Uchaguzi 2020 Sababu zinazofanya Magufuli apendwe na Watanzania wengi

Uchaguzi 2020 Sababu zinazofanya Magufuli apendwe na Watanzania wengi

Issue ya Corona alizuia taarifa, na hiyo Corona haukuwa ugonjwa hatari kwa hili eneo leo. Vyeti fake alivishughulikia kwa double standard, alipaswa aingie mpaka kwenye vyombo vya ulinzi na usalama, au kwakuwa madictator hutegemea vyombo vya dola kutawala ndio maana akawafumbua macho? Mishahara hewa ilianza kushughulikiwa toka enzi za JK, labda kwakuwa yeye alipoingia ndio alikuta utaratibu umeenza akatembeans mchakato.
Vyeti feki hakugusa vya kwake ikiwa ni pamoja na PhD yake.
 
Sikiliza mkuu Magufuli hawezi kuwa na cheti feki. Yaani mwalimu wa hesabu na chemistry awe na cheti feki acha zako chief. Kwanza Magufuli ana akili nyingi hatari.

Naona unaabudu sanamu, hii ndio inaitwa mahaba niue.
 
Habari ndugu zangu wana JamiiForums.

Katika uzi huu nitaelezea sababu zinazofanya Magufuli apendwe na watanzania wengi zaidi.

Mimi mwenyewe binafsi najikuta sana navutiwa na mwanasiasa mchapakazi Dkt Magufuli kama ilivyo kwa watanzania wengine hili hata wanasiasa wa vyama upinzani wanalijua na hata wanachama pia wa vyama vya upinzani wanalielewa vilivyo maana lipo wazi.

Sababu ni hizi hapa
1. Magufuli ni Rais wa Afrika, kila pembe ya dunia inamtazama huyu Rais wa namna ya tofauti katika bara hili. Ndiye Rais aliyebaki kuwa na misimamo chanya dhidi ya bara la Afrika katika kujipatia maendeleo ya kiuchumi. Anatamani bara la Afrika liwe kama ulaya.

2. Magufuli ni mchapakazi sio mvivu anajituma kufanya kazi. Amejitoa kwa udi na uvumba kuisimamia Tanzania sio kazi ndogo. Na ni watu wachache Sana duniani wenye uwezo kama huo.

3.Magufuli ana kipaji cha uongozi. Na hili limethibitishwa na jinsi anavyo weza kusimamia kila wizara inayo hitaji kusimamiwa. Hachoki anaendelea kubuni mbinu za kusimamia zaidi mpaka Tanzania iendelee.

4. Magufuli ni mzalendo na kila mtanzania anaamini Magufuli akikabidhiwa Tanzania basi Tanzania itakuwa imewekwa mahali salama salimini.

5. Magufuli ni mcha Mungu. Ni Rais na kiongozi mwenye hofu ya Mungu. Na anayo imani kubwa sana kuwa Mungu ndiye kila kitu katika maisha. Na muda wote analiombea taifa letu toka moyoni sio mdomoni tu.

6. Magufuli ameondoa rushwa na maadili mabovu kazini.

7. Magufuli amefanya makubwa sana amefufua makampuni yetu makubwa, amehimiza na kujenga viwanda mbalimbali Tanzania vidogo kwa vikubwa. Viwanda vya kila namna vimejengwa katika awamu ya tano kwenye kila wilaya.

8. Anajenga mradi mkubwa Afrika wa kufua umeme utakao chochea maendeleo makubwa ya viwanda kama Ulaya.

9. Anajenga reli ya kisasa itakayo chochea usafirishaji wa malighafi na watu vitu ambavyo vitachochea ukuaji mkubwa wa uchumi na biashara.

10. Amerudisha Elimu bure kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu. Watoto wetu sasa wanasoma bure kwa kutumia pesa ya serikali ya awamu ya tano.

11. Kwenye serikali ya Magufuli hakuna utakatishaji wa pesa tena za serikali au taasisi.

12. Amebuni mbinu mpya za kukusanya mapato pamoja na kupokea fedha kwenye taasisi mbalimbali, kwenye halmashauri za wilaya na mikoa. Njia ambazo mtu hana uwezo tena wa kuiibia serikali.

13. Naomba niishie hapa mambo mengine yapo kwenye hizi audio.

Hizi audio zinazo sababu za nyongeza ambazo zinafanya watanzania wengi kumpenda na kumkubali Magufuli.





Mitano tena kwa Magufuli.
Acha uongo wewe labda wewe usipende kuwasemea Wasiokutuma semea familia yako
 
Baki na akili zako hizo hizo ulizokaririshwa.Yako mengi uliyodanganya ila kwavile hakuna uhuru wakusema watu wamekaa kimya tu ila hali ni tofauti sana na unayotudanganya hapa.
Kaondoa rushwa yote. Karejesha maadili kazini, kayabana majizi na mafisadi. Kazuia upoteaji wa mapato, kajenga viwanda, Kathubu kwenye mradi mkubwa wa umeme, kathubutu kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma, Karudisha elimu bure, karudisha heshima kazini, kazuia uizi wa madini yetu.
 
