Sababu za Papa Fransis Kubariki Ndoa za Jinsia Moja

Sababu za Papa Fransis Kubariki Ndoa za Jinsia Moja

Kanisa la Roma halina agenda yeyote ya ushoga ni maslahi ndiyo yanawatesa

Wanajiuliza je kama hawa mashoga wana hela kwanini tusifanye namna tukazipata

Nisawa na kusema mzinga ule wa nyuki una asali nyingi sana lakini una nyuki

Afadhali tuumwe nyuki lakini tupate ile asali

Kuumwa na nyuki kwao ni kashfa watakazopata kutoka ulimwenguni lakini tayari asali wameshaipata kwahiyo kwao haitawasumbua sana

Kwahiyo kanisa la Roma halibariki ushoga bali linajitahidi kuunganisha waumini wote kuwa kitu kimoja ili wanufaike kwa namna mbalimbali
Siyo kweli. Kanisa Katoliki lina utajiri mkubwa sana kama Taasisi kuliko taasisi yeyote unayoifahamu duniani.

Matamko ya Pope Francis ni ya kwake binafsi na tafsiri zake zinapotoshwa na vyombo vya habari.

Maamuzi au mabadiliko ya Kanisa hufanywa na Vatican Vatican Council au Mtaguso Mkuu wa Vatican.

Mtaguso Mkuu wa pili na wa mwisho hadi leo ulifanyika mwaka 1959 wakati wa Pope John XXIII
 
Kanisa la Roma halina agenda yeyote ya ushoga ni maslahi ndiyo yanawatesa

Wanajiuliza je kama hawa mashoga wana hela kwanini tusifanye namna tukazipata

Nisawa na kusema mzinga ule wa nyuki una asali nyingi sana lakini una nyuki

Afadhali tuumwe nyuki lakini tupate ile asali

Kuumwa na nyuki kwao ni kashfa watakazopata kutoka ulimwenguni lakini tayari asali wameshaipata kwahiyo kwao haitawasumbua sana

Kwahiyo kanisa la Roma halibariki ushoga bali linajitahidi kuunganisha waumini wote kuwa kitu kimoja ili wanufaike kwa namna mbalimbali
Mkuu hivi unajua ulichokiandika?
 
Hao wamelaaniwa wapi? Yesu alikuja kwa ajili ya nani? Nafikiri Hoja ieleweke.
Screenshot_20231219-141950_Gallery.jpg
 
Namsikiliza hapa dw Bab Methodius anamtetea kbsa Papa kuwa Yuko sahih na anabariki watu wote plbila kubaguwa
 
Acha kupotosha, Papa hajabariki ndoa za jinsia moja, ameruhusu kubariki wanaojihusisha sio kubariki mahusiano hayo, kama jinsi majambazi,wezi, mafisadi wanavyokaribishwa kanisani ili waokoke, ndivyo nao wanakaribishwa kanisani.
Uko sahih nimemsikia Happ baba Methodius kilaine akilifafanua Jambo Hilo kupitia dw ulichosema ni kile kile Cha baab Methodius
 
Najiuliza tu hivi ni nani mfadhili wa mambo haya ya ushoga? Na kwa faida gani mhusika anapata ili iweje kwa mfano.
 
Kwahiyo kanisa linaendeshwa kwa fedha haramu. Okay nimeelewa
siyo kanisa tu. Hakuna mahali mtu anaenda kutoa sadaka, zaka, zawadi, msaada nk anaanza kuulizwa fedha hizi umezipata wapi au umezipataje. Wapokeaji hawana hatia
 
Kanisa la Roma halina agenda yeyote ya ushoga ni maslahi ndiyo yanawatesa

Wanajiuliza je kama hawa mashoga wana hela kwanini tusifanye namna tukazipata

Nisawa na kusema mzinga ule wa nyuki una asali nyingi sana lakini una nyuki

Afadhali tuumwe nyuki lakini tupate ile asali

Kuumwa na nyuki kwao ni kashfa watakazopata kutoka ulimwenguni lakini tayari asali wameshaipata kwahiyo kwao haitawasumbua sana

Kwahiyo kanisa la Roma halibariki ushoga bali linajitahidi kuunganisha waumini wote kuwa kitu kimoja ili wanufaike kwa namna mbalimbali
Sababu kubwa sii hiyo peke yake fikiri pia kuwa kuna dayosisi ya jimbo katoliki huko USA iliwahi filisika kwa kulipa fidia familia za watoto waliolawitiwa na mapadre.
Maana yake ni kwamba muunganiko wa mashoga na wengi wa mapadre ni obvious.

Sasa kama dume amepumuliwa na kasisi aliyejificha kwenye kichaka cha utumishi wa kanisa, kasisi huyo anapata wapi ujasiri wa kukataa kubariki wahanga wa ushoga uliosababishwa na wao?

Jumuia hizi za kitheologia zimeficha wasomi wengi walio wanachama wa freemason na kwa msingi huo ni wanakamati katika vikao vikuu vya maamuzi ndani ya dini hizi kubwa zinye ushawishi katika serikali nyingi duniani.

Haiingii akilini hata kwa zile akili za kawaida kubariki jambo ambalo unaamini linapaswa kutubiwa. Dhamira haiwezi kushtaki nafsi iliyoungwa mkono wa shirika na wakuu kwa baraka zote.
 
siyo kanisa tu. Hakuna mahali mtu anaenda kutoa sadaka, zaka, zawadi, msaada nk anaanza kuulizwa fedha hizi umezipata wapi au umezipataje. Wapokeaji hawana hatia
Utasemaje hawana hatia na tayari washawatambua na wanawakaribisha na kuwapa support.

Mtoto akienda kuiba pesa akakuletea ukapokea, kesho ataenda kuiba tena. Ila ukioneshwa kuchukizwa na kukataa kile anachokupa. Basi atajitafakari na huenda akabadilika.
 
Sababu kubwa sii hiyo peke yake fikiri pia kuwa kuna dayosisi ya jimbo katoliki huko USA iliwahi filisika kwa kulipa fidia familia za watoto waliolawitiwa na mapadre.
Maana yake ni kwamba muunganiko wa mashoga na wengi wa mapadre ni obvious.
Sasa kama dume amepumuliwa na kasisi aliyejificha kwenye kichaka cha utumishi wa kanisa, kasisi huyo anapata wapi ujasiri wa kukataa kubariki wahanga wa ushoga uliosababishwa na wao?
Jumuia hizi za kitheologia zimeficha wasomi wengi walio wanachama wa freemason na kwa msingi huo ni wanakamati katika vikao vikuu vya maamuzi ndani ya dini hizi kubwa zinye ushawishi katika serikali nyingi duniani.
Haiingii akilini hata kwa zile akili za kawaida kubariki jambo ambalo unaamini linapaswa kutubiwa. Dhamira haiwezi kushtaki nafsi iliyoungwa mkono wa shirika na wakuu kwa baraka zote.


---https://www.google.com/url?q=https://www.dw.com/sw/watoto-330000...EQFnoECAEQAg&usg=AOvVaw1o4pwhxLDWM1RBlnDZMn-Y

-----https://www.google.com/url?q=https://parstoday.ir/sw/news/world-...EQFnoECAcQAg&usg=AOvVaw1da1PUW6ZH0bKNsAeyylF-

---https://www.google.com/url?q=https://www.dw.com/sw/viongozi-wa-k...EQFnoECAQQAg&usg=AOvVaw2whb0Pa4Qrqqyvj5mByvUq

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu kwa reference nzuri
 
Back
Top Bottom