tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
- Thread starter
- #101
Hili tatizo la mishahara limekuwa kero kubwa sana kwa walimu. Kuna siku Hawa Ghasia alisema eti walimu wanalipwa mishahra kidogo kwa kuwa ni wengi-----kwamba wakilipwa vizuri watamaliza fedha za serikali.Nijazie tu kuna issue ya nyongeza za mishahara