Sababu za kiroho kwanini Tanzania ya Mama Samia itakuwa yenye neema kubwa sana kwa Watanzania

Nasadiki kwa Mungu mmoja, Muumba wa mbingu na nchi, na vitu vyote, vinavyoonekana na visivyoonekana.
Huu msemo wa kusema eti fulani amechaguliwa na Mungu, umekaa kisiasa zaidi kuliko kiimani
Yeah!
 
Alipigiwa kama Makamu, ila Mungu amefanya substitution baada ya kuona beki iliyopo inacheza rafu bila mpangilio.
Kwa mujibu wa Bishop Methodius Kilaini, naye aliwahi kudai kuwa Jiwe ni chaguo la MM.
Hivi kweli chaguo la MM linaweza kucheza rafu kweli?
 
Leta ushahidi tafadhali!
 
Personally I would be glad hayo makandokando yashuke right this moment! Short of that wengine watasema ’majungu!’

Just a personal wish anyway!
Tukishusha, wengine watasema hata hatujazika bado tushaanza maneno.

We can't win either way.
 
Some of us have what the French call "savoir faire" despite the appearance of a brusque cold blooded nature.

In addition, the beginning of a new administration gives reason to grant a blank slate to the new president and asses her on the merit while she is at the helm with no individual to report to.

I honestly do not want to badmouth Madam President before I give her the chance to lead.

That does not mean she is faultless.
 
Mungu gani amemchagua Samia Suluhu Hassan? Kama kura si walipigiwa wote yeye na Magufuli?

Kama waliiba si waliiba wote? Au umesahau kama Samia alikua mgombea mwenza?
hupendi kufikiria
 
Mama Samia alichaguliwa na Hayati JPM kuwa Mgombea Mwenza, na kisha amechaguliwa na vifungu vya sheria kuwa rais. Tusimsingizie Mungu
Exactly mkuu, huyo Mungu mnampa majukumu hata hahusiki.
 
kwahiyo JPM ameondolewa na Mungu kwakuwa hakuwa chaguo la MUngu??????????
Huyu katuma post kufanya experiment. Kwa sababu anajua waafrika mmefocus sana kwenye concept ya dini kuliko kutatua matatizo katika hali ya uhalisia. Kumbuka concept ya dini ndo iliyokuweka utumwani. Ni bora kuwa spiritual kuliko kua religious
 
Exactly mkuu, huyo Mungu mnampa majukumu hata hahusiki.
Huyu katuma post kufanya experiment. Kwa sababu anajua waafrika mmefocus sana kwenye concept ya dini kuliko kutatua matatizo katika hali ya uhalisia. Kumbuka concept ya dini ndo iliyokuweka utumwani. Ni bora kuwa spiritual kuliko kua religious
 
Kila mtu ana sababu zake za kuamini anacho amini.....kawaida binadamu tunaangalia kila jambo kwa mitazamo tofauti...nitabaki kuamini kuwa Hakuna Uungu wowote katika hili....ni Katiba ndio inasema hivyo na imekuwa!
 
...Kwa mantiki yenu basi kila awaye Rais wa Tanzania ni Chaguo la Mungu...so hakuna upekee wowote kwa huyu...!
 
Would you still be in denial if the Hands of nature took its course and they both become “the late”

Life has a meaning only to the ones who consider it’s meaning!
Denying what? that who ever will be become a President after the "hands of Nature do take their course" will be God's choice? if that is the case then..Yes I will still be in denial......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…