Sababu za wanafunzi wa kizazi hiki kufeli masomo ni hizi hapa

Sababu za wanafunzi wa kizazi hiki kufeli masomo ni hizi hapa

Wa kwanza kulaumiwa ni mzazi

Wazazi wengi hawafatilii maendeleo ya watoto wao, hawapekui madaftari ya watoto, hawawasiliani na walimu kujua mtoto anafika shule au la

Wazazi wameacha majukumu yao na kuikabidhi serikali ie kununua vitabu vya kiada na ziada, uniform, chakula etc

Mazingira ya nyumbani hayako kiurafiki kwa mtoto.


Serikali inakuja mwishoni kwenye swala la siasa, serikali inataka kura, hivyo itafanya lolote ili iweze endelea tawala.
 
Habari zenu wadau wa elimu? Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Awali ya yote napenda ku declare interest kuwa mimi ni mwanafunzi wa zamani na mshauri wa masuala ya elimu ninayefanya kazi na kampuni ya Shuledirect kwa hiyo ushauri ninaotoa hapa ni wa kitaalamu na kitafiti.

Kiwango cha elimu na ufaulu wa wanafunzi kimekuwa kikishuka kwa kasi ya kutisha. Hata ukilinganisha uwezo wa wahitimu wa zamani na wa kizazi cha sasa, utagundua tofauti kubwa sana. Ukimlinganisha kijana wa kitanzania aliyehitimu Kidato cha Nne hana tofauti na yule aliyeishia Darasa la Saba na wakati mwingine mhitimu wa Kidato cha Nne anaonekana bomu kuliko yule wa Darasa la Saba. Hili ni tatizo kubwa sana la kielimu ambalo limepaliliwa kwa muda mrefu na sasa limefikia pabaya kiasi hiki.

Tofauti na miaka ya 1980 kurudi nyuma hadi nchi hii ilipopata uhuru, kiwango cha elimu pamoja na ufaulu wa wanafunzi vimeporomoka kwa kasi kubwa. Baada ya kufanya utafiti wa muda mrefu nimegundua sababu zifuatazo ndizo chanzo ya kuporomoka huku:

1. Mrundikano wa wanafunzi
Zamani darasa moja lilikuwa likichukua wanafunzi 45 tu. Sasa hivi sio ajabu kukuta darasa moja lina wanafunzi zaidi ya 200! Kwa idadi hii ya wanafunzi unategemea mwalimu ataweza kumfikia mwanafunzi mmoja mmoja na kugundua uwezo wake wa kujifunza ili amsaidie kwa undani? Haiwezekani.

2. Mitihani ya kubet
Naishangaa mno serikali kwa kulazimisha kutunga mitihani ya kubahatisha (kubet) inayowawezesha wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika kupenya kwenda sekondari. Hii hupelekea idadi kubwa ya wanafunzi wasiokuwa na uwezo kuingia sekondari, hivyo kushindwa kumudu masomo. Na hawa ndio huongeza idadi ya wanaofeli katika mitihani ya kuhitimu sekondari (CSE).

3. Umri mdogo wa kuanza shule
Kwa makusudi kabisa, serikali imekuwa ikipunguza umri wa watoto kuanza shule kadri miaka inavyoenda mbele. Wanafunzi wa zamani tulianza darasa la kwanza tukiwa na umri wa miaka 9–13. Sasa hivi serikali inashauri watoto kuaanza darasa la kwanza wakiwa na miaka 5! Madhara ya kuanza shule katika umri mdogo ni makubwa kuliko tunavyodhani. Nitajaribu kuyaeleza kwa ufupi.

Kwanza, mtoto humaliza shule akiwa bado hajitambui na hajui umuhimu wa kutia bidii masomoni yeye binafsi bila kuhimizwa na wazazi. Na kwa kuwa hatii bidii kwenye masomo, ana uwezekano mkubwa wa kutofaulu mitihani wa kumaliza elimu ya msingi (PSLE), hivyo kuongeza idadi ya wanafunzi wanaofeli.

