Sababu za kura ya HAPANA kwa Katiba Inayopendekezwa

Sababu za kura ya HAPANA kwa Katiba Inayopendekezwa

Mkuu uko vizuri kwa uchambuzi,
Hatuwezi kupigia kura hiyo katiba.
Hiyo ibara inayohusu kuwa na fedha nje ya nchi - ibara 29(2)(b) itakuwa imewekwa na Mafisadi.
Mtumishi wa umma anapata wapi fedha za kuficha nje ya nchi
???

So hata bepari mbowe asiweke fedha zake nje ya nchi japo alizipata kwa biashara zake binafsi??
 
So hata bepari mbowe asiweke fedha zake nje ya nchi japo alizipata kwa biashara zake binafsi??
Mbowe na members wenzake wachumia matumbo wa,ekuwa madebe matupu yenye kupiga kelele kila kona lkn hayafanikiwi, ndo mana waswahili husema kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji!
 
So hata bepari mbowe asiweke fedha zake nje ya nchi japo alizipata kwa biashara zake binafsi??

Ni jambo ambalo halikupaswa kupewa kipaumbele ktk Katiba.
Kumbuka uchumi wa nchi unaendeshwa na fedha zilizowekwa benki ie credit system
 
Aise kweli maelezo hayo bado yananishawish kupiga Kura ya ndiyo kwa katiba pendekezwa kwa mstakabali wa taifa la kesho
 
unajua tusipende kupost kwa kukariri. soma kwanza katiba inayopendekezwa ujue kama ina kuzuia chochote cha maendeleo kukariri kubaya
 
Kuna sababu nyingi za kuipigia kura ya hapana katiba inayopendekezwa.
Kati ya sababu hizo ni ubatili wa mchakato wenyewe ambao ulihodhiwa na ccm, kutokuwa na sifa za msingi za katiba, kutokuwa na muafaka wa kitaifa zaidi ya kulinda maslahi ya ccm na baadhi ya wabunge hasa wasio na elimu na uwezo, kuacha mambo ya msingi yaliyopendekezwa na wananchi nk.

Haijaweka mfumo wa kutenganisha mamlaka (separation of powers) na hivyo inatoa fursa kwa matumizi mabaya ya madaraka (abuse of powers).

Lakini pia katika kuipitia katiba yenyewe inayopendekezwa nimeona mapungufu mengi, hasa katika muundo wa serikali ambao una mikanganyiko mingi ibara za 1(1), 75, 76, 77 na 163.

Inaruhusu viongozi wa umma kuwa na fedha nje ya nchi ( ie issue km ya vijisenti vya chenge haitokuwa kashfa tena) ibara 29(2)(b).

Katiba hii pia bado inapingana katika maeneo mengi na Katiba ya Zanzibar ya mwaka (1984) toleo la 2010.

Tume huru ya uchaguzi ni jina tu, lakini sio huru - viongozi wake wote wanateuliwa na Rais ambaye ni mwenyekiti wa ccm - Ibara 217(2) na 222(1).

Nadhani ilikuwa vema kwa Bunge Maalumu kuzingatia maoni ya Tume ya Jaji Warioba.




N.B
Separation of powers is a political system in which Legislative, Executive, and Judicial are kept distinct in order to prevent abuse of power and promote a system of checks and balances.
View attachment 248635


Huo ndo mwisho wa uwezo wako wa kufikiri kwa kucopy na kupaste google.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    187.9 KB · Views: 61
Unajua maana ya google ?
Nauliza tu.

Je? kuna ukeli wowote kuwa asiyejua maana usimwambie maana? Pima busara yako na umuhimu wa maana ya neno hilo kwa jamii. Kama siyo lazima potezea maana hakuna kinachoharibika.
 
Inaweza kuwa implemented ikipigiwa kura ya ndiyo....maana kila mtu anasema imezungumzia hiki kile na makundi yote.hakuna anayezungumzia mgawanyo wa pesa na ZNZ na kama tukiwadhamini ZNZ kukopa wakashindwa kulipa au wakakataa kulipa itakuwaje....tuelimisheni basi.Ombeni kipindi kwenye TV wanaounga mkono na wanaopinga tuwasikie
 
Inaweza kuwa implemented ikipigiwa kura ya ndiyo....maana kila mtu anasema imezungumzia hiki kile na makundi yote.hakuna anayezungumzia mgawanyo wa pesa na ZNZ na kama tukiwadhamini ZNZ kukopa wakashindwa kulipa au wakakataa kulipa itakuwaje....tuelimisheni basi.Ombeni kipindi kwenye TV wanaounga mkono na wanaopinga tuwasikie

Ndiyo hiyo ndg ni ya Watanzania ambao wanasema "Sisi wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tumeamua rasmi na kwa dhati kujenga katika nchi yetu jamii inayoheshimu na kuzingatia misingi ya utu na udugu, uhuru, kujitegemea, haki, usawa, amani na utulivu, umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha yetu.


Nyingine ni porojo tu, taifa ni lazima liwe na misingi na misingi hiyo ipo kwnye Katiba na siyo vijiweni. Jenga kwanza msingi imara ndipo nyumba nayo itakuwa imara.
 
