We geuza maneno ila point yako tunaijua. Acha kutetea ushogaAcha kupotosha, Papa hajabariki ndoa za jinsia moja, ameruhusu kubariki wanaojihusisha sio kubariki mahusiano hayo, kama jinsi majambazi,wezi, mafisadi wanavyokaribishwa kanisani ili waokoke, ndivyo nao wanakaribishwa kanisani.
Apate sadaka? Kwahiyo kazi ya kanisa ni kupokea sadaka tu na sio kukemea maovu. Ushoga unawamaliza pole pole. Leo mnaukaribisha kanisani, kesho unaingia majumbani kwenuYeye anaangalia maslahi hana muda na ufirauni wenu kikubwa apate sadaka
Yaani hujaelewa, kanisa linaendeshwa na fedha za waumini kwahiyo wakipata na za hao mashoga pia mfuko wao utatunaApate sadaka? Kwahiyo kazi ya kanisa ni kupokea sadaka tu na sio kukemea maovu. Ushoga unawamaliza pole pole. Leo mnaukaribisha kanisani, kesho unaingia majumbani kwenu
Vipi ujambazi nao utetewe? Wizi? Uuwaji? Kwa hiyo nao watengwe na kanisa?We geuza maneno ila point yako tunaijua. Acha kutetea ushoga
Muuaji au jambazi akienda kanisani anaenda kutubia na sio kupewa baraka aendelee na ujambazi wake. Ila mashoga mnayapa baraka yaendelee na ushoga na mpaka kufikia hatua ya kuwaozesha mashoga kanisani. Hii inaonesha ni jinsi gani ushoga ulivyowatawala. Acheni double standardsVipi ujambazi nao utetewe? Wizi? Uuwaji? Kwa hiyo nao watengwe na kanisa?
Kwahiyo kanisa linaendeshwa kwa fedha haramu. Okay nimeelewaYaani hujaelewa, kanisa linaendeshwa na fedha za waumini kwahiyo wakipata na za hao mashoga pia mfuko wao utatuna
Pesa wanazo tayari Acha kuwatetea. Wanajua wanacho fanya ni agenda tu kumuandalia yule jamaa mazingira mzuri ya yeye kukubalika na wanaduniaKanisa la Roma halina agenda yeyote ya ushoga ni maslahi ndiyo yanawatesa
Wanajiuliza je kama hawa mashoga wana hela kwanini tusifanye namna tukazipata
Nisawa na kusema mzinga ule wa nyuki una asali nyingi sana lakini una nyuki
Afadhali tuumwe nyuki lakini tupate ile asali
Kuumwa na nyuki kwao ni kashfa watakazopata kutoka ulimwenguni lakini tayari asali wameshaipata kwahiyo kwao haitawasumbua sana
Kwahiyo kanisa la Roma halibariki ushoga bali linajitahidi kuunganisha waumini wote kuwa kitu kimoja ili wanufaike kwa namna mbalimbali
Naomba ufafanuzi aliyemwelewa hapa ndugu mleta uzi 🤣🤣🤣Kwahiyo kanisa la Roma halibariki ushoga bali linajitahidi kuunganisha waumini wote kuwa kitu kimoja ili wanufaike kwa namna