Sababu za Papa Fransis Kubariki Ndoa za Jinsia Moja

Sababu za Papa Fransis Kubariki Ndoa za Jinsia Moja

Cloning is real! Illuminati agenda ili waiweke dunia kwenye himaya yao kama wanavyotaka.

Nilishawahi kusoma tovuti fulani nyeti sana kupitia dark-web kwamba watu wengi tunaowaona mashuhuri leo hii kwamba sio wale halisia. Nilichoka! Na kuna ushahidi lukuki wa ku-prove kwamba sio wao bali wanawateka kwa kutumia akili kubwa sana na kuwahoji kwa muda mrefu sana! Kuwapa onyo na wengineo huwa wanawaulia mbali wakiona hili ni jipu!...tunaowaona leo hii na kushangazwa na matendo na michango yao katika jamii sio wao halisia bali ni "Cloning"... jiulize mtu alikuwa anapinga katakata kitu fulani, mara ghafla abadilike na kuwa kinara kutetea. Watu wachache waliofanyiwa Cloning ni Huyo Pope Francis, Joe biden, Barack Obama, huyo Pope Francis, Mandela, Angel Markel, Bill Gates, Eminem na wengine tele!

Kuna usiri mkubwa hata kwenye kifo cha 2pac... inasemekana alikimbia hayo madudu

Wajinga watatiririka kubisha
 
Hii agenda ni kubwa sana
UK walikuwa wanaongelea kuhusu kupeleka muswada bungeni kuwa watoto wa shule wakiamua kubadili jinsia wazazi wajulishwe na pia shule zote eti ziwe na vyoo aina tatu na sehemu ya kubadili iongezwe
Msimshangae pope wana agenda zao
 
KANISA LIPO ZAIDI YA MIAKA 100 ILIYOPITA
KANISA LINA MIRADI MBALI MBALI YA MASHULE NA HOSPITALI
KANISA HALINA SHIDA NA PESA, KANISA LINA PESA

KUNA MADA NYINGI SANA HAPA NA KULE YOUTUBE JUU YA PAPA KUWA CHAWA WA ANT-CHRIST!
NI CHEO KILIANZISHWA MAKUSUDI KWA SBB HIYO.
KIBIBLIA HAKUNA POPOTE CHEO CHA PAPA KIKITAMBULIKANA.
NIKO TAYARI KUSAHIHISHWA!

MIMI NI MUUMINI WA KIKRISTO
Ndugu uliona wapi tajiri akitosheka
 
Kanisa la Roma halina agenda yeyote ya ushoga ni maslahi ndiyo yanawatesa

Wanajiuliza je kama hawa mashoga wana hela kwanini tusifanye namna tukazipata

Nisawa na kusema mzinga ule wa nyuki una asali nyingi sana lakini una nyuki

Afadhali tuumwe nyuki lakini tupate ile asali

Kuumwa na nyuki kwao ni kashfa watakazopata kutoka ulimwenguni lakini tayari asali wameshaipata kwahiyo kwao haitawasumbua sana

Kwahiyo kanisa la Roma halibariki ushoga bali linajitahidi kuunganisha waumini wote kuwa kitu kimoja ili wanufaike kwa namna mbalimbali
1. Hayo unayosema ni maoni yako hayajaandikwa kwenye document (Declaration). Hivyo, usianze kutulisha matango pori.
2. Document haijasema kubariki ndoa za jinsia moja.
3. Bali inasema kuombea watu wanaokuja ili waombewe ili Mwenyezi Mungu abadilishe maisha yao "to open one's life to God, to live better, and also to invoke the Holy Spirit so that the values of the Gospel may be lived with greater faithfulness" (paragraph 40). Sasa hebu na wewe onyesha aya ambayo papa amesema kubariki ndoa za jinsia moja.
 
NAjuta kubatizwa Roman Catholic na sitoabudi tena nasikiaga ni kanisa la kifrimasoni kwa hili la ushoga. Point proven. Goodby papaa nyangumi na kanisa lako Kama bahati ya hidi inayopokea uchafu wote
Amna kitu hapa istoshe kusema papa kazingua kwa namna mojaa tu na wala sio nyingine..

Mimi nasema goodbye my church, imani imenisaliti.

Kwanza kuwazunguamzia tu mashoga na ushoga afu church la kitambo Kama lile ni jau sa
 
Acha kupotosha, Papa hajabariki ndoa za jinsia moja, ameruhusu kubariki wanaojihusisha sio kubariki mahusiano hayo, kama jinsi majambazi,wezi, mafisadi wanavyokaribishwa kanisani ili waokoke, ndivyo nao wanakaribishwa kanisani.
Wewe mwenyewe umeelewa hiki ulichoandika?
 
NAjuta kubatizwa Roman Catholic na sitoabudi tena nasikiaga ni kanisa la kifrimasoni kwa hili la ushoga. Point proven. Goodby papaa nyangumi na kanisa lako Kama bahati ya hidi inayopokea uchafu wote
Nafafanua tena kuwa ushoga ni michezo ya makalioni ambayo ni ushenzi kwahiyo hakuna Shetani wala Fremason wanaodeal na mavi. Hiyo michezo ni ujinga wa binadamu mwenyewe
 
Kanisa la Roma halina agenda yeyote ya ushoga ni maslahi ndiyo yanawatesa

Wanajiuliza je kama hawa mashoga wana hela kwanini tusifanye namna tukazipata

Nisawa na kusema mzinga ule wa nyuki una asali nyingi sana lakini una nyuki

Afadhali tuumwe nyuki lakini tupate ile asali

Kuumwa na nyuki kwao ni kashfa watakazopata kutoka ulimwenguni lakini tayari asali wameshaipata kwahiyo kwao haitawasumbua sana

Kwahiyo kanisa la Roma halibariki ushoga bali linajitahidi kuunganisha waumini wote kuwa kitu kimoja ili wanufaike kwa namna mbalimbali
DPW Nyingine hii
 
Back
Top Bottom