Mbona unachanganya changanya IDs zako.
Halafu, we mwenyewe ukiangalia posts zangu na majibu yako unajigundua kuwa upo very weak ktk uelewa, kujitambua na kujieleza, very weak and poor.
Hutoshi kuwa mwana JF
Kwa hiyo Zanzibar ni nchi ?Nenda kasome ARTICLE OF UNION vizuri kamanda la sivyo utaehuka bure! ukimaliza nenda UN uone kama kuna kiti cha Zanzibar, ukimaliza rudi hapa uniambie Rais wa Jamhuri ya Muungano anatoka huku bara au ZnZ! Huwezi kuwa na Muungano wa nchi 1 ila unakua na muungano wa nchi 2 au zaidi!
Kwa hiyo Zanzibar ni nchi ?
Ndiyo yako inakubaliana na hoja yangu na ile ya Pinda.
Kama Zanzibar ni nchi then what about Tanganyika ?
Kama Zanzibar ni nchi imeungana na nani ?
Kama Zanzibar ni nchi then Watanganyika utaifa wao ni upi ? ...etc
...mwisho wa siku utarudi kwenye ukweli kuwa ilipaswa tuwe na serikali moja, nchi moja, Rais mmoja.
Na hilo likishindikana basi Tanganyika irudi tuwe na serikali 3.
Imeungana Tanganyika,Unguja na Pemba = Tanzania! Uliza swali lingine!
Mkuu Martinez,Ndiyo yako inakubaliana na hoja yangu na ile ya Pinda.
Kama Zanzibar ni nchi then what about Tanganyika ?
Kama Zanzibar ni nchi imeungana na nani ?
Kama Zanzibar ni nchi then Watanganyika utaifa wao ni upi ? ...etc
...mwisho wa siku utarudi kwenye ukweli kuwa ilipaswa tuwe na serikali moja, nchi moja, Rais mmoja.
Na hilo likishindikana basi Tanganyika irudi tuwe na serikali 3.
Umedandia gari kwa mbele ?
Uelewa wako ni finyu sana kiasi hujui hata ulichojibu.
Mkuu Martinez,
Hawawezi kujibu hilo swali hao makada.
Wao ni bendera fuata upepo.
Kimsingi muundo wa muungano unahitaji marekebisho ya kuivunja serikali ya Zanzibar au kuongeza ya Tanganyika
ndiyo yako inakubaliana na hoja yangu na ile ya pinda.
Kama zanzibar ni nchi then what about tanganyika ?
Kama zanzibar ni nchi imeungana na nani ?
Kama zanzibar ni nchi then watanganyika utaifa wao ni upi ? ...etc
...mwisho wa siku utarudi kwenye ukweli kuwa ilipaswa tuwe na serikali moja, nchi moja, rais mmoja.
na hilo likishindikana basi tanganyika irudi tuwe na serikali 3.
Mkuu Martinez,
Hawawezi kujibu hilo swali hao makada.
Wao ni bendera fuata upepo.
Kimsingi muundo wa muungano unahitaji marekebisho ya kuivunja serikali ya Zanzibar au kuongeza ya Tanganyika
wewe na mimi tuko pamoja!!!!!!!!
Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia ?
...so sad.
Ndiyo yako inakubaliana na hoja yangu na ile ya Pinda.
Kama Zanzibar ni nchi then what about Tanganyika ?
Kama Zanzibar ni nchi imeungana na nani ?
Kama Zanzibar ni nchi then Watanganyika utaifa wao ni upi ? ...etc
...mwisho wa siku utarudi kwenye ukweli kuwa ilipaswa tuwe na serikali moja, nchi moja, Rais mmoja.
Na hilo likishindikana basi Tanganyika irudi tuwe na serikali 3.
Watanzania wengi wanapenda kusikia habari za Lowassa, Dr Slaa, Magufuli, Tundu Lissu nk.
Issue muhimu km hizi hawapo kabisa.
Wangejua, ..tatizo letu ni mfumo (ie Katiba) na sio watu.
Mwisho wanatarudi palepale, ...afadhali ya mkapa, afadhali mwinyi, ...tatizo ni mfumo na sio watu !
Pamoja mkuu !wewe na mimi tuko pamoja!!!!!!!!