Pili, watoto wanaobahatika kwenda sekondari kupitia mitahi ya kubet, wakifika huko hukutana na masomo magumu na yanayofundishwa kwa lugha wasiyoielewa barabara. Hili nalo hupelekea kufeli wanafunzi wengi katika mtihani wa kumaliza elimu ya sekondari (CSE). Mtiririko huu wa kufeli na kushuka kwa kiwango cha elimu huendelea hadi wanafunzi wanapohitimu kidato cha sita na kuingia vyuo vikuu.

4. Mtindo wa maisha
Mtindo wa maisha tunaoishi haujawaacha wanafunzi salama. Watoto wa siku hizi wanalelewa kwa mtindo wa kudekezwa ukilinganisha na mtindo wa maisha wa zamani ambao watoto waliishi kingangari bila kuwategemea wazazi wao kwa asilimia kubwa. Watoto wa sasa hivi bila kuwapa ahadi ya kuwanunulia zawadi kama vile simu, baiskeli na zawadi nyingine kedekede ikiwa watafaulu, hawatii bidii kwenye masomo ng’o. Na tatizo hili huanza tangu wakiwa wadogo kwa kudekezwa na kufanyiwa homeworks na wazazi.

5. Kukua kwa sayansi na teknolojia
Zamani hakukuwa na TV, movies, games, internet na mambo mengine kama hayo. Tulitarajia kwamba kukua kwa sayansi na teknolojia kungewasaidia wanafunzi kujifunza lakini hali imekuwa tofauti. Wanafunzi wengi wanaomiliki simu badala ya kuzitumia kujisomea huzitumia kutongozana, kuimba singeli, kuangalia video za utupu na kutukana walimu. Hivyo, hujikuta wanapoteza muda mwingi kwenye mtandao kufuatilia mambo ya kijinga na hatimaye kufeli mitihani.

6. Upatikanaji rahisi wa wa mahitaji ya shule
Kama ilivyo kazi ngumu kutafuta na kuchimba madini, vivyo hivyo thamni yake iko juu. Ingekuwa dhahabu inapatikana bwerere wala isingekuwa na thamani kubwa sana.

Sawa na madini, zamani haikuwa rahisi mwanafunzi kupata notisi kibwerere. Ilikulazimu kutembea mamia ya kilometa hadi kijiji cha mbali kuwahi notisi kwa mwanafunzi aliyehitimu masomo kabla wanafunzi wengine hawajakuwahi. Hata walimu walipata notisi kwa shida sana kwa kuwa vitabu vilikuwa vichache. Uchache huu ndio uliwafanya wanafunzi wa zamani kutumia notisi hizi kikamilifu na kuafaulu masomo kwa ufaulu mkubwa.

7. Serikali kuingiza siasa kwenye elimu

Kama ilivyo kwenye mitihani ya kubet serikali pia ina mkono wake kwenye kutunga mitihani rahisi na kuisahihisha kwa urahisi (easy exams and lenient marking of papers).

Siku moja niliongea na mwalimu wa sekondari anayeteuliwa kusahihisha mitihani kila mwaka akaniambia serikali huwapa maelekezo ya kusahihisha mitihani kwa urahisi na endapo mwalimu atakiuka anaweza kushushwa cheo kazini na hatateuliwa kwenda kusahihisha mitihani kamwe!

Yaani serikali inawaelekeza walimu watunge mitihani rahisi ya kubet na inaenda mbali zaidi kuwalazimisha walimu kuisahihisha kwa ulaini, na bado wanafunzi wanafeli. Kama serikali ingekuwa haiingilii kati, basi idadi ya wanafunzi wanaofeli ingekuwa ya kutisha zaidi ya hii tunayoshuhudia

Mjadala
Je, unadhani nini kifanyike ili kuepuka au kupunguza ukubwa wa tatizo hili? Karibu tujadiliane.

Nawasilisha
Walimu wengi (SANA) hawana uwezo na ujuzi wa kufundisha somo alilopangiwa! Wewe umekazania wanafunzi - mimi naona Walimu wengi kama sio wote ni substandard!
 
Walimu wengi (SANA) hawana uwezo na ujuzi wa kufundisha somo alilopangiwa! Wewe umekazania wanafunzi - mimi naona Walimu wengi kama sio wote ni substandard!
Sasa walimu waliopata dision four unadhani watakuwa na uwezo gani wa kufundisha mkuu? Tatizo ni serikali kuruhusu watu waliofeli masomo kuwa walimu kwa kuwa hawajipeleki wenyewe kwenye ualimu bali huchaguliwa kulingana na vigezo dhaifu vilivyowekwa na serikali tukufu ya CCM.
 
