Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Maslahi gani?Ni maslahi tu sio sababu nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maslahi gani?Ni maslahi tu sio sababu nyingine
Hizo taarifa ya kwamba wanaenda kuambiwa waendelee na maovu yao umezipata kijiwe ganiMuuaji au jambazi akienda kanisani anaenda kutubia na sio kupewa baraka aendelee na ujambazi wake. Ila mashoga mnayapa baraka yaendelee na ushoga na mpaka kufikia hatua ya kuwaozesha mashoga kanisani. Hii inaonesha ni jinsi gani ushoga ulivyowatawala. Acheni double standards
Ndugu tajiri hatoshekiSiyo kweli. Kanisa Katoliki lina utajiri mkubwa sana kama Taasisi kuliko taasisi yeyote unayoifahamu duniani.
Matamko ya Pope Francis ni ya kwake binafsi na tafsiri zake zinapotoshwa na vyombo vya habari.
Maamuzi au mabadiliko ya Kanisa hufanywa na Vatican Vatican Council au Mtaguso Mkuu wa Vatican.
Mtaguso Mkuu wa pili na wa mwisho hadi leo ulifanyika mwaka 1959 wakati wa Pope John XXIII
Tofauti waizi, mafisadi hawajitangazi mimi ni mwizi.. tukubali tu hapa Papa kachemka vibaya sana. sasa hajabariki halafu unasema ameruhusu kubariki una maana gani? kama unafananisha na waizi na wengine wangekuja kanisani kimya kimya na kufanya ibada hayo ya huyu shoga au sio hakuna mtu angeongea. Ila hawa jamaa wanataka rasmi watambuliwe na Papa kachemka vibaya sana. Ukimjuwa huyu mtu mwizi utamwambia acha wizi, mafisadi wanyongwe sasa mashoga utawaambia nini? karibuni tu fanyeni tu shauri yenu.Acha kupotosha, Papa hajabariki ndoa za jinsia moja, ameruhusu kubariki wanaojihusisha sio kubariki mahusiano hayo, kama jinsi majambazi,wezi, mafisadi wanavyokaribishwa kanisani ili waokoke, ndivyo nao wanakaribishwa kanisani.
Sasa unajuaje hili tamko lake binafsi au hili la RC, yeye kiongozi wa RC akitamka hakuna lake binafsi. Toka lini Rais wa nchi akiwa madarakani akasema hili langu binafsi hili la Rais. Papa aombe msamaha hili limeripotiwa dunia nzima kuwa kasema sasa atoke hadharani na kusema hapana ushoga kwetuni haramu kwa mujibu wa maandiko yetu ila shauri yako ukiwa unayafanya ila kwentu kanisani hayana nafasi. Haya ni maneno ya Mungu wetu na hayana mjadala.Siyo kweli. Kanisa Katoliki lina utajiri mkubwa sana kama Taasisi kuliko taasisi yeyote unayoifahamu duniani.
Matamko ya Pope Francis ni ya kwake binafsi na tafsiri zake zinapotoshwa na vyombo vya habari.
Maamuzi au mabadiliko ya Kanisa hufanywa na Vatican Vatican Council au Mtaguso Mkuu wa Vatican.
Mtaguso Mkuu wa pili na wa mwisho hadi leo ulifanyika mwaka 1959 wakati wa Pope John XXIII
True, ni lazima kila siku azue taharuki? Hata kama kweli hajasema kanisa lifungishe ndoa za jinsia moja ni lazima kila siku yeye azungumzie haya mambo? Kichwani kwake ndio mambo aliyoyajaza hayo. ?Amna kitu hapa istoshe kusema papa kazingua kwa namna mojaa tu na wala sio nyingine..
Mimi nasema goodbye my church, imani imenisaliti.
Kwanza kuwazunguamzia tu mashoga na ushoga afu church la kitambo Kama lile ni jau sana
F@ck papa..
Wazungu wanafirana na kusagana sana na wapo wanaoishi kama wapenzi na wamefunga ndoaMashoga hao hao yanatoa sadaka pia
Hata wale wenye mke zaidi ya mmojaNamsikiliza hapa dw Bab Methodius anamtetea kbsa Papa kuwa Yuko sahih na anabariki watu wote plbila kubaguwa
Musidanganyike... Petro wa Roma sio yule mwana funzi was Yesu la, Petro wa wa Roma ni "IMANI PETRO yuleee was TZ.petro hakuwahi kuwa papa
Excellent Mr Right 👍Wazungu wanafirana na kusagana sana na wapo wanaoishi kama wapenzi na wamefunga ndoa
Katoliki wameamua ku-modernize kanisa lao kwa kusema wanawabariki mashoga na wasagaji, ili wasiwakwaze waumini wao ambao ni mashoga na wasagaji na pia kuwavutia mashoga na wasagaji wengine wajiunge na kanisa
Katoliki limeamua rasmi sasa kuwa kanisa la machokoExcellent Mr Right 👍
Inasikitisha sanaKazi kwelkwel
Una point mkuu wakusikilizeAcha kupotosha, Papa hajabariki ndoa za jinsia moja, ameruhusu kubariki wanaojihusisha sio kubariki mahusiano hayo, kama jinsi majambazi,wezi, mafisadi wanavyokaribishwa kanisani ili waokoke, ndivyo nao wanakaribishwa kanisani.