mwakaboko
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,931
- 757
wala usihangaike naye kujibizana naye. Huyu ndg yuko kwa project maalumu ya kudanganya WATANZANIA kuwa katiba ni nzuri wakati anajua inahujumu uchumi wa nchi yetu.
Mbona unachanganya changanya IDs zako.
Halafu, we mwenyewe ukiangalia posts zangu na majibu yako unajigundua kuwa upo very weak ktk uelewa, kujitambua na kujieleza, very weak and poor.
Hutoshi kuwa mwana JF