Habari zenu wadau wa elimu? Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Awali ya yote napenda ku declare interest kuwa mimi ni mwanafunzi wa zamani na mshauri wa masuala ya elimu ninayefanya kazi na kampuni ya Shuledirect kwa hiyo ushauri ninaotoa hapa ni wa kitaalamu na kitafiti.

Kiwango cha elimu na ufaulu wa wanafunzi kimekuwa kikishuka kwa kasi ya kutisha. Hata ukilinganisha uwezo wa wahitimu wa zamani na wa kizazi cha sasa, utagundua tofauti kubwa sana. Ukimlinganisha kijana wa kitanzania aliyehitimu Kidato cha Nne hana tofauti na yule aliyeishia Darasa la Saba na wakati mwingine mhitimu wa Kidato cha Nne anaonekana bomu kuliko yule wa Darasa la Saba. Hili ni tatizo kubwa sana la kielimu ambalo limepaliliwa kwa muda mrefu na sasa limefikia pabaya kiasi hiki.

Tofauti na miaka ya 1980 kurudi nyuma hadi nchi hii ilipopata uhuru, kiwango cha elimu pamoja na ufaulu wa wanafunzi vimeporomoka kwa kasi kubwa. Baada ya kufanya utafiti wa muda mrefu nimegundua sababu zifuatazo ndizo chanzo ya kuporomoka huku:

1. Mrundikano wa wanafunzi
Zamani darasa moja lilikuwa likichukua wanafunzi 45 tu. Sasa hivi sio ajabu kukuta darasa moja lina wanafunzi zaidi ya 200! Kwa idadi hii ya wanafunzi unategemea mwalimu ataweza kumfikia mwanafunzi mmoja mmoja na kugundua uwezo wake wa kujifunza ili amsaidie kwa undani? Haiwezekani.

2. Mitihani ya kubet
Naishangaa mno serikali kwa kulazimisha kutunga mitihani ya kubahatisha (kubet) inayowawezesha wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika kupenya kwenda sekondari. Hii hupelekea idadi kubwa ya wanafunzi wasiokuwa na uwezo kuingia sekondari, hivyo kushindwa kumudu masomo. Na hawa ndio huongeza idadi ya wanaofeli katika mitihani ya kuhitimu sekondari (CSE).

3. Umri mdogo wa kuanza shule
Kwa makusudi kabisa, serikali imekuwa ikipunguza umri wa watoto kuanza shule kadri miaka inavyoenda mbele. Wanafunzi wa zamani tulianza darasa la kwanza tukiwa na umri wa miaka 9–13. Sasa hivi serikali inashauri watoto kuaanza darasa la kwanza wakiwa na miaka 5! Madhara ya kuanza shule katika umri mdogo ni makubwa kuliko tunavyodhani. Nitajaribu kuyaeleza kwa ufupi.

Kwanza, mtoto humaliza shule akiwa bado hajitambui na hajui umuhimu wa kutia bidii masomoni yeye binafsi bila kuhimizwa na wazazi. Na kwa kuwa hatii bidii kwenye masomo, ana uwezekano mkubwa wa kutofaulu mitihani wa kumaliza elimu ya msingi (PSLE), hivyo kuongeza idadi ya wanafunzi wanaofeli.

Pili, watoto wanaobahatika kwenda sekondari kupitia mitahi ya kubet, wakifika huko hukutana na masomo magumu na yanayofundishwa kwa lugha wasiyoielewa barabara. Hili nalo hupelekea kufeli wanafunzi wengi katika mtihani wa kumaliza elimu ya sekondari (CSE). Mtiririko huu wa kufeli na kushuka kwa kiwango cha elimu huendelea hadi wanafunzi wanapohitimu kidato cha sita na kuingia vyuo vikuu.

