SIDANGANYIKI2015
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,054
- 114
Mada hapa ni wewe kwenda kujiandikisha siku ikifika afu ukapigie kura ya NDIYO KAtiba inayopendekezwa!!!nadhani umenisoma!Kwani mada ni.ipi mbona hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mada hapa ni wewe kwenda kujiandikisha siku ikifika afu ukapigie kura ya NDIYO KAtiba inayopendekezwa!!!nadhani umenisoma!Kwani mada ni.ipi mbona hivi
Mada hapa ni wewe kwenda kujiandikisha siku ikifika afu ukapigie kura ya NDIYO KAtiba inayopendekezwa!!!nadhani umenisoma!
Ww kura ya oyidn cwez hujamckia Nyerere huko aliko
Kijana hii ya Mwalimu umetoa wapi?Mwalimu hajawahi kusema kitu ya namana hii,ha hicho kitabu hakipo if you take a look for ua cover page imefanyiwa editing na photoshop ya kutosha!Pole ndugu acha kabisa kumdharirisha Mwl tunamuheshimu!
Ww kura ya oyidn cwez hujamckia Nyerere huko aliko
Hili jamaa vipi, ..........lAMUIJUI na UWIZI ha ha ha go back to school usituzingue wewe ni haramia wa vitabu title gani hiyo???
Nimefanya makusudi ili nione kiwango chako cha ufaham , hebu niambie ww umeisoma hiyo rasim ya katba pendekezwa????
Ti tihi tihi ha ha ha ha View attachment 250065Pole sn huwa najibuwa na waelewa kama hujaelewa endelea kupambana na mafuliko????
Hujafanya makusudi wewe ni kilaza tu,huna jipya!!!
Ti tihi tihi ha ha ha ha View attachment 250065
uamuzi wako ndo hatima yako,usije kujaribu kushindana na mvua utalowekwa tu!
Nimefanya makusudi ili nione kiwango chako cha ufaham , hebu niambie ww umeisoma hiyo rasim ya katba pendekezwa????
Mada hapa ni wewe kwenda kujiandikisha siku ikifika afu ukapigie kura ya NDIYO KAtiba inayopendekezwa!!!nadhani umenisoma!
Hujafanya makusudi humuelewi Mwalimu
wewe mburula wa lumumba aka buku7 acha kupotosha mwana wa nchi yaani akapigie kura hiyo TOILETPAPER iliyotengenezwa na fisadi MAKENGEZA??
Asante ww mwenye jipya lkn hujapata copi ya rasim ya katba pendekezwa ipa unasahauri watu wakapige kura ya ndio mmmmm
Cpigii kula hata kama nitabaki pekee yangi na c uzi haki yangu hata kwa ghalama kubwa kias gani
Wewe na mwenzio Mwalla wote ni mafala mlotumwa na Ukawa, mtatumika sana mwaka huu kama mifagio ya chooni kisa jero jeroCpigii kula hata kama nitabaki pekee yangi na c uzi haki yangu hata kwa ghalama kubwa kias gani
Naona ckuhiz umepata mme anayeitwa Mjuukum ndo mana unamsapoti kila ujinga wake, sasa bado ndoa ya wewe na Ukawa