Sababu za Papa Fransis Kubariki Ndoa za Jinsia Moja

Sababu za Papa Fransis Kubariki Ndoa za Jinsia Moja

Acha kupotosha, Papa hajabariki ndoa za jinsia moja, ameruhusu kubariki wanaojihusisha sio kubariki mahusiano hayo, kama jinsi majambazi,wezi, mafisadi wanavyokaribishwa kanisani ili waokoke, ndivyo nao wanakaribishwa kanisani.
Kubariki maana yake nini? Mtoto wako akiwa na tabia chafu utakemea tabia yake chafu au utabariki hio tabia yake?
Tukubali tu uyo papa wenu na kabineti yake wamevurugwa na shetani,dhambi aibarikiwi bali inakemewa, kuwabariki watu wazima wanaume wanaofirana ni usenge huo!
Bado kidogo tu mtakuwa na mapadre, maaskofu na makadinali mashoga! Na excuse itakayotumika ni hio!hio! kuwa tuwabariki mapadre mashoga.
Hao wajinga wazungu walishaanza ujinga kitambo,mara hawataki kuzaa,wanazaa katoto kamoja au wawili na nyie wamatumbi mkaiga!!

Mara watoto wa kike wanavaa vimini mara wanaume wanatoboa pua na kusuka yaani tafrani na nyie wamatumbi mnafata kwa kizingizio cha utandawazi na kuwa eti MUNGU atazami mwili anatazama roho!!

Ushenzi umeingia kwenye makanisa taratibu,leo sio ajabu mtu kuingia kanisani na nguo za kubana chupi zinaonekana! watu wanacheza sebene na mizuka kanisani!! mambo yote yaliyokuwa ni makatazo kidogo kidogo na kwa utaalamu sana yameingia kanisani na kuwa jambo la kawaida sana,hata suala la ushoga litakuwa kawaida tu muda si mrefu kwa kisingizio icho cha kubariki.

Leo makanisa ya hao catholic mafundisho ni dakika kumi! Dakika thelathini ni michango tu isiyo na kichwa wala miguu!! Hizi dini ni upigaji tu! Wanyama na uhayawani wao uwezi kukuta wanafirana! Shtukeni nyie vipofu!!dini ya ukweli ni ya asili ya kiafrica aina chuki wala mapokeo ya kufirana! Washenzi nyinyi.
 
Hakuna kanisa linalo tetea ushoga.

Mahusiano ya jinsia moja ni laana, Mungu wa mbiguni hakubali hilo, tutaendelea kukemea na kuwaombea mashoga wote waache tabia hiyo.
 
Kanisa la Roma halina agenda yeyote ya ushoga ni maslahi ndiyo yanawatesa

Wanajiuliza je kama hawa mashoga wana hela kwanini tusifanye namna tukazipata

Nisawa na kusema mzinga ule wa nyuki una asali nyingi sana lakini una nyuki

Afadhali tuumwe nyuki lakini tupate ile asali

Kuumwa na nyuki kwao ni kashfa watakazopata kutoka ulimwenguni lakini tayari asali wameshaipata kwahiyo kwao haitawasumbua sana

Kwahiyo kanisa la Roma halibariki ushoga bali linajitahidi kuunganisha waumini wote kuwa kitu kimoja ili wanufaike kwa namna mbalimbali
Papa hajaruhusu Baraka ya Ndoa ila baraka kwa muumini kama yeye, kwenye kanisa katoliki Ndoa ni sakramenti na papa hayaruhusu kufungisha ndoa kati ya mwanaume na mwanaume au mwanamke na mwanamke. So Baraka ni kwa mtu Binafsi.
 
Amna kitu hapa istoshe kusema papa kazingua kwa namna mojaa tu na wala sio nyingine..

Mimi nasema goodbye my church, imani imenisaliti.