4. Mtindo wa maisha
Mtindo wa maisha tunaoishi haujawaacha wanafunzi salama. Watoto wa siku hizi wanalelewa kwa mtindo wa kudekezwa ukilinganisha na mtindo wa maisha wa zamani ambao watoto waliishi kingangari bila kuwategemea wazazi wao kwa asilimia kubwa. Watoto wa sasa hivi bila kuwapa ahadi ya kuwanunulia zawadi kama vile simu, baiskeli na zawadi nyingine kedekede ikiwa watafaulu, hawatii bidii kwenye masomo ng’o. Na tatizo hili huanza tangu wakiwa wadogo kwa kudekezwa na kufanyiwa homeworks na wazazi.

5. Kukua kwa sayansi na teknolojia
Zamani hakukuwa na TV, movies, games, internet na mambo mengine kama hayo. Tulitarajia kwamba kukua kwa sayansi na teknolojia kungewasaidia wanafunzi kujifunza lakini hali imekuwa tofauti. Wanafunzi wengi wanaomiliki simu badala ya kuzitumia kujisomea huzitumia kutongozana, kuimba singeli, kuangalia video za utupu na kutukana walimu. Hivyo, hujikuta wanapoteza muda mwingi kwenye mtandao kufuatilia mambo ya kijinga na hatimaye kufeli mitihani.

6. Upatikanaji rahisi wa wa mahitaji ya shule
Kama ilivyo kazi ngumu kutafuta na kuchimba madini, vivyo hivyo thamni yake iko juu. Ingekuwa dhahabu inapatikana bwerere wala isingekuwa na thamani kubwa sana.

Sawa na madini, zamani haikuwa rahisi mwanafunzi kupata notisi kibwerere. Ilikulazimu kutembea mamia ya kilometa hadi kijiji cha mbali kuwahi notisi kwa mwanafunzi aliyehitimu masomo kabla wanafunzi wengine hawajakuwahi. Hata walimu walipata notisi kwa shida sana kwa kuwa vitabu vilikuwa vichache. Uchache huu ndio uliwafanya wanafunzi wa zamani kutumia notisi hizi kikamilifu na kuafaulu masomo kwa ufaulu mkubwa.

7. Serikali kuingiza siasa kwenye elimu

Kama ilivyo kwenye mitihani ya kubet serikali pia ina mkono wake kwenye kutunga mitihani rahisi na kuisahihisha kwa urahisi (easy exams and lenient marking of papers).

Siku moja niliongea na mwalimu wa sekondari anayeteuliwa kusahihisha mitihani kila mwaka akaniambia serikali huwapa maelekezo ya kusahihisha mitihani kwa urahisi na endapo mwalimu atakiuka anaweza kushushwa cheo kazini na hatateuliwa kwenda kusahihisha mitihani kamwe!

Yaani serikali inawaelekeza walimu watunge mitihani rahisi ya kubet na inaenda mbali zaidi kuwalazimisha walimu kuisahihisha kwa ulaini, na bado wanafunzi wanafeli. Kama serikali ingekuwa haiingilii kati, basi idadi ya wanafunzi wanaofeli ingekuwa ya kutisha zaidi ya hii tunayoshuhudia

Mjadala
Je, unadhani nini kifanyike ili kuepuka au kupunguza ukubwa wa tatizo hili? Karibu tujadiliane.

Nawasilisha
Umetumia approach ipi kwenye study yako?, ni quantitative au qualitative?

Tuambie design iliyotumia kufanya utafiti wako.

Tueleze sample yako ilikuwaje

Methods of data collection and analysis

Tueleze pia ethical consideration kwenye study yako.
 
Nimekuelewa mtoa mada. Bila kufanya mabadiliko ya Serikali, tutaendelea kulia na kulia lakini hakuna kitakachofanyika.

Tuiweke madarakani Serikali itakayokuwa serious na Elimu.
 
Nimekuelewa mtoa mada. Bila kufanya mabadiliko ya Serikali, tutaendelea kulia na kulia lakini hakuna kitakachofanyika.

Tuiweke madarakani Serikali itakayokuwa serious na Elimu.
Hili nalo neno na ndilo la msingi hasaaa!
 
Serikali imekazania kurahisisha mitihani ili vilaza waingie sekondari. Matokeo yake ndio haya
 
Upo sahihi mkuu ✔️
Habari zenu wadau wa elimu? Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Awali ya yote napenda ku declare interest kuwa mimi ni mwanafunzi wa zamani na mshauri wa masuala ya elimu ninayefanya kazi na kampuni ya Shuledirect kwa hiyo ushauri ninaotoa hapa ni wa kitaalamu na kitafiti.