Baki na akili zako hizo hizo ulizokaririshwa.Yako mengi uliyodanganya ila kwavile hakuna uhuru wakusema watu wamekaa kimya tu ila hali ni tofauti sana na unayotudanganya hapa.
Yaseme hayo yote Mkuu. Labda kama una chuki binafsi tu Rais wa awamu ya sita
 
Habari ndugu zangu wana JamiiForums.

Katika uzi huu nitaelezea sababu zinazofanya Magufuli apendwe na watanzania wengi zaidi.

Mimi mwenyewe binafsi najikuta sana navutiwa na mwanasiasa mchapakazi Dkt Magufuli kama ilivyo kwa watanzania wengine hili hata wanasiasa wa vyama upinzani wanalijua na hata wanachama pia wa vyama vya upinzani wanalielewa vilivyo maana lipo wazi.

Sababu ni hizi hapa
1. Magufuli ni Rais wa Afrika, kila pembe ya dunia inamtazama huyu Rais wa namna ya tofauti katika bara hili. Ndiye Rais aliyebaki kuwa na misimamo chanya dhidi ya bara la Afrika katika kujipatia maendeleo ya kiuchumi. Anatamani bara la Afrika liwe kama ulaya.

2. Magufuli ni mchapakazi sio mvivu anajituma kufanya kazi. Amejitoa kwa udi na uvumba kuisimamia Tanzania sio kazi ndogo. Na ni watu wachache Sana duniani wenye uwezo kama huo.

3.Magufuli ana kipaji cha uongozi. Na hili limethibitishwa na jinsi anavyo weza kusimamia kila wizara inayo hitaji kusimamiwa. Hachoki anaendelea kubuni mbinu za kusimamia zaidi mpaka Tanzania iendelee.

4. Magufuli ni mzalendo na kila mtanzania anaamini Magufuli akikabidhiwa Tanzania basi Tanzania itakuwa imewekwa mahali salama salimini.

5. Magufuli ni mcha Mungu. Ni Rais na kiongozi mwenye hofu ya Mungu. Na anayo imani kubwa sana kuwa Mungu ndiye kila kitu katika maisha. Na muda wote analiombea taifa letu toka moyoni sio mdomoni tu.

6. Magufuli ameondoa rushwa na maadili mabovu kazini.

7. Magufuli amefanya makubwa sana amefufua makampuni yetu makubwa, amehimiza na kujenga viwanda mbalimbali Tanzania vidogo kwa vikubwa. Viwanda vya kila namna vimejengwa katika awamu ya tano kwenye kila wilaya.

8. Anajenga mradi mkubwa Afrika wa kufua umeme utakao chochea maendeleo makubwa ya viwanda kama Ulaya.

9. Anajenga reli ya kisasa itakayo chochea usafirishaji wa malighafi na watu vitu ambavyo vitachochea ukuaji mkubwa wa uchumi na biashara.

10. Amerudisha Elimu bure kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu. Watoto wetu sasa wanasoma bure kwa kutumia pesa ya serikali ya awamu ya tano.

11. Kwenye serikali ya Magufuli hakuna utakatishaji wa pesa tena za serikali au taasisi.

12. Amebuni mbinu mpya za kukusanya mapato pamoja na kupokea fedha kwenye taasisi mbalimbali, kwenye halmashauri za wilaya na mikoa. Njia ambazo mtu hana uwezo tena wa kuiibia serikali.

13. Naomba niishie hapa mambo mengine yapo kwenye hizi audio.

Hizi audio zinazo sababu za nyongeza ambazo zinafanya watanzania wengi kumpenda na kumkubali Magufuli.





Mitano tena kwa Magufuli.

ALYEKWAMBIA ANAPENDWA NA WATU WENGI NANI?. SEMA ANALAZIMISHA KUPENDWA, ANAWABAKA WANANCHI. Wengi wanaojifanya kumpenda ni kwa sababu ya kujaza matumbo yao tu si kweli kwamba wanampenda. Ni kwa sababu ya njaa tu walio wengi
 
ALYEKWAMBIA ANAPENDWA NA WATU WENGI NANI?. SEMA ANALAZIMISHA KUPENDWA, ANAWABAKA WANANCHI. Wengi wanaojifanya kumpenda ni kwa sababu ya kujaza matumbo yao tu si kweli kwamba wanampenda. Ni kwa sababu ya njaa tu walio wengi
Kwenye familia yenu mumebakwa wangapi hadi saivi?
Wakati mwingine usilazimishe mawazo yako yawe sawa na watu wengine!
Kama wewe humpendi Raisi Magufuri Kuna watu zaidi yako tunampenda na tunatambua mchango mkubwa wa ujenzi wa Taifa letu kwa kipindi Cha miaka mitano.
Ni lazima tuendeleee na Rais Magufuri kwa miaka mitano ijayo.#JPM 5 tenaa.
Kama hutaki kanywe sumu!
 