Ndiyo hiyo ngd ni ya Watanzania ambao wanasema “Sisi wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tumeamua rasmi na kwa dhati kujenga katika nchi yetu jamii inayoheshimu na kuzingatia misingi ya utu na udugu, uhuru, kujitegemea, haki, usawa, amani na utulivu, umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha yetu.


Nyingine ni porojo tu, taifa ni lazima liwe na misingi na misingi hiyo ipo kwnye Katiba na siyo vijiweni. Jenga kwanza msingi imara ndipo nyumba nayo itakuwa imara.

Nimeshindwa kukuelewa,mimi ningependelea kuelimishwa hii katiba kwa njia rahisi ya mjadala kati ya wale walioshiriki toka tume na bunge la katiba ie aweko Mpanju na Polepole
 
Inaweza kuwa implemented ikipigiwa kura ya ndiyo....maana kila mtu anasema imezungumzia hiki kile na makundi yote.hakuna anayezungumzia mgawanyo wa pesa na ZNZ na kama tukiwadhamini ZNZ kukopa wakashindwa kulipa au wakakataa kulipa itakuwaje....tuelimisheni basi.Ombeni kipindi kwenye TV wanaounga mkono na wanaopinga tuwasikie
Wewe mzalendo vipi unawaza mabaya ya kushindwa. Je kwa nini usiwaze wakiweza kufanya vizuri na kulipa. Be optimistic and avoid your pessimistic view. Endapo watashindwa kulipa mkataba wa mkopo si umeeleza wazi hatua zitakazochukuliwa. Kama hujui sheria uliza hata jirani yako anayejua sheria akusaidie kuliko kuwaza kushindwa. Kuhusu kipindi cha Tv kama uko tayari kukilipia sema sisi tuko tayari kutoa elimu kama hivi tunavyokuelimisha.:msela:
 
Wewe mzalendo vipi unawaza mabaya ya kushindwa. Je kwa nini usiwaze wakiweza kufanya vizuri na kulipa. Be optimistic and avoid your pessimistic view. Endapo watashindwa kulipa mkataba wa mkopo si umeeleza wazi hatua zitakazochukuliwa. Kama hujui sheria uliza hata jirani yako anayejua sheria akusaidie kuliko kuwaza kushindwa. Kuhusu kipindi cha Tv kama uko tayari kukilipia sema sisi tuko tayari kutoa elimu kama hivi tunavyokuelimisha.:msela:

Imedhihirika mengi yametushinda na yanaendelea kutushinda na ushahidi unao.Ndugu yangu nikusihi tu uyaangalie maisha tuliyonayo watanzania wengi huku vijijini tunakufa tunapigika tunanjaa tunashida.Naona umeandika MSELA hivi maana halisi ya hili neno ni nini...naona linaandikwa sana kwenye malori na daladala kama vile Msela hafi, akifa haozi, akioza hanuki.Elimu yangu ni ya kawaida ya kidato cha 4 mwaka 1966 inanipa shida sana kuelewa Msela
 
Nimeshindwa kukuelewa,mimi ningependelea kuelimishwa hii katiba kwa njia rahisi ya mjadala kati ya wale walioshiriki toka tume na bunge la katiba ie aweko Mpanju na Polepole

Usifikirie kwamba kila kitu unachopenda wewe watu wote lazima wakipende pia. kwenye mjadala unaweza kupata kilichobora na wakati mwingine ukalishwa vumbi tupu nawe ukawa umejaa vumbi matokeo yake ukaanza nawe kutimuka vumbi na kuwachafua watu wengine.
 
Usifikirie kwamba kila kitu unachopenda wewe watu wote lazima wakipende pia. kwenye mjadala unaweza kupata kilichobora na wakati mwingine ukalishwa vumbi tupu nawe ukawa umejaa vumbi matokeo yake ukaanza nawe kutimuka vumbi na kuwachafua watu wengine.

Kipima joto
 
Imedhihirika mengi yametushinda na yanaendelea kutushinda na ushahidi unao.Ndugu yangu nikusihi tu uyaangalie maisha tuliyonayo watanzania wengi huku vijijini tunakufa tunapigika tunanjaa tunashida.Naona umeandika MSELA hivi maana halisi ya hili neno ni nini...naona linaandikwa sana kwenye malori na daladala kama vile Msela hafi, akifa haozi, akioza hanuki.Elimu yangu ni ya kawaida ya kidato cha 4 mwaka 1966 inanipa shida sana kuelewa Msela

Inaelekea wewe unauza mirungi hapa toka,biashara yako peleka kwenu Somalia sio Tz utapasuka!
 
Inaelekea wewe unauza mirungi hapa toka,biashara yako peleka kwenu Somalia sio Tz utapasuka!

Duuuuhhh umenikumbusha mbali saana. ARK mirungi toka KENYA inauzwa na mingine hupelekwa Singida..Babati..nk nk.Mwanza..Musoma..Shinyanga na kwenye migodi mirungi toka KENYA hupatikana.Hii kitu huku ni marufuku na huuzwa kila siku na mingi saana na inauzwa ghali saana,nimewahi kula,ni gharama sana.
 
Back
Top Bottom