Sababu za kumbwaga mpenzi wangu Mwanasheria

Much know ,,wana ubishi wa ajabu haijawahi tokea,,hawakubali kurekebishwa....
 
Siwezi kushangaa kwanini jamii yetu bado iko nyuma.
Mkuu unafahamu Max alianzisha hii platform tunayotumia(JF) akiwa na miaka 26 umri sawa na huyo mdada, Kwahiyo kigezo cha umri hakiwezi kuwa sababu ya mtu kutikuwa na maarifa ya vitu vingi na kuwa uwezo mkuvwa wa ku-reason.
Hivi unafahamu Albert Einstein alikuwa hapendi Hesabu na ilikuwa haipandi, sasa cha kushangaza Calculation zote alizifanya mke wake japo alikuwa Mama wa nyumbani. Sasa kaoe kilaza ambaye atashindwa ku-fit kwenye jigsaw yako. Mke wa Einstein japokuwa alikuwa Mama wa nyumbani ila alisoma na Einsten darasa moja la physics na alicha shule ali baada ya kuolewa (kwa kipindi hicho ilikuwa kawaida binti kuacha shule ili aolewe) ila passion yake ya kupenda Hesabu,leo tunamuongelea Einstein tunamsahau huyu bint (like base of iceberg) huwezi kuona walio nyuma mafanikio ya watu tunaowahusudu.
Mwanamke anatakiwa kuwa full package siyo sex doll, vile unavyo-wish wewe uwe kwanini binti asiwe, alafu huyo binti IQ yake ni kubwa, Kwanini aubanie ubongo wake kwa mambo aliyo na interest nayo kama anaweza kuyahifadhi na kuyakumbuka.
 
Nachojiwa wanawake wanasheria wanyenyekevu sana kwenye mahusiano. Hili na wewe unalijua ukianzia kwa kiongozi utapata jibu
Baadhi ya wadada wanasheria ni vichwa ngumu na pasua kichwa kweli kweli...ila wachache ni wanyenyekevu.
 
Hadi Styles P[emoji1544][emoji1544]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Bila shaka anamjua hadi Mabalo Lokela na Mayinga N'seka.
 
Don't be too hard on yourself....

Matani, kucheka na kufurahi kunaimarisha immune system na ni mojawapo ya silaha muhimu katika kupambana na Korona pia [emoji16][emoji16][emoji16]
Ukigoma kubaki nyumbani ntakuchapa kwa mikono yangu mwenyewe.
 
Kawaida tuu,ili mradi awe anatambua wewe ni mme na unahitaji heshima, ujuaji wa Mambo unatokana na Ari ya mtu husika kupenda kujua kitu husika,
 

Maisha hayana kanuni Mamii, don't take it seriously!!!
 
Nachojiwa wanawake wanasheria wanyenyekevu sana kwenye mahusiano. Hili na wewe unalijua ukianzia kwa kiongozi utapata jibu

Unyenyekevu au ukorofi unatokana na malezi na mazingira aliyokulia, elimu ni kwa ajili ya kuongeza maarifa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…