HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Wa kwanza kulaumiwa ni mzazi
Wazazi wengi hawafatilii maendeleo ya watoto wao, hawapekui madaftari ya watoto, hawawasiliani na walimu kujua mtoto anafika shule au la
Wazazi wameacha majukumu yao na kuikabidhi serikali ie kununua vitabu vya kiada na ziada, uniform, chakula etc
Mazingira ya nyumbani hayako kiurafiki kwa mtoto.
Serikali inakuja mwishoni kwenye swala la siasa, serikali inataka kura, hivyo itafanya lolote ili iweze endelea tawala.
Wazazi wengi hawafatilii maendeleo ya watoto wao, hawapekui madaftari ya watoto, hawawasiliani na walimu kujua mtoto anafika shule au la
Wazazi wameacha majukumu yao na kuikabidhi serikali ie kununua vitabu vya kiada na ziada, uniform, chakula etc
Mazingira ya nyumbani hayako kiurafiki kwa mtoto.
Serikali inakuja mwishoni kwenye swala la siasa, serikali inataka kura, hivyo itafanya lolote ili iweze endelea tawala.