Sababu za kumbwaga mpenzi wangu Mwanasheria

Sababu za kumbwaga mpenzi wangu Mwanasheria

Much know ,,wana ubishi wa ajabu haijawahi tokea,,hawakubali kurekebishwa....
 
Siwezi kushangaa kwanini jamii yetu bado iko nyuma.
Mkuu unafahamu Max alianzisha hii platform tunayotumia(JF) akiwa na miaka 26 umri sawa na huyo mdada, Kwahiyo kigezo cha umri hakiwezi kuwa sababu ya mtu kutikuwa na maarifa ya vitu vingi na kuwa uwezo mkuvwa wa ku-reason.
Hivi unafahamu Albert Einstein alikuwa hapendi Hesabu na ilikuwa haipandi, sasa cha kushangaza Calculation zote alizifanya mke wake japo alikuwa Mama wa nyumbani. Sasa kaoe kilaza ambaye atashindwa ku-fit kwenye jigsaw yako. Mke wa Einstein japokuwa alikuwa Mama wa nyumbani ila alisoma na Einsten darasa moja la physics na alicha shule ali baada ya kuolewa (kwa kipindi hicho ilikuwa kawaida binti kuacha shule ili aolewe) ila passion yake ya kupenda Hesabu,leo tunamuongelea Einstein tunamsahau huyu bint (like base of iceberg) huwezi kuona walio nyuma mafanikio ya watu tunaowahusudu.
Mwanamke anatakiwa kuwa full package siyo sex doll, vile unavyo-wish wewe uwe kwanini binti asiwe, alafu huyo binti IQ yake ni kubwa, Kwanini aubanie ubongo wake kwa mambo aliyo na interest nayo kama anaweza kuyahifadhi na kuyakumbuka.
 
Nachojiwa wanawake wanasheria wanyenyekevu sana kwenye mahusiano. Hili na wewe unalijua ukianzia kwa kiongozi utapata jibu
Baadhi ya wadada wanasheria ni vichwa ngumu na pasua kichwa kweli kweli...ila wachache ni wanyenyekevu.
 
Hadi Styles P[emoji1544][emoji1544]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Bila shaka anamjua hadi Mabalo Lokela na Mayinga N'seka.
 
Don't be too hard on yourself....

Matani, kucheka na kufurahi kunaimarisha immune system na ni mojawapo ya silaha muhimu katika kupambana na Korona pia [emoji16][emoji16][emoji16]
Ukigoma kubaki nyumbani ntakuchapa kwa mikono yangu mwenyewe.
 
Demu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.

Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.

Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.


Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?

Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.


Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.

Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.


Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?

Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.

Demu anamjua Hadi Soko Sugi.


Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.

Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.

Demu anajua Hadi picha la Tridev.

When did u know that lions are nuctornal? She knew it since the days of Pontius of Pilates.

Funny enough she was born in 1994.

Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.

She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"

Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?

After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.

Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.

Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"

Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.

And she replies: OOH REALLY???

Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much
Kawaida tuu,ili mradi awe anatambua wewe ni mme na unahitaji heshima, ujuaji wa Mambo unatokana na Ari ya mtu husika kupenda kujua kitu husika,
 
Kweli wanaume mtachomwa na moto wa petrol , juzi tu mlisema mnataka wanawake kwenye matako makubwa.

Mkalala usingizi kuamka mkasema wanawake kwenye matako makubwa hawana akili, wana probability kubwa ya kuzaa watoto vilaza.
Leo wanawake wanasheria wajuaji sana hawafai kwa kuoa.

Rafiki yangu alinambia ukifika wakati wa kuoa ni lazima ataoa mwanasheria, akikosekana atalazimika kula doctor.

Nikamuuliza sababu akajibu hawa ndo wanawake wenye akili ambao wana uwezo mkubwa wa Ku argue. Anasema anataka akiongea kitu sometimes apate challenge.

Wewe umepata mwanamke kichwa unafanya kazi unamkataa

Wewe ni nani kumkataa mdada wa hivyo😂😂😂

Maisha hayana kanuni Mamii, don't take it seriously!!!
 
Nachojiwa wanawake wanasheria wanyenyekevu sana kwenye mahusiano. Hili na wewe unalijua ukianzia kwa kiongozi utapata jibu

Unyenyekevu au ukorofi unatokana na malezi na mazingira aliyokulia, elimu ni kwa ajili ya kuongeza maarifa tu.
 
Back
Top Bottom