''You have my full support''Mwenda zake tabia za akina Sabaya na Makonda alizipenda na kuzilea sana vinginevyo kwa kiongozi anaejali utawala bora vijana hao wawili wasingekuwa na jeuri ya kufanya hayo.Bwana yule kaichafua ccm pakubwa.Huku ni zaidi ya kukomoana. Ni kuhujumu uchumi wa nchi. Iongezwe kwenye kesi yake ya uhujumu uchumi. Sabaya ni jitu hovyo sana.
Ni wazo jema Mkuu ila wasifanyiwe interview na wabunge... nawaza kibajia na msukule hapo...Kuna haja ya katiba ifanyiwe marekebisho hawa RC na DC wawe wanaomba hizi kazi na kufanyiwa interview na Wabunge.
Combinatin ilikuwa kali mno - kati ya hawa vijana, Sidhani kuna fursa na Mnyeti kuchomokapo.... hawa wote walipewa JEURI na mwenzake!!''You have my full support''Mwenda zake tabia za akina Sabaya na Makonda alizipenda na kuzilea sana vinginevyo kwa kiongozi anaejali utawala bora vijana hao wawili wasingekuwa na jeuri ya kufanya hayo.Bwana yule kaichafua ccm pakubwa.
mkuu mrangi usifanye masihara Sabaya alikuwa anatisha kuliko wanyama wote unao wajuwa! Nyumba za watu zingekuwa na cctv camera ungemfuata sabaya Kisongo ukamle nyama mbichi.Kuna vi media vingine wao wako wako tu kushobokea watu,hawasimami kabisa misingi yao ya kazi,wakipewa bahasha tu wao wana piga kimya...
Huyu bwana mdg aliyekuwa dc kwanza alikuwa bonge la mshamba,sijui aliokotwa wapi
Ova
Duhmkuu mrangi usifanye masihara Sabaya alikuwa anatisha kuliko wanyama wote unao wajuwa!!!!
Nyumba za watu zingekuwa na cctv camera ungemfuata sabaya Kisongo ukamle nyama mbichi..
Hawa waliyopewa nafasi naona walitumia pia vyeo vyao kupora watu fedha na mali zaomkuu mrangi usifanye masihara Sabaya alikuwa anatisha kuliko wanyama wote unao wajuwa!!....
Huyu mtoto anatakiwa ahukumiwe kunyongwa!Mwaka jana mwishoni mfanyabiashara na mbunifu wa mavazi Jeffery Mmbungu maarufu kama @Speshoz alifungua kiwanda cha vinywaji vikali, wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro. Kiwanda hicho kinaitwa Daren Fabrics Industries Ltd kinazalisha kinywaji chenye jina Faru John...
Lakini Sabaya akazuia media hizo zisiripoti taarifa hiyo ya TRA. Ni ITV pekee walioamua kusimama katika misingi ya taaluma na kutoa ufafanuzi kwa umma. Media nyingine ziliamua kusimama na Sabaya. What a shame?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Mwaka jana mwishoni mfanyabiashara na mbunifu wa mavazi Jeffery Mmbungu maarufu kama @Speshoz alifungua kiwanda cha vinywaji vikali, wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro. Kiwanda hicho kinaitwa Daren Fabrics Industries Ltd kinazalisha kinywaji chenye jina Faru John..
Acha tu aisee...Mambo ni mengi
Aliemteua ndio alikuwa mshamba kupitilizaKuna vi media vingine wao wako wako tu kushobokea watu,hawasimami kabisa misingi yao ya kazi,wakipewa bahasha tu wao wana piga kimya...
Huyu bwana mdg aliyekuwa dc kwanza alikuwa bonge la mshamba,sijui aliokotwa wapi
Ova
Lofa wewe, we si kutwa unamtetea dikteta magufuli humu, hujui hao unaosema wachukuliwe hatua tulipiga kelele tangu dikteta akiwa hai kuwa hao wateule wake Ni criminal wachukuliwe hatua,, nyie misukule wake mkawa mnamtetea humuHakimu ambaye hatopitisha ama Adhabu ya Kifungo cha Maisha kwa Ole Sabaya au cha Kunyongwa ( Kuuliwa kabisa ) ambacho GENTAMYCINE ndiyo nakiombea 24/7 hakika ' Laana ' yangu itampata na Kumtesa mno tu.
TAKUKURU mkamateni upesi Makonda.
Nchi Ina majinga mengi hiiNchi hii ina watu wa ajabu sana, wapuuzi na wapumbavu wa kutupwa.. Sijui wanapata wapi uthubutu wa lumtetea mtu kama sabaya na kusema anaonewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Sabaya amepigwa tu risasi a.k.a shamba moja kwa moja. Ili Ile fundisho kwa wengine. Kesi zake ziko wazi mno. Nimesoma mpaka mwanaume mzima nataka kupiga ngumu ukuta kwa hasira. Sabaya kufaaaaa kabisa yaani ufeee tukusahau dictator na mwizi mkubwa wewe. LuciferMwaka jana mwishoni mfanyabiashara na mbunifu wa mavazi Jeffery Mmbungu maarufu kama @Speshoz alifungua kiwanda cha vinywaji vikali, wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro. Kiwanda hicho kinaitwa Daren Fabrics Industries Ltd kinazalisha kinywaji chenye jina Faru John
Ana Leseni ya mkemia mkuu wa serikali nambari B002C000255 iliyotolewa October mwaka 2020, pia ana Leseni ya TBS nambari 3082 iliyotolewa December 2020. Pia kabla ya kuanza uzalishaji alipewa barua ya ruhusa kutoka TBS yenye Kumbukumbu nambari QA/QCCA/3215/17.
Sasa akashangaa imekuaje kiwanda kifungwe kwa kukosa vibali wakati vibali vyote anavyo? Akampigia Sabaya kumuuliza. Akamwambia aende ofisini.
Alipofika ofisini, wakaongea na akamuonesha nakala za vibali. Sabaya akatoka ofisini na kumuacha ndani. Aliporudi akamnyang'anya simu zote, na kumuamuru akae chini. Akaita mabaunsa wake, wakamvua viatu na mkanda na kumpeleka rumande...
Ndiyo dictator wasaidizi nani athubutu kuwagusa? Hakika Mungu ametuokoa kwa mengi March 2021.Hivi ni kwamba serekali ilikuwa haiyoni hayo yote, mpaka kiwanda kinafungwa TRA, TBS, BRELA, Wizara ya viwanda wako wapi?
Kwa haraka haraka Sabaya alikuwa juu ya waziri mkuu he was untouchable