Au yu-mwingine si yule wa kwenye Karatasi ya Kura?

Kura ilikuwa ya kuwa makamo wa Rais... lakini sasa ni Rais kamili baada ya kutokea yaliyotokea.
 
Kweli ni Mungu. sikuwahi kufikiria kingetokea kitu kama hiki, maombi yangu yenyewe yalikuwa Mungu ampe busara na hekima aliyekuwa Rais, ghafka anachukuliwa.
Mungu anafanya mambo yaliyo juu ya fahamu na fikra zetu.
hukuwah kufikiria au hukuwahi kusoma Katiba juu ya kiti Cha urais?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…