Kiwango cha elimu na ufaulu wa wanafunzi kimekuwa kikishuka kwa kasi ya kutisha. Hata ukilinganisha uwezo wa wahitimu wa zamani na wa kizazi cha sasa, utagundua tofauti kubwa sana. Ukimlinganisha kijana wa kitanzania aliyehitimu Kidato cha Nne hana tofauti na yule aliyeishia Darasa la Saba na wakati mwingine mhitimu wa Kidato cha Nne anaonekana bomu kuliko yule wa Darasa la Saba. Hili ni tatizo kubwa sana la kielimu ambalo limepaliliwa kwa muda mrefu na sasa limefikia pabaya kiasi hiki.

Tofauti na miaka ya 1980 kurudi nyuma hadi nchi hii ilipopata uhuru, kiwango cha elimu pamoja na ufaulu wa wanafunzi vimeporomoka kwa kasi kubwa. Baada ya kufanya utafiti wa muda mrefu nimegundua sababu zifuatazo ndizo chanzo ya kuporomoka huku:

1. Mrundikano wa wanafunzi
Zamani darasa moja lilikuwa likichukua wanafunzi 45 tu. Sasa hivi sio ajabu kukuta darasa moja lina wanafunzi zaidi ya 200! Kwa idadi hii ya wanafunzi unategemea mwalimu ataweza kumfikia mwanafunzi mmoja mmoja na kugundua uwezo wake wa kujifunza ili amsaidie kwa undani? Haiwezekani.

2. Mitihani ya kubet
Naishangaa mno serikali kwa kulazimisha kutunga mitihani ya kubahatisha (kubet) inayowawezesha wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika kupenya kwenda sekondari. Hii hupelekea idadi kubwa ya wanafunzi wasiokuwa na uwezo kuingia sekondari, hivyo kushindwa kumudu masomo. Na hawa ndio huongeza idadi ya wanaofeli katika mitihani ya kuhitimu sekondari (CSE).

3. Umri mdogo wa kuanza shule
Kwa makusudi kabisa, serikali imekuwa ikipunguza umri wa watoto kuanza shule kadri miaka inavyoenda mbele. Wanafunzi wa zamani tulianza darasa la kwanza tukiwa na umri wa miaka 9–13. Sasa hivi serikali inashauri watoto kuaanza darasa la kwanza wakiwa na miaka 5! Madhara ya kuanza shule katika umri mdogo ni makubwa kuliko tunavyodhani. Nitajaribu kuyaeleza kwa ufupi.

Kwanza, mtoto humaliza shule akiwa bado hajitambui na hajui umuhimu wa kutia bidii masomoni yeye binafsi bila kuhimizwa na wazazi. Na kwa kuwa hatii bidii kwenye masomo, ana uwezekano mkubwa wa kutofaulu mitihani wa kumaliza elimu ya msingi (PSLE), hivyo kuongeza idadi ya wanafunzi wanaofeli.

Pili, watoto wanaobahatika kwenda sekondari kupitia mitahi ya kubet, wakifika huko hukutana na masomo magumu na yanayofundishwa kwa lugha wasiyoielewa barabara. Hili nalo hupelekea kufeli wanafunzi wengi katika mtihani wa kumaliza elimu ya sekondari (CSE). Mtiririko huu wa kufeli na kushuka kwa kiwango cha elimu huendelea hadi wanafunzi wanapohitimu kidato cha sita na kuingia vyuo vikuu.

4. Mtindo wa maisha
Mtindo wa maisha tunaoishi haujawaacha wanafunzi salama. Watoto wa siku hizi wanalelewa kwa mtindo wa kudekezwa ukilinganisha na mtindo wa maisha wa zamani ambao watoto waliishi kingangari bila kuwategemea wazazi wao kwa asilimia kubwa. Watoto wa sasa hivi bila kuwapa ahadi ya kuwanunulia zawadi kama vile simu, baiskeli na zawadi nyingine kedekede ikiwa watafaulu, hawatii bidii kwenye masomo ng’o. Na tatizo hili huanza tangu wakiwa wadogo kwa kudekezwa na kufanyiwa homeworks na wazazi.

