Nenda hospital watakupima, au kanunue cha kwako.
Mwaka 1970 ndio mtihani wa mwisho wa E A CERTIFICATE OF EDUCATION ulifanyika.Darasa la Nane lilikoma miaka ya 65/66.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda hospital watakupima, au kanunue cha kwako.
Mwaka 1970 ndio mtihani wa mwisho wa E A CERTIFICATE OF EDUCATION ulifanyika.Darasa la Nane lilikoma miaka ya 65/66.
Wewe umekimbia Mirembe!! Na kura utapiga tu !View attachment 254722
Hajakosea hapo, wapo kunguni watakaopiga Ndiyoooooo ingawa kwa sasa wanajifanya kupinga, lkn ukweli wanaujua kwamba hapana zao hazitozaa matunda kamwe.Posting yako imenifurahisha saana kwa sababu haina ukweli au mimi ndiyo nimeshindwa kuilewa kama ina maana zaidi ya ulivyoiandika.Nikiendelea baada ya mwaka 1970 ukaanza mtihani wa TAIFA ukawa unaitwa National Certificate of Education ukisimamiwa na Baraza la Taifa la Mitihani na baada ya hapo muungano wetu ukawa unatafsiriwa kama ulivyosikia na mengi mengine.Pamoja na yote hayo LOGO kwenye posting yako imekaa vizuri Hongera.
Tatizo lako jazba !
...kunguni anaweza kupiga kura?
Posting yako imenifurahisha saana kwa sababu haina ukweli au mimi ndiyo nimeshindwa kuilewa kama ina maana zaidi ya ulivyoiandika.Nikiendelea baada ya mwaka 1970 ukaanza mtihani wa TAIFA ukawa unaitwa National Certificate of Education ukisimamiwa na Baraza la Taifa la Mitihani na baada ya hapo muungano wetu ukawa unatafsiriwa kama ulivyosikia na mengi mengine.Pamoja na yote hayo LOGO kwenye posting yako imekaa vizuri Hongera.
Chenge alijua alichofanya escrow ndo maana akitengeneza katiba ili imlinde
Hata wananchi wenyewe walijua kuwa Katiba Mpya ni lazima ndo maana wanasubiri kuipigia kura, mie nimeshajiandikisha kwenye Bvr sijui wewe?
Ratiba naamini imeshawekwa mitandaoni suala kubwa sasa watu wajitokeze kwa wingi kwenda kujiandikisha iki muda wa kupiga kura ukiwadia basi wawe huru kutimiza haki zao.Kujiandikisha kwa wale ambao bado, ni vema ratiba ya kujiandikisha ikiwafikia kwenye maeneo yenu ni vema mjitokeze kwa wingi ili tujenge kwa pamoja msingi wa Tanzania.
Haa wewe hivi hiyo ni akili ya kawaida kuamua kuwatukana watanzania??unawaita kunguni eeee??na juhudi zao za kujiandikisha ili wapige kura wao ni kunguni??kweli zero brain is talking!!
Haa wewe hivi hiyo ni akili ya kawaida kuamua kuwatukana watanzania??unawaita kunguni eeee??na juhudi zao za kujiandikisha ili wapige kura wao ni kunguni??kweli zero brain is talking!!
Hajakosea hapo, wapo kunguni watakaopiga Ndiyoooooo ingawa kwa sasa wanajifanya kupinga, lkn ukweli wanaujua kwamba hapana zao hazitozaa matunda kamwe.
Acha hizo kama umeshindwa kuishi humu JF Sepa usituchafulie hali ya hewa!Ungesoma vizuri.
Namjibu huyo mwenye jazba anayetuita kunguni.
Tena wewe ndo kunguni namba moja, jazba zikomwapi hapo au ndo unataka uk yeshwe jazba? Njaa itakuua kijanaUngesoma vizuri.
Namjibu huyo mwenye jazba anayetuita kunguni.
Kunguni kama wewe utapiga tuu hilo sina shaka nalo! Uliza jingineTatizo lako jazba !
...kunguni anaweza kupiga kura?
Kunguni kama wewe utapiga tuu hilo sina shaka nalo! Uliza jingine
Punguza jazba !
Turudi kwenye mada