Sababu za Sabaya kukifunga kiwanda cha Daren Fabrics Industries Ltd

Huku ni zaidi ya kukomoana. Ni kuhujumu uchumi wa nchi. Iongezwe kwenye kesi yake ya uhujumu uchumi. Sabaya ni jitu hovyo sana.
''You have my full support''Mwenda zake tabia za akina Sabaya na Makonda alizipenda na kuzilea sana vinginevyo kwa kiongozi anaejali utawala bora vijana hao wawili wasingekuwa na jeuri ya kufanya hayo.Bwana yule kaichafua ccm pakubwa.
 
Kuna haja ya katiba ifanyiwe marekebisho hawa RC na DC wawe wanaomba hizi kazi na kufanyiwa interview na Wabunge.
Ni wazo jema Mkuu ila wasifanyiwe interview na wabunge... nawaza kibajia na msukule hapo...
 
Huyu dogo hata namna ya kumsaidia haipo, naona nyundo si chini ya 30 zinamuhusu - by the time anatoka atakuta nyumba zake ndogo zote zina miaka 60+, dadadeq.
 
''You have my full support''Mwenda zake tabia za akina Sabaya na Makonda alizipenda na kuzilea sana vinginevyo kwa kiongozi anaejali utawala bora vijana hao wawili wasingekuwa na jeuri ya kufanya hayo.Bwana yule kaichafua ccm pakubwa.
Combinatin ilikuwa kali mno - kati ya hawa vijana, Sidhani kuna fursa na Mnyeti kuchomokapo.... hawa wote walipewa JEURI na mwenzake!!

Sasa Mungu wa mbinguni alivyo wa ajabu kamwondoa Mwendazake ili apishe uchunguzi huru... anayedhani Mungu hayupo hapa ulimwenguni sasa ataanza kuamini kwamba ni lazima malipo uyalipe tu hamna namna nyingine.
 
Kosa lilifanyika kwenye uteuzi, mtu amefohi hadi ID ya Idara ya Usalama wa Taifa then anapewa uDC? Haya yote aliyoyafanya hayanishangazi maana akili zake nilishazijua kitambo... Sikutegemea weledi wowote kutoka kwake!
 
Kuna vi media vingine wao wako wako tu kushobokea watu,hawasimami kabisa misingi yao ya kazi,wakipewa bahasha tu wao wana piga kimya...
Huyu bwana mdg aliyekuwa dc kwanza alikuwa bonge la mshamba,sijui aliokotwa wapi

Ova
mkuu mrangi usifanye masihara Sabaya alikuwa anatisha kuliko wanyama wote unao wajuwa! Nyumba za watu zingekuwa na cctv camera ungemfuata sabaya Kisongo ukamle nyama mbichi.

alikuwa ana ingilia watu nyumbani usiku ana chukuwa mke ana baka ana lawiti! Kama aliingia Aishi hoteli kwa Mbowe usiku na kufanya fujo na kujeruhi walizi je nyumba za kawaida?

kama alienda hoteli kudai apewe msani usiku wa manane ili akalale naye je nyumba za watu wakawaida? wale wasichana wanao kwenda club za usiku ilikuwa chakula cha genge lake pamoja na yeye!

wana kuta mtu yupo na rafiki yake wanashika mkono tu 🤔🤔
 
mkuu mrangi usifanye masihara Sabaya alikuwa anatisha kuliko wanyama wote unao wajuwa!!....
Hawa waliyopewa nafasi naona walitumia pia vyeo vyao kupora watu fedha na mali zao
Wengine hadi kuchukua wake za watu

Ova
 
Huyu mtoto anatakiwa ahukumiwe kunyongwa!

Ana bahati sana tulimkosa juzi juzi, hata hivyo bado tunamlia timing atakula shaba tu akiwa ndani humo humo, ama akisafirishwa ama akiwa mahakamani
 
Lakini Sabaya akazuia media hizo zisiripoti taarifa hiyo ya TRA. Ni ITV pekee walioamua kusimama katika misingi ya taaluma na kutoa ufafanuzi kwa umma. Media nyingine ziliamua kusimama na Sabaya. What a shame?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawasubiri wadada waliolazimishwa ngono..
 
Bwana Emmanuel Kasomi,huyo Sabaya hivi ninavyoongea anaenda chooni kwa muda maalum pale Kisongo,analala chini tena kiupandeupande,kama una swali uliza
 
Kuna vi media vingine wao wako wako tu kushobokea watu,hawasimami kabisa misingi yao ya kazi,wakipewa bahasha tu wao wana piga kimya...
Huyu bwana mdg aliyekuwa dc kwanza alikuwa bonge la mshamba,sijui aliokotwa wapi

Ova
Aliemteua ndio alikuwa mshamba kupitiliza
 
Hakimu ambaye hatopitisha ama Adhabu ya Kifungo cha Maisha kwa Ole Sabaya au cha Kunyongwa ( Kuuliwa kabisa ) ambacho GENTAMYCINE ndiyo nakiombea 24/7 hakika ' Laana ' yangu itampata na Kumtesa mno tu.

TAKUKURU mkamateni upesi Makonda.
Lofa wewe, we si kutwa unamtetea dikteta magufuli humu, hujui hao unaosema wachukuliwe hatua tulipiga kelele tangu dikteta akiwa hai kuwa hao wateule wake Ni criminal wachukuliwe hatua,, nyie misukule wake mkawa mnamtetea humu
 
Huyu Sabaya amepigwa tu risasi a.k.a shamba moja kwa moja. Ili Ile fundisho kwa wengine. Kesi zake ziko wazi mno. Nimesoma mpaka mwanaume mzima nataka kupiga ngumu ukuta kwa hasira. Sabaya kufaaaaa kabisa yaani ufeee tukusahau dictator na mwizi mkubwa wewe. Lucifer
 
Hivi ni kwamba serekali ilikuwa haiyoni hayo yote, mpaka kiwanda kinafungwa TRA, TBS, BRELA, Wizara ya viwanda wako wapi?

Kwa haraka haraka Sabaya alikuwa juu ya waziri mkuu he was untouchable
Ndiyo dictator wasaidizi nani athubutu kuwagusa? Hakika Mungu ametuokoa kwa mengi March 2021.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…