Sababu za Papa Fransis Kubariki Ndoa za Jinsia Moja

Sababu za Papa Fransis Kubariki Ndoa za Jinsia Moja

Muuaji au jambazi akienda kanisani anaenda kutubia na sio kupewa baraka aendelee na ujambazi wake. Ila mashoga mnayapa baraka yaendelee na ushoga na mpaka kufikia hatua ya kuwaozesha mashoga kanisani. Hii inaonesha ni jinsi gani ushoga ulivyowatawala. Acheni double standards
Hizo taarifa ya kwamba wanaenda kuambiwa waendelee na maovu yao umezipata kijiwe gani
 
Kiongozi wa wakristo kashaunga mkono ushoga na ni ruksa kanisani , we upo kwenu huko kazulamimba unajidai unaujua ukristo kuliko papa
 
Siyo kweli. Kanisa Katoliki lina utajiri mkubwa sana kama Taasisi kuliko taasisi yeyote unayoifahamu duniani.

Matamko ya Pope Francis ni ya kwake binafsi na tafsiri zake zinapotoshwa na vyombo vya habari.

Maamuzi au mabadiliko ya Kanisa hufanywa na Vatican Vatican Council au Mtaguso Mkuu wa Vatican.

Mtaguso Mkuu wa pili na wa mwisho hadi leo ulifanyika mwaka 1959 wakati wa Pope John XXIII
Ndugu tajiri hatosheki
 
Acha kupotosha, Papa hajabariki ndoa za jinsia moja, ameruhusu kubariki wanaojihusisha sio kubariki mahusiano hayo, kama jinsi majambazi,wezi, mafisadi wanavyokaribishwa kanisani ili waokoke, ndivyo nao wanakaribishwa kanisani.
Tofauti waizi, mafisadi hawajitangazi mimi ni mwizi.. tukubali tu hapa Papa kachemka vibaya sana. sasa hajabariki halafu unasema ameruhusu kubariki una maana gani? kama unafananisha na waizi na wengine wangekuja kanisani kimya kimya na kufanya ibada hayo ya huyu shoga au sio hakuna mtu angeongea. Ila hawa jamaa wanataka rasmi watambuliwe na Papa kachemka vibaya sana. Ukimjuwa huyu mtu mwizi utamwambia acha wizi, mafisadi wanyongwe sasa mashoga utawaambia nini? karibuni tu fanyeni tu shauri yenu.
 
Mi ndio maana haya mambo ya makanisa yenu nilishaachana nayo toka nilipokuwa na miaka 14. Uongo uongo tu.

Mtu anasimama mbele kutuhubiria anatudanganyaaa, unatuonaje bro! 😏🗑️🚮
 
Siyo kweli. Kanisa Katoliki lina utajiri mkubwa sana kama Taasisi kuliko taasisi yeyote unayoifahamu duniani.

Matamko ya Pope Francis ni ya kwake binafsi na tafsiri zake zinapotoshwa na vyombo vya habari.

Maamuzi au mabadiliko ya Kanisa hufanywa na Vatican Vatican Council au Mtaguso Mkuu wa Vatican.

Mtaguso Mkuu wa pili na wa mwisho hadi leo ulifanyika mwaka 1959 wakati wa Pope John XXIII
Sasa unajuaje hili tamko lake binafsi au hili la RC, yeye kiongozi wa RC akitamka hakuna lake binafsi. Toka lini Rais wa nchi akiwa madarakani akasema hili langu binafsi hili la Rais. Papa aombe msamaha hili limeripotiwa dunia nzima kuwa kasema sasa atoke hadharani na kusema hapana ushoga kwetuni haramu kwa mujibu wa maandiko yetu ila shauri yako ukiwa unayafanya ila kwentu kanisani hayana nafasi. Haya ni maneno ya Mungu wetu na hayana mjadala.
 
Amna kitu hapa istoshe kusema papa kazingua kwa namna mojaa tu na wala sio nyingine..

Mimi nasema goodbye my church, imani imenisaliti.

Kwanza kuwazunguamzia tu mashoga na ushoga afu church la kitambo Kama lile ni jau sana

F@ck papa..
True, ni lazima kila siku azue taharuki? Hata kama kweli hajasema kanisa lifungishe ndoa za jinsia moja ni lazima kila siku yeye azungumzie haya mambo? Kichwani kwake ndio mambo aliyoyajaza hayo. ?

Mi nashangaa sana wanaomuunga mkono huyu mzee. Wakatoliki mko in denial, mnashindwa kumpinga papa 🤣🤣🤣🤣
 
Haya mambo yako katika dini zote watu wanafanya lakini hakuna dini wakaja hadharani na kusema yaah tunaruhusu sasa, eeh imekuwa kama katiba ya nchi tena? kama unafanya uwe muislamu, mkristo au dini yoyote ni yako huko chumbani lakini usiyalete ukataka jamii iyakubali au dini, hapana. Papa ni mtu anaongoza waumini wa RC, imani za RC zinajulikana wewe ni binadamu tu japo kuwa ni Papa, leo upo kesho haupo dini inaendelea hakuwa na haja ya kuleta hizi kauli za kijinga. Na kama wameposha hakusema hivyo basi vita vya wazayuni wameanza juu ya Papa kwa kuwa amewakosoa juzi kuuwa watoto inawezekana wameanza kumshambulia, nasema labda.
 
Mashoga hao hao yanatoa sadaka pia
Wazungu wanafirana na kusagana sana na wapo wanaoishi kama wapenzi na wamefunga ndoa

Katoliki wameamua ku-modernize kanisa lao kwa kusema wanawabariki mashoga na wasagaji, ili wasiwakwaze waumini wao ambao ni mashoga na wasagaji na pia kuwavutia mashoga na wasagaji wengine wajiunge na kanisa
 
Wazungu wanafirana na kusagana sana na wapo wanaoishi kama wapenzi na wamefunga ndoa

Katoliki wameamua ku-modernize kanisa lao kwa kusema wanawabariki mashoga na wasagaji, ili wasiwakwaze waumini wao ambao ni mashoga na wasagaji na pia kuwavutia mashoga na wasagaji wengine wajiunge na kanisa
Excellent Mr Right 👍
 
Acha kupotosha, Papa hajabariki ndoa za jinsia moja, ameruhusu kubariki wanaojihusisha sio kubariki mahusiano hayo, kama jinsi majambazi,wezi, mafisadi wanavyokaribishwa kanisani ili waokoke, ndivyo nao wanakaribishwa kanisani.
Una point mkuu wakusikilize
 
Back
Top Bottom