change formula
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 729
- 1,559
Kubariki maana yake nini? Mtoto wako akiwa na tabia chafu utakemea tabia yake chafu au utabariki hio tabia yake?Acha kupotosha, Papa hajabariki ndoa za jinsia moja, ameruhusu kubariki wanaojihusisha sio kubariki mahusiano hayo, kama jinsi majambazi,wezi, mafisadi wanavyokaribishwa kanisani ili waokoke, ndivyo nao wanakaribishwa kanisani.
Tukubali tu uyo papa wenu na kabineti yake wamevurugwa na shetani,dhambi aibarikiwi bali inakemewa, kuwabariki watu wazima wanaume wanaofirana ni usenge huo!
Bado kidogo tu mtakuwa na mapadre, maaskofu na makadinali mashoga! Na excuse itakayotumika ni hio!hio! kuwa tuwabariki mapadre mashoga.
Hao wajinga wazungu walishaanza ujinga kitambo,mara hawataki kuzaa,wanazaa katoto kamoja au wawili na nyie wamatumbi mkaiga!!
Mara watoto wa kike wanavaa vimini mara wanaume wanatoboa pua na kusuka yaani tafrani na nyie wamatumbi mnafata kwa kizingizio cha utandawazi na kuwa eti MUNGU atazami mwili anatazama roho!!
Ushenzi umeingia kwenye makanisa taratibu,leo sio ajabu mtu kuingia kanisani na nguo za kubana chupi zinaonekana! watu wanacheza sebene na mizuka kanisani!! mambo yote yaliyokuwa ni makatazo kidogo kidogo na kwa utaalamu sana yameingia kanisani na kuwa jambo la kawaida sana,hata suala la ushoga litakuwa kawaida tu muda si mrefu kwa kisingizio icho cha kubariki.
Leo makanisa ya hao catholic mafundisho ni dakika kumi! Dakika thelathini ni michango tu isiyo na kichwa wala miguu!! Hizi dini ni upigaji tu! Wanyama na uhayawani wao uwezi kukuta wanafirana! Shtukeni nyie vipofu!!dini ya ukweli ni ya asili ya kiafrica aina chuki wala mapokeo ya kufirana! Washenzi nyinyi.