Sababu za kura ya HAPANA kwa Katiba Inayopendekezwa


Tatizo lako jazba tu, basi !
 
Tume huru ya uchaguzi ni jina tu, lakini sio huru - viongozi wake wote wanateuliwa na Rais ambaye ni mwenyekiti wa ccm - Ibara 217(2) na 222(1).


Kumbe ccm Itatawala hata kwa katiba hii
 
Tume huru ya uchaguzi ni jina tu, lakini sio huru - viongozi wake wote wanateuliwa na Rais ambaye ni mwenyekiti wa ccm - Ibara 217(2) na 222(1).


Kumbe ccm Itatawala hata kwa katiba hii

Mara nyingi watu hujiangalia kwenye kioo kisha husahau jinsi walivyo afu wanarudi tena kujiangalia haya check hii kitu hapa chini nimeipata sehemu ndo useme separation of power ndo hii Je hawa wakipewa nchi utawala wao utakua wa aina gani????? Nataka utoe jibu!!.


UTAWALA - TOKA KUANZA KWA MFUMO WA VYAMA VINGI VYA SIASA TANZANIA.

CHADEMA.

1992-1998. M/ kiti Edwin Mtei
1988-2003. M/kiti Bob Makani
2003-2008. Mkiti Freeman Mbowe
2009-2014. M/ kiti Freeman Mbowe
2014-2019. M/ kiti Freeman Mbowe

CCM ( Chama cha Mapinduzi)

1990-1996. M/ kiti Ali Hassan Mwinyi
1996-2006. M/ kiti Benjamin Mkapa
2006-2016. Mkiti Jakaya Kikwete

CUF (Civic United Front).
1995-2000. Mkiti Ibrahim Lipumba
2000-2005. mkiti Ibrahimu Lipumba
2005 -2011. mkiti Ibrahim Lipumba
2011-2017 . mkiti Ibrahim Lipumba

NCCR MAGEUZI
1992-1995. Mkiti Mabere Marando
1995-1999. Mkiti Augustin Mrema
2000-2010. Mkiti James Mbatia
2005-2010. Mkiti James Mbatia
2010-2014. Mkiti James Mbatia
2015-2020. Mkiti James Mbatia.



 
Tume huru ya uchaguzi ni jina tu, lakini sio huru - viongozi wake wote wanateuliwa na Rais ambaye ni mwenyekiti wa ccm - Ibara 217(2) na 222(1).


Kumbe ccm Itatawala hata kwa katiba hii

Kuliko kudanganya hapa ni bora ukawa mkweli umesoma Ibaya ya 220 (1) inayoelezea wajibu wa Tume Huru ya Uchaguzi afu hujaielewa,Pamoja na mambo mengine Tume itasimamia na kuendesha shughuli zote za uchaguzi wa Rais na wabunge katika Jamhuri ya Muungano,Itasimamia na kuendesha kura ya maoni,Kusimamia na kuratibu uandikishaji wa wapiga kura katika Jamhuri ya Muungano,kugawa na kutangaza majimbo ya uchaguzi wa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano na pia kutangaza matokeo ya uchaguzi wa Rais na wabunge au matokeo ya kura ya maoni.

220 .-(5) Katika kutekeleza madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii, Tume Huru ya uchaguzi haitalazimika kufuata amri, maagizo au maoni ya mtu yeyote, mamlaka yoyote ya Serikali, Chama cha Siasa,Taasisi au Asasi yoyote.

Acha kupotosha mimi nimeisoma na kuielewa kwa mujibu wa Katiba inayopendekezwa Tume hiyo itakuwa HURU!!!
 
Tume huru ya uchaguzi ni jina tu, lakini sio huru - viongozi wake wote wanateuliwa na Rais ambaye ni mwenyekiti wa ccm - Ibara 217(2) na 222(1).