Kwanza kuwazunguamzia tu mashoga na ushoga afu church la kitambo Kama lile ni jau sana

F@ck papa..
Ibada ya sanamu, Ushoga, Sadaka za kuumiza na kufilisi = Roman Catholic Church today
 
Kanisa la Roma halina agenda yeyote ya ushoga ni maslahi ndiyo yanawatesa

Wanajiuliza je kama hawa mashoga wana hela kwanini tusifanye namna tukazipata

Nisawa na kusema mzinga ule wa nyuki una asali nyingi sana lakini una nyuki

Afadhali tuumwe nyuki lakini tupate ile asali

Kuumwa na nyuki kwao ni kashfa watakazopata kutoka ulimwenguni lakini tayari asali wameshaipata kwahiyo kwao haitawasumbua sana

Kwahiyo kanisa la Roma halibariki ushoga bali linajitahidi kuunganisha waumini wote kuwa kitu kimoja ili wanufaike kwa namna mbalimbali
KANISA LIPO ZAIDI YA MIAKA 100 ILIYOPITA
KANISA LINA MIRADI MBALI MBALI YA MASHULE NA HOSPITALI
KANISA HALINA SHIDA NA PESA, KANISA LINA PESA

KUNA MADA NYINGI SANA HAPA NA KULE YOUTUBE JUU YA PAPA KUWA CHAWA WA ANT-CHRIST!
NI CHEO KILIANZISHWA MAKUSUDI KWA SBB HIYO.
KIBIBLIA HAKUNA POPOTE CHEO CHA PAPA KIKITAMBULIKANA.
NIKO TAYARI KUSAHIHISHWA!

MIMI NI MUUMINI WA KIKRISTO
 
Humu hamtafikia muafaka...
Hatuami ng"ooooo
 
Muuaji au jambazi akienda kanisani anaenda kutubia na sio kupewa baraka aendelee na ujambazi wake. Ila mashoga mnayapa baraka yaendelee na ushoga na mpaka kufikia hatua ya kuwaozesha mashoga kanisani. Hii inaonesha ni jinsi gani ushoga ulivyowatawala. Acheni double standards
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lia had machozi ya damu, ila pope ndo amesha semaa,
 
Amna kitu hapa istoshe kusema papa kazingua kwa namna mojaa tu na wala sio nyingine..

Mimi nasema goodbye my church, imani imenisaliti.

Kwanza kuwazunguamzia tu mashoga na ushoga afu church la kitambo Kama lile ni jau sana

F@ck papa..
Kwendraaaa hukooo, wee nani kwani?
Mbna unajipa umuhimu na venye hamna.
Umevurugwaa au, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji443][emoji443]"......Papa mkubwa Papa,Papa mdogo je?,Kipapa..." Kwa heri!!,[emoji445][emoji445]

Papa ni ufupisho wa Papai!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kiongozi wa wakristo kashaunga mkono ushoga na ni ruksa kanisani , we upo kwenu huko kazulamimba unajidai unaujua ukristo kuliko papa
Shangaa hapo sasa, ukute hata falsafa na thiolojia hajawahi funua hata ukurasa m1, lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wazungu wanafirana na kusagana sana na wapo wanaoishi kama wapenzi na wamefunga ndoa

Katoliki wameamua ku-modernize kanisa lao kwa kusema wanawabariki mashoga na wasagaji, ili wasiwakwaze waumini wao ambao ni mashoga na wasagaji na pia kuwavutia mashoga na wasagaji wengine wajiunge na kanisa
Sasa tatizo nn wakijiunga?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Straight uchwaraa wana haha vibayaaa
 
Shangaa hapo sasa, ukute hata falsafa na thiolojia hajawahi funua hata ukurasa m1, lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona unafurahia papa kukuunga mkono
 
siyo kanisa tu. Hakuna mahali mtu anaenda kutoa sadaka, zaka, zawadi, msaada nk anaanza kuulizwa fedha hizi umezipata wapi au umezipataje. Wapokeaji hawana hatia
Utasemaje hawana hatia na tayari washawatambua na wanawakaribisha na kuwapa support.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lia had machozi ya damu, ila pope ndo amesha semaa,
Kasemaje
 
Kanisa la Roma halina agenda yeyote ya ushoga ni maslahi ndiyo yanawatesa

Wanajiuliza je kama hawa mashoga wana hela kwanini tusifanye namna tukazipata

Nisawa na kusema mzinga ule wa nyuki una asali nyingi sana lakini una nyuki

Afadhali tuumwe nyuki lakini tupate ile asali

Kuumwa na nyuki kwao ni kashfa watakazopata kutoka ulimwenguni lakini tayari asali wameshaipata kwahiyo kwao haitawasumbua sana

Kwahiyo kanisa la Roma halibariki ushoga bali linajitahidi kuunganisha waumini wote kuwa kitu kimoja ili wanufaike kwa namna mbalimbali
WhatsApp Image 2023-12-19 at 21.58.00.jpeg
 
Back
Top Bottom