Sababu za kiroho za kusambaa Kwa kirusi cha Corona nchini China

Sababu za kiroho za kusambaa Kwa kirusi cha Corona nchini China

Hii ni Natural Calamity china inawatu wengi sana kwahiyo ecosystem mpaka ibalance kwa watu kufa ili kusudi waendane na resources zilizopo lakini hayo yote ni Mipango ya Muumba Allah(sw)


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Every thing that happens in the physical world, represents something in the realm of the spirit.

In other words, kila kinacho tokea katika ulimwengu wa damu na nyama huwa kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho.

Back to my point: Kuenea Kwa kirusi cha Corona nchini China ni adhabu kutoka Kwa Allah.

Kwanini: Serikali ya uchina licha ya kuwaua na kufanya dhulma kubwa Sana dhidi ya waislamu wa China lakini pia imefanya kufuru kubwa Sana dhidi ya uislamu. Moja Kati ya kufuru zilizo fanywa na Serikali ya uchina dhidi ya uislamu ni pamoja na kuchoma Quoran Tukufu.

Hicho kirusi ni pigo na adhabu kutoka Kwa Allah.

This is my personal opinion. It may not be a fact
Ungejua kwamba Corona itakuumbua hadi Saudia usingeandika ujinga huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya CORONA ipo Tanzania now. Je na sisi tunapewa adhabu na Allah kwa sababu gani?. Au italy wanaadhibiwa vikali vile kwa sababu gani?.
Every thing that happens in the physical world, represents something in the realm of the spirit.

In other words, kila kinacho tokea katika ulimwengu wa damu na nyama huwa kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho.

Back to my point: Kuenea Kwa kirusi cha Corona nchini China ni adhabu kutoka Kwa Allah.

Kwanini: Serikali ya uchina licha ya kuwaua na kufanya dhulma kubwa Sana dhidi ya waislamu wa China lakini pia imefanya kufuru kubwa Sana dhidi ya uislamu. Moja Kati ya kufuru zilizo fanywa na Serikali ya uchina dhidi ya uislamu ni pamoja na kuchoma Quoran Tukufu.

Hicho kirusi ni pigo na adhabu kutoka Kwa Allah.

This is my personal opinion. It may not be a fact
 
Tabiri za kipuuzi kama hizi ndo zinazidi kufanya watu kudharau dini.. Rudi jukwaani kunguru mkubwa useme ni vipi adhabu ya Allah inaua bila kuchagua mgonjwa ana amini upande gani
 
Huyo corona akisambaa hadi nchi za kiislamu utasema nini tena,
Kama Huyo Allah anaweza kuwaadhibu watu wasio na hatia huko China (maana wanaokufa sio wale waliochoma Quran) basi Allah hakuhusika kwenye uumbaji lazima kuna Mungu mwingine tofauti na huyo aitwaye Allah
Aje ajibu hii comment au kakimbia Uzi
 
Huyu jamaa kwa kujikuta mchambuzi na mada zake za kufikirika. Kwahiyo alikaa akawaza akaamini virusi vile vitaishia China akajikuta GT + plus mwanazuoni wa dini yake. Mwishowe alitoa ujinga ambao unamdhalilisha.
 
Every thing that happens in the physical world, represents something in the realm of the spirit.

In other words, kila kinacho tokea katika ulimwengu wa damu na nyama huwa kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho.

Back to my point: Kuenea Kwa kirusi cha Corona nchini China ni adhabu kutoka Kwa Allah.

Kwanini: Serikali ya uchina licha ya kuwaua na kufanya dhulma kubwa Sana dhidi ya waislamu wa China lakini pia imefanya kufuru kubwa Sana dhidi ya uislamu. Moja Kati ya kufuru zilizo fanywa na Serikali ya uchina dhidi ya uislamu ni pamoja na kuchoma Quoran Tukufu.

Hicho kirusi ni pigo na adhabu kutoka Kwa Allah.

This is my personal opinion. It may not be a fact
Dini zinatesa sana akili za watu, ko nawe umeona hii ni hoja kabsa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tabiri za kipuuzi kama hizi ndo zinazidi kufanya watu kudharau dini.. Rudi jukwaani kunguru mkubwa useme ni vipi adhabu ya Allah inaua bila kuchagua mgonjwa ana amini upande gani

Tabiri za kipuuzi kama hizi ndo zinazidi kufanya watu kudharau dini.. Rudi jukwaani kunguru mkubwa useme ni vipi adhabu ya Allah inaua bila kuchagua mgonjwa ana amini upande gani
 
Nataka kujua Iran kuna waislamu kweli? Samahani kwa usumbufu
Tabiri za kipuuzi kama hizi ndo zinazidi kufanya watu kudharau dini.. Rudi jukwaani kunguru mkubwa useme ni vipi adhabu ya Allah inaua bila kuchagua mgonjwa ana amini upande gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Every thing that happens in the physical world, represents something in the realm of the spirit.

In other words, kila kinacho tokea katika ulimwengu wa damu na nyama huwa kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho.

Back to my point: Kuenea Kwa kirusi cha Corona nchini China ni adhabu kutoka Kwa Allah.

Kwanini: Serikali ya uchina licha ya kuwaua na kufanya dhulma kubwa Sana dhidi ya waislamu wa China lakini pia imefanya kufuru kubwa Sana dhidi ya uislamu. Moja Kati ya kufuru zilizo fanywa na Serikali ya uchina dhidi ya uislamu ni pamoja na kuchoma Quoran Tukufu.

Hicho kirusi ni pigo na adhabu kutoka Kwa Allah.

This is my personal opinion. It may not be a fact
Kama ni serikali ya china ndio ililengwa mbona corona imekosa target? Halafu mambo ya kiroho hayanaga facts; mfano, hiyo roho yenye haijulikani hata shape yake na inapokaa.
 
Back
Top Bottom