ALYEKWAMBIA ANAPENDWA NA WATU WENGI NANI?. SEMA ANALAZIMISHA KUPENDWA, ANAWABAKA WANANCHI. Wengi wanaojifanya kumpenda ni kwa sababu ya kujaza matumbo yao tu si kweli kwamba wanampenda. Ni kwa sababu ya njaa tu walio wengi
Magufuli number one ni Rais wa Afrika.
 
Kwenye familia yenu mumebakwa wangapi hadi saivi?
Wakati mwingine usilazimishe mawazo yako yawe sawa na watu wengine!
Kama wewe humpendi Raisi Magufuri Kuna watu zaidi yako tunampenda na tunatambua mchango mkubwa wa ujenzi wa Taifa letu kwa kipindi Cha miaka mitano.
Ni lazima tuendeleee na Rais Magufuri kwa miaka mitano ijayo.#JPM 5 tenaa.
Kama hutaki kanywe sumu!
Sisi tunaendelea tu kuimba Magufuli number one ni Rais wa Afrika
 
Habari ndugu zangu wana JamiiForums.

Katika uzi huu nitaelezea sababu zinazofanya Magufuli apendwe na watanzania wengi zaidi.

Mimi mwenyewe binafsi najikuta sana navutiwa na mwanasiasa mchapakazi Dkt Magufuli kama ilivyo kwa watanzania wengine hili hata wanasiasa wa vyama upinzani wanalijua na hata wanachama pia wa vyama vya upinzani wanalielewa vilivyo maana lipo wazi.

Sababu ni hizi hapa
1. Magufuli ni Rais wa Afrika, kila pembe ya dunia inamtazama huyu Rais wa namna ya tofauti katika bara hili. Ndiye Rais aliyebaki kuwa na misimamo chanya dhidi ya bara la Afrika katika kujipatia maendeleo ya kiuchumi. Anatamani bara la Afrika liwe kama ulaya.

2. Magufuli ni mchapakazi sio mvivu anajituma kufanya kazi. Amejitoa kwa udi na uvumba kuisimamia Tanzania sio kazi ndogo. Na ni watu wachache Sana duniani wenye uwezo kama huo.

3.Magufuli ana kipaji cha uongozi. Na hili limethibitishwa na jinsi anavyo weza kusimamia kila wizara inayo hitaji kusimamiwa. Hachoki anaendelea kubuni mbinu za kusimamia zaidi mpaka Tanzania iendelee.

4. Magufuli ni mzalendo na kila mtanzania anaamini Magufuli akikabidhiwa Tanzania basi Tanzania itakuwa imewekwa mahali salama salimini.

5. Magufuli ni mcha Mungu. Ni Rais na kiongozi mwenye hofu ya Mungu. Na anayo imani kubwa sana kuwa Mungu ndiye kila kitu katika maisha. Na muda wote analiombea taifa letu toka moyoni sio mdomoni tu.

6. Magufuli ameondoa rushwa na maadili mabovu kazini.

7. Magufuli amefanya makubwa sana amefufua makampuni yetu makubwa, amehimiza na kujenga viwanda mbalimbali Tanzania vidogo kwa vikubwa. Viwanda vya kila namna vimejengwa katika awamu ya tano kwenye kila wilaya.

8. Anajenga mradi mkubwa Afrika wa kufua umeme utakao chochea maendeleo makubwa ya viwanda kama Ulaya.

9. Anajenga reli ya kisasa itakayo chochea usafirishaji wa malighafi na watu vitu ambavyo vitachochea ukuaji mkubwa wa uchumi na biashara.

10. Amerudisha Elimu bure kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu. Watoto wetu sasa wanasoma bure kwa kutumia pesa ya serikali ya awamu ya tano.

11. Kwenye serikali ya Magufuli hakuna utakatishaji wa pesa tena za serikali au taasisi.

12. Amebuni mbinu mpya za kukusanya mapato pamoja na kupokea fedha kwenye taasisi mbalimbali, kwenye halmashauri za wilaya na mikoa. Njia ambazo mtu hana uwezo tena wa kuiibia serikali.

13. Naomba niishie hapa mambo mengine yapo kwenye hizi audio.

Hizi audio zinazo sababu za nyongeza ambazo zinafanya watanzania wengi kumpenda na kumkubali Magufuli.





Mitano tena kwa Magufuli.

View attachment 1573764
Matangazo mengi,mabango kibao,ya nini Kama anapendwa kiasi hicho?
Jamaa ni mkabila sana,Tabora,Katavi,alienda na mkurugenzi wa reli,Kadogosa kumtumia kupata kura kwa sababu tu ni Msukuma,
Kagera kwa wahaya,katumia jina la Masilingi,ambaye ni muhaya,kurubuni apewe kura.
Ni jitu la ajabu sana.
Kwenye tetemeko kagera,pesa zilizotolewa na wananchi Kama pole kwa wenzao,yeye akazifsnya za serikali na kuzipora.
Mtwara amevuruga kabisa zao la korosho.
Kama anapendwa mbona wapinzani wote wanawekewa vikwazo ili mijitu ya kijani ipite bila kupingwa?
 
Back
Top Bottom