Kumbe ccm Itatawala hata kwa katiba hii
ndo mnavyojidanganya hivyo nyie Ukawa, lol umekurupuka tu kuweka lihoja lako la ajabu ajabu pasipo kufikiri, pooe kwa kuwa na uelewa mdogo juu ya katiba, nakushauri uisoem vema na kuielewa kisha utajua kama ni ya wananchi au ya ccm.
 
Mbowe, Mbatia na Lipumba ndo wale wale wasaka matongi na wachumia matumbo wanaowalaghai wananchi na kuleta chuki na vurugu nchini, maana wameishiwa sera lkn wanachokifanya sasa ni kuforce king kitu ambacho ni kigumu na kamwe hawatafanikiwa ng'oooo
 
Tatizo lako jazba tu, basi !
Hapo kuna jazba gani, kwani ni uwongo kwamba wewe ni kibaraka ulotumwa na ukawa kwa malipo ya jero jero plus bando ya mb8 kwa siku? Njaa itakuua wewe, kuwa mzalendo usipende kutumwa tumwa kama jini.
 
Hapo kuna jazba gani, kwani ni uwongo kwamba wewe ni kibaraka ulotumwa na ukawa kwa malipo ya jero jero plus bando ya mb8 kwa siku? Njaa itakuua wewe, kuwa mzalendo usipende kutumwa tumwa kama jini.

Tatizo lako jazba tu, basi !
 
umemsahau BABU YAKO MZEE AMBILIKI aka JULIUS alikuwa mwenyekiti wa zidumu fikra za mwenyekiti wa tanu/ccm kwa miaka mingapiiiii?
 
Pole Gamba umekutana na kamanda aka Gamba la Chuma cha pua unaanza kupumulia mashine, ha ha ha ha!

ndo mnavyojidanganya hivyo nyie Ukawa, lol umekurupuka tu kuweka lihoja lako la ajabu ajabu pasipo kufikiri, pooe kwa kuwa na uelewa mdogo juu ya katiba, nakushauri uisoem vema na kuielewa kisha utajua kama ni ya wananchi au ya ccm.

Gamba la chuma au la Plastiki haha acha uoga Jaymillion amekukimbiza mpaka umetia akili,kura yako ya NDIYO ni muhimu kwa taifa lako!Ua welcome!


ninamashaka na na hizi ID zenu/zako. vipi kwani umekula pini auuuu??
 
umemsahau BABU YAKO MZEE AMBILIKI aka JULIUS alikuwa mwenyekiti wa zidumu fikra za mwenyekiti wa tanu/ccm kwa miaka mingapiiiii?

UNAJIFARIJI NA HUELEWI HOJA HA HA HA H MFUMO WA VYAMA VINGI BADO TUNA MADIKTETA????wapi Lipumba wapi Mbowe wapi Mbatia???
 
Pole Gamba umekutana na kamanda aka Gamba la Chuma cha pua unaanza kupumulia mashine, ha ha ha ha!

ndo mnavyojidanganya hivyo nyie Ukawa, lol umekurupuka tu kuweka lihoja lako la ajabu ajabu pasipo kufikiri, pooe kwa kuwa na uelewa mdogo juu ya katiba, nakushauri uisoem vema na kuielewa kisha utajua kama ni ya wananchi au ya ccm.

Gamba la chuma au la Plastiki haha acha uoga Jaymillion amekukimbiza mpaka umetia akili,kura yako ya NDIYO ni muhimu kwa taifa lako!Ua welcome!




mkataba wenu na ccm wa buku7 mwisho wake oct 15 kama ntakuona humu na majina yako haya yote
 
walewaleeee.. yuleyuleee unabadili jina tu halafu unaleta mada za kitoto mwisho wako 0CT 15

Mwalla4Real yuko bed rest sasa yupo Mwalla ndo kapewa Kazi ya kuja kufanya fujo hapa JF,huyu ndo original yule 4Real alikuja kuokoa jahazi ha ha ha the same papaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…