ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Mnanata na beat au sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejua kwamba Corona itakuumbua hadi Saudia usingeandika ujinga huu.Every thing that happens in the physical world, represents something in the realm of the spirit.
In other words, kila kinacho tokea katika ulimwengu wa damu na nyama huwa kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho.
Back to my point: Kuenea Kwa kirusi cha Corona nchini China ni adhabu kutoka Kwa Allah.
Kwanini: Serikali ya uchina licha ya kuwaua na kufanya dhulma kubwa Sana dhidi ya waislamu wa China lakini pia imefanya kufuru kubwa Sana dhidi ya uislamu. Moja Kati ya kufuru zilizo fanywa na Serikali ya uchina dhidi ya uislamu ni pamoja na kuchoma Quoran Tukufu.
Hicho kirusi ni pigo na adhabu kutoka Kwa Allah.
This is my personal opinion. It may not be a fact
Every thing that happens in the physical world, represents something in the realm of the spirit.
In other words, kila kinacho tokea katika ulimwengu wa damu na nyama huwa kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho.
Back to my point: Kuenea Kwa kirusi cha Corona nchini China ni adhabu kutoka Kwa Allah.
Kwanini: Serikali ya uchina licha ya kuwaua na kufanya dhulma kubwa Sana dhidi ya waislamu wa China lakini pia imefanya kufuru kubwa Sana dhidi ya uislamu. Moja Kati ya kufuru zilizo fanywa na Serikali ya uchina dhidi ya uislamu ni pamoja na kuchoma Quoran Tukufu.
Hicho kirusi ni pigo na adhabu kutoka Kwa Allah.
This is my personal opinion. It may not be a fact
Tabiri za kipuuzi kama hizi ndo zinazidi kufanya watu kudharau dini.. Rudi jukwaani kunguru mkubwa useme ni vipi adhabu ya Allah inaua bila kuchagua mgonjwa ana amini upande gani
Aje ajibu hii comment au kakimbia UziHuyo corona akisambaa hadi nchi za kiislamu utasema nini tena,
Kama Huyo Allah anaweza kuwaadhibu watu wasio na hatia huko China (maana wanaokufa sio wale waliochoma Quran) basi Allah hakuhusika kwenye uumbaji lazima kuna Mungu mwingine tofauti na huyo aitwaye Allah
Dini zinatesa sana akili za watu, ko nawe umeona hii ni hoja kabsaEvery thing that happens in the physical world, represents something in the realm of the spirit.
In other words, kila kinacho tokea katika ulimwengu wa damu na nyama huwa kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho.
Back to my point: Kuenea Kwa kirusi cha Corona nchini China ni adhabu kutoka Kwa Allah.
Kwanini: Serikali ya uchina licha ya kuwaua na kufanya dhulma kubwa Sana dhidi ya waislamu wa China lakini pia imefanya kufuru kubwa Sana dhidi ya uislamu. Moja Kati ya kufuru zilizo fanywa na Serikali ya uchina dhidi ya uislamu ni pamoja na kuchoma Quoran Tukufu.
Hicho kirusi ni pigo na adhabu kutoka Kwa Allah.
This is my personal opinion. It may not be a fact
Dini zinatesa Sana akili za watu, ko nawe umeona hii ni hoja kabsaDini zinatesa sana akili za watu, ko nawe umeona hii ni hoja kabsa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tabiri za kipuuzi kama hizi ndo zinazidi kufanya watu kudharau dini.. Rudi jukwaani kunguru mkubwa useme ni vipi adhabu ya Allah inaua bila kuchagua mgonjwa ana amini upande gani
Tabiri za kipuuzi kama hizi ndo zinazidi kufanya watu kudharau dini.. Rudi jukwaani kunguru mkubwa useme ni vipi adhabu ya Allah inaua bila kuchagua mgonjwa ana amini upande gani
Kama ni serikali ya china ndio ililengwa mbona corona imekosa target? Halafu mambo ya kiroho hayanaga facts; mfano, hiyo roho yenye haijulikani hata shape yake na inapokaa.Every thing that happens in the physical world, represents something in the realm of the spirit.
In other words, kila kinacho tokea katika ulimwengu wa damu na nyama huwa kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho.
Back to my point: Kuenea Kwa kirusi cha Corona nchini China ni adhabu kutoka Kwa Allah.
Kwanini: Serikali ya uchina licha ya kuwaua na kufanya dhulma kubwa Sana dhidi ya waislamu wa China lakini pia imefanya kufuru kubwa Sana dhidi ya uislamu. Moja Kati ya kufuru zilizo fanywa na Serikali ya uchina dhidi ya uislamu ni pamoja na kuchoma Quoran Tukufu.
Hicho kirusi ni pigo na adhabu kutoka Kwa Allah.
This is my personal opinion. It may not be a fact
Kosa la Saudi Arabia ni kupeleka kurani Uchina!Mkuu rudi hapa utuambie mpaka Saudi Arabia corona virus inasumbua, mpaka misikiti imefungwa nao ni laana ya nini?