5. Kukua kwa sayansi na teknolojia
Zamani hakukuwa na TV, movies, games, internet na mambo mengine kama hayo. Tulitarajia kwamba kukua kwa sayansi na teknolojia kungewasaidia wanafunzi kujifunza lakini hali imekuwa tofauti. Wanafunzi wengi wanaomiliki simu badala ya kuzitumia kujisomea huzitumia kutongozana, kuimba singeli, kuangalia video za utupu na kutukana walimu. Hivyo, hujikuta wanapoteza muda mwingi kwenye mtandao kufuatilia mambo ya kijinga na hatimaye kufeli mitihani.

6. Upatikanaji rahisi wa mahitaji ya shule
Kama ilivyo kazi ngumu kutafuta na kuchimba madini, vivyo hivyo thamni yake iko juu. Ingekuwa dhahabu inapatikana bwerere wala isingekuwa na thamani kubwa sana.

Sawa na madini, zamani haikuwa rahisi mwanafunzi kupata notisi kibwerere. Ilikulazimu kutembea mamia ya kilometa hadi kijiji cha mbali kuwahi notisi kwa mwanafunzi aliyehitimu masomo kabla wanafunzi wengine hawajakuwahi. Hata walimu walipata notisi kwa shida sana kwa kuwa vitabu vilikuwa vichache. Uchache huu ndio uliwafanya wanafunzi wa zamani kutumia notisi hizi kikamilifu na kuafaulu masomo kwa ufaulu mkubwa.

7. Serikali kuingiza siasa kwenye elimu

Kama ilivyo kwenye mitihani ya kubet serikali pia ina mkono wake kwenye kutunga mitihani rahisi na kuisahihisha kwa urahisi (easy exams and lenient marking of papers).

Siku moja niliongea na mwalimu wa sekondari anayeteuliwa kusahihisha mitihani kila mwaka akaniambia serikali huwapa maelekezo ya kusahihisha mitihani kwa urahisi na endapo mwalimu atakiuka anaweza kushushwa cheo kazini na hatateuliwa kwenda kusahihisha mitihani kamwe!

Yaani serikali inawaelekeza walimu watunge mitihani rahisi ya kubet na inaenda mbali zaidi kuwalazimisha walimu kuisahihisha kwa ulaini, na bado wanafunzi wanafeli. Kama serikali ingekuwa haiingilii kati, basi idadi ya wanafunzi wanaofeli ingekuwa ya kutisha zaidi ya hii tunayoshuhudia

Mjadala
Je, unadhani nini kifanyike ili kuepuka au kupunguza ukubwa wa tatizo hili? Karibu tujadiliane.

Nawasilisha
 
Sitaki kulalamika moja kwa moja ninashauri tuache kukariri mitaala;
1.) Kwa sekondari mtoto mwenye wastani wa A-D ndiyo alipiwe ada na serikali (kuleta userious na kujituma) ukifeli lipa ada iingie halmashauri isaidie teknolojia mashuleni asiyelipa asifukuzwe adaiwe atapohitaji cheti kidato channe.
2.) Walimu wasimamiwe vyema wasiotimiza wajibu walimwe faini mf. Faini ya utoro,kutosahihisha kazi, kutomaliza mada etc. (Kuleta userious na kujituma)
3.) Wanafunzi wooote wale shuleni asielipia chakula aondoke shuleni saa saba kamili (asimalize vipindi vyote maana nikuwasababishia maradhi)
4.) Bweni zijengwe kwenye mashule mengi (kwani hata zamani sekondari nyingi zilikuwa na bweni)
5.) Masomo/vipindi boora hasa ya sayansi na hisabati yapatikane online kiurahisi mada mpaka mada (kurahisisha rejea za wanafunzi na walimu pia).
6.) Walimu wooote wa kiingereza mtaani waajiriwe shule za msingi na Kiingereza kifundishwe na walimu mahiri na kipewe vipindi viingi zaidi kwa shule za msingi huwezi fafanua mambo kwalugha usiyoijua na unayoiogopa).
8.) Shule zooote masomo yaanze saa mbili kamili mpaka saa tisa nanusu kila kipindi kiwe saa moja.
7.) Kidato cha nne wafanye mitihani mitatu mmoja wa wilaya mwezi wa saba, wa mkoa mwezi watisa mwisho wa taifa mwezi wa 11 kisha wastani ndiyo utumike kama matokeo ya mwisho!!
8.) Ijumaa iwe nisiku ya kujifunza Dini (woote), pia ifundishwe sanaa na michezo,ufundi,teknklojia,kilimo na stadi mbalimbali za kazi na maisha. Na vipindi viishe saa sita na nusu nchi nzima!!!
 
