Sababu za kura ya HAPANA kwa Katiba Inayopendekezwa

Sababu za kura ya HAPANA kwa Katiba Inayopendekezwa

Ni dhahiri kuwa mchakato wa kupata Katiba mpya umekwama.
Ili tuweze kupata Katiba, kama hoja italetwa tena siku zijazo, basi ni vema kuamua kwanza kuhusu mfumo wa Muungano.
Tukumbuke kuwa, kama ilivyo kwa Zanzibar, leo hii nasi tungekuwa na serikali ya Tanganyika basi tusingekubali kuivunja.
Hivyo suala la msingi ni kuamua kati ya serikali 3 au serikali 1.

Mkuu mchakato wa kupata Katiba mpya kwa maoni yangu umewekwa akiba kwa muda tu "PAUSE" na ukirejea utakuja na kasi ya ajabu mpaka tutashangaa, kama unakumbuka vizuri BMK lilishamaliza kazi yake ilibakia tu kuipigia kura, na hapa katikati kama unavyojua taifa letu limekua na mambo kibao likiwemo suala la uandikishaji wa wapiga kura kwenye daftari la kudumu ili kuhakikisha kuwa wote wenye sifa za kupiga kura wanatumia haki yao kikatiba kuamua mustakabali wa taifa lao, isingekua busara kuharakisha upigaji wa kura kabla ya kundi kubwa la vijana ambao nao wametimiza umri wa kupiga kura wangeachwa eti kwa sababu tu ya kukosekana kuwepo kwenye daftari la wapiga kura!

Mungu ni mkuu, Zoezi hili linaendelea naamini kura itapigwa Tu maadam kazi imebaki kwetu kuipa ridhaa!
 
Ni dhahiri kuwa mchakato wa kupata Katiba mpya umekwama.
Ili tuweze kupata Katiba, kama hoja italetwa tena siku zijazo, basi ni vema kuamua kwanza kuhusu mfumo wa Muungano.
Tukumbuke kuwa, kama ilivyo kwa Zanzibar, leo hii nasi tungekuwa na serikali ya Tanganyika basi tusingekubali kuivunja.
Hivyo suala la msingi ni kuamua kati ya serikali 3 au serikali 1.
Kwako wewe ndo unaona kuwa umekwama lakn sisi wenzako pamoja na Watanzania wengine kwa ujumla tunaona kuwa uko pale pale na Katiba hii itapatikana tuu wewe kuwa tu na kijiba roho chako hiko lkn mwisho wa siku majibu utayapata tuu
 
Kwako wewe ndo unaona kuwa umekwama lakn sisi wenzako pamoja na Watanzania wengine kwa ujumla tunaona kuwa uko pale pale na Katiba hii itapatikana tuu wewe kuwa tu na kijiba roho chako hiko lkn mwisho wa siku majibu utayapata tuu

Vipi hasira zimeisha ?
 
Mkuu mchakato wa kupata Katiba mpya kwa maoni yangu umewekwa akiba kwa muda tu "PAUSE" na ukirejea utakuja na kasi ya ajabu mpaka tutashangaa, kama unakumbuka vizuri BMK lilishamaliza kazi yake ilibakia tu kuipigia kura, na hapa katikati kama unavyojua taifa letu limekua na mambo kibao likiwemo suala la uandikishaji wa wapiga kura kwenye daftari la kudumu ili kuhakikisha kuwa wote wenye sifa za kupiga kura wanatumia haki yao kikatiba kuamua mustakabali wa taifa lao, isingekua busara kuharakisha upigaji wa kura kabla ya kundi kubwa la vijana ambao nao wametimiza umri wa kupiga kura wangeachwa eti kwa sababu tu ya kukosekana kuwepo kwenye daftari la wapiga kura!

Mungu ni mkuu, Zoezi hili linaendelea naamini kura itapigwa Tu maadam kazi imebaki kwetu kuipa ridhaa!

Ufafanuzi mzuri.
Umesomeka mkuu.
Japo bado kuna changamoto
 
...
Haijaweka mfumo wa kutenganisha mamlaka (separation of powers) na hivyo inatoa fursa kwa matumizi mabaya ya madaraka (abuse of powers).

Inaruhusu viongozi wa umma kuwa na fedha nje ya nchi ( ie issue km ya vijisenti vya chenge haitokuwa kashfa tena) ibara 29(2)(b).

Hayo ni maeneo mawili ya muhimu sana.
Kutenganisha mihimili ya Dola ambayo ni Bunge, Mahakama na Serikali, ambapo Tume ya uchaguzi inaweza kuwa idara chini ya mhimili wa mahakama km ilivyo marekani.

Lakini pia ikataze watumishi wa umma kuwa na fedha nje ya nchi. NB: Watumishi wa umma sio km wale wahindi aliowataja zito, ie wafanyabiashara wanaruhusiwa kuwa na fedha nje (MNIs)
 
Hayo ni maeneo mawili ya muhimu sana.
Kutenganisha mihimili ya Dola ambayo ni Bunge, Mahakama na Serikali, ambapo Tume ya uchaguzi inaweza kuwa idara chini ya mhimili wa mahakama km ilivyo marekani.

Lakini pia ikataze watumishi wa umma kuwa na fedha nje ya nchi. NB: Watumishi wa umma sio km wale wahindi aliowataja zito, ie wafanyabiashara wanaruhusiwa kuwa na fedha nje (MNIs)

Kama huna hela huna tu, acha walionazo wakaziweke!
 
Back
Top Bottom