Sababu za kisayansi kwanini Mwanaume anayevaa vizuri hung'oa wanawake wengi wakali kuliko mwenye gari

Msukuma
Umeeleweka....

Sio mtu kuvaa hujui,kunukia hunukiii Bado sio handsomee[emoji87][emoji85][emoji85]
Gari la mchongo[emoji2960][emoji38]
Khaaa
 
Mkuu hujakosea wanawake wanapenda wanaume wanao jipenda sana.
Tofauti na watu wanavyowachukulia mademu wa kaskazini wanapenda utanashati sana. Nilibahatika kumkamata Mmasai pisiii kali sana alinieleza shida yake kuu sio pesa bali kuvutiwa na utanashatii. Nikapiga sana pale hadi nikaacha na mpaka leo utanashati sijaacha na gari sina ila nawatungua sana.
 
This is what I am talking about
 
Yani nikujibu tu kwa ufupi mpaka dunia inaisha anachotaka mwanamke duniani hakipo. Umeongea point moja ya unadhifu lakini kuna mengi umeyaacha naweza kuwa rough, once nikafight nikampata uyo aliyekupenda kwakuwa nadhifu na nikampa penzi la haja bro unaweza kuja kurudi hapa kuomba ushauri ufanye nini tena usishangae wote tukawekwa pamoja ila siku akitaka kuhang out with her baby atakutafuta wewe, akitaka matumizi usishangae kukawa na kibabu kilichochukua pension yake hakijui kifanyie nini na akitaka kukunwa chini akaja kwangu, je mwanaume gani anakuwa na vyote hivyo mana mwanaume mwenye pesa uwa wengi hawanaga time yakumridhisha mwanamke anachotazama yeye karidhika basi same as to hao mahandsome boys. TUISHI NAO KWA AKILI.
 

" Anacho taka mwanamke duniani akipo" hiyo ni sentensi kutoka kwa mwanaume aliye shindwa kuwa control wanawake. Usijifunze kwa walio shindwa.
 
Upo rough,hilo penzi la haja utampa vipi?..labda kama huyo demu yupo rough na mchafu kama wewe.


Mtu ukishakuwa rough na unanuka tayari hiyo inam-turn off mwenzako..huko kumpa penzi la haja utawezaje?
 
Kwahio unawapenda matozi au sio πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
I used to be like you Jody!
Utozi tumefanya sana to get laid ila sasa kitu nimejifunza mahitaji ya mwanamke ni Dynamic.

At a certain age mwanamke anapenda looks au kuwa na
partner wa kuuza nae sura akitoka out asifiwe tu na kuwatambia mashosti. She only mates with nice looking guys and handsome clean dudes. Hapa wazee wa bling ndio wanatamba. Hili ni common kwa ages 18-24.

At some age atahitaji kuwa na matured guys cause she matured anaona enough with wapiga pamba tu anahitaji partner ambaye anaweza kuwa baba wa watoto wake. Focus ina shift kutoka kwa matozi kwenda kwa working class dudes, wafanyabiashara na Entrepreneurs. Kwa maana ingine uwe smart ila una earn na una muelekeo flani na maisha yako. Hawa ndio wale mademu wa age 25-3O. Hapa wenye mishe zao na ndinga wanatafuna sana nyuchi.

Kuna time mademu inafika wanaamua tu kuwa na partner yeyote anaekuwa available regardless si mtanashati au hana hela. Huenda yuko bored au ame exit uhusiano ambao ni dissapointing. She decides to try something new tu bila kujali criteria hizo za awali. Wengi wa hili kundi ni aidha amejikatia tamaa au single maza na age imesonga likely ashatoboa 31 huku mambo ni bila bila.

Getting laid has nothing to do na kuwa mtanashati ama kuwa na hela na gari. Itategemea unakutana na mwanamke kwenye stage gani ya maisha yake. Ndio maana hata mla kush anaweza kula maini ya pisi kali. Gym trainer anawaromba wake za watu kwani anavaaga suti gymπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€! Fundi gereji na suti yakd chafu chafu ila anaweza kutafuna pisi iliompelekea subaru forester yake.
 
Real talk
 

Apostle kuna muujiza huku. Tangia nianze kuroga hata salamu napewa
 
Kama alomzaa tu inafika stage anamshindwa kumcontrol wewe nani uje uweze halafu baki na hiyo imani nahisi hata umri wako bado unachangia kuzungumza ulichozungumza ila kwakuwa bado unakua utaja elewa tu my point somedays.
" Anacho taka mwanamke duniani akipo" hiyo ni sentensi kutoka kwa mwanaume aliye shindwa kuwa control wanawake. Usijifunze kwa walio shindwa.
 
Mkuu naomba connection ya kazi yoyote halali na mimi nipendeze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…