1.) Kwa sekondari mtoto mwenye wastani wa A-D ndiyo alipiwe ada na serikali (kuleta userious na kujituma) ukifeli lipa ada iingie halmashauri isaidie teknolojia mashuleni asiyelipa asifukuzwe adaiwe atapohitaji cheti kidato channe.
Kumbe wenye ufaulu wa D nao wanaenda sekondari? Hii nchi aliyeiroga kafa.
 
6.) Walimu wooote wa kiingereza mtaani waajiriwe shule za msingi na Kiingereza kifundishwe na walimu mahiri na kipewe vipindi viingi zaidi kwa shule za msingi huwezi fafanua mambo kwalugha usiyoijua na unayoiogopa).
Hili neno mkuu. Zamani walimu wote wa Kingereza walikuwa wanapelekwa kupigwa msasa Uingereza; wakirudi nchini wanakuwa mahiri kweli kwenye somo hili. Nashangaa siku hz walimu wa Kingereza wanaokotwa majalalani halafu wakiingia darasani wanafundisha English kwa Kiswahili. Inauma sana.
 
Sitaki kulalamika moja kwa moja ninashauri tuache kukariri mitaala;
1.) Kwa sekondari mtoto mwenye wastani wa A-D ndiyo alipiwe ada na serikali (kuleta userious na kujituma) ukifeli lipa ada iingie halmashauri isaidie teknolojia mashuleni asiyelipa asifukuzwe adaiwe atapohitaji cheti kidato channe.
2.) Walimu wasimamiwe vyema wasiotimiza wajibu walimwe faini mf. Faini ya utoro,kutosahihisha kazi, kutomaliza mada etc. (Kuleta userious na kujituma)
3.) Wanafunzi wooote wale shuleni asielipia chakula aondoke shuleni saa saba kamili (asimalize vipindi vyote maana nikuwasababishia maradhi)
4.) Bweni zijengwe kwenye mashule mengi (kwani hata zamani sekondari nyingi zilikuwa na bweni)
5.) Masomo/vipindi boora hasa ya sayansi na hisabati yapatikane online kiurahisi mada mpaka mada (kurahisisha rejea za wanafunzi na walimu pia).
6.) Walimu wooote wa kiingereza mtaani waajiriwe shule za msingi na Kiingereza kifundishwe na walimu mahiri na kipewe vipindi viingi zaidi kwa shule za msingi huwezi fafanua mambo kwalugha usiyoijua na unayoiogopa).
8.) Shule zooote masomo yaanze saa mbili kamili mpaka saa tisa nanusu kila kipindi kiwe saa moja.
7.) Kidato cha nne wafanye mitihani mitatu mmoja wa wilaya mwezi wa saba, wa mkoa mwezi watisa mwisho wa taifa mwezi wa 11 kisha wastani ndiyo utumike kama matokeo ya mwisho!!
8.) Ijumaa iwe nisiku ya kujifunza Dini (woote), pia ifundishwe sanaa na michezo,ufundi,teknklojia,kilimo na stadi mbalimbali za kazi na maisha. Na vipindi viishe saa sita na nusu nchi nzima!!!
Asante kwa nyongeza mujarabu mkuu. I hope wadau wa elimu wamekuelewa barabara.
 
Kumbe wenye ufaulu wa D nao wanaenda sekondari? Hii nchi aliyeiroga kafa.
Namaanisha mitihani ya sekondari wenye wastani wa F wasilipiwe ada ninaamini ni matumizi mabaya ya kodi zetu hawa washauriwe wakasomee ufundi nk.

Nb. Wenye ufaulu wa D huenda sekondari lakini private schools nadhani hawachaguliwi serikalini
 
Back
Top Bottom