Sababu zinazopelekea wanawake wengi kutokupata wapenzi

Sababu zinazopelekea wanawake wengi kutokupata wapenzi

Huyo ndyo mwanamke ukitaka kumwelewa Utakuwa kichaa just hit and run
JamiiForums515122534.jpg
 
Mnakatisha tamaa sana wakuu , kila mada kuhusu wanawake ni upande wa mabaya tu iv ni kwel kwamba hawa watu hawana mazuri?
Watu wamejaa sumu. Kuna jamaa alifungua uzi siku anamsifia mkewe watu wakaja ooh ngoja mkae miaka hata 10 ndio uje umsifie yaani watu wamejaa sumu hatari. Wamechagua kuangalia mabaya tu hayo mazuri ni muda gani wataona? Hakuna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wamejaa sumu. Kuna jamaa alifungua uzi siku anamsifia mkewe watu wakaja ooh ngoja mkae miaka hata 10 ndio uje umsifie yaani watu wamejaa sumu hatari. Wamechagua kuangalia mabaya tu hayo mazuri ni muda gani wataoona? Hakuna.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii sumu ni mbaya mno ina badili mindset kuna watu wanafanya kile wanachokisikia sna .
 
Ni kwel mkuu ila wanaume inabdi tuwe wanaume kwel wengi wanalia lia tu bila wao kuwa na msimamo ,mfano upendi kuombwa pesa kwenye mapnz mwambie kwa kunyooka nakutaka ila sitakupa pesa kama kigezo cha mapnz , mpe mwanamke pesa au msaada kwa wewe kupenda na sio yeye akuuendeshe , tatizo tunaishi maisha ya kuigiza ndio maana tuna lialia .
Hii style huwa ina faida sana katika mapenzi na hata maisha ya ndoa.
 
Watu wamejaa sumu. Kuna jamaa alifungua uzi siku anamsifia mkewe watu wakaja ooh ngoja mkae miaka hata 10 ndio uje umsifie yaani watu wamejaa sumu hatari. Wamechagua kuangalia mabaya tu hayo mazuri ni muda gani wataona? Hakuna.

Sent using Jamii Forums mobile app
Afu nashangaa kwanini wanawake hawalalamiki kama sisi[emoji23]
 
Wanawake wanapenda kuambiwa uwongo

Usijaribu kumuambia ukweli mwanamke utamkosa
Wanapenda uwongo + maigizo
Wanawake wanapenda kusikia ukamilifu wa jambo
Hawapendi kusikia kuhusu mchakato

Ili uishi nao vizuri basi jitahidi kua muongo na uwe kanumba mzuri
Hata kama umeshika jiwe mwambie hu ni mkate mpenzi wangu.
Huo mstari wa mwisho[emoji23][emoji23]
 
KWANINI VIJANA WA MIKOANI HAWALALAMIKI KAMA SISI VIJANA WA DARATHALAM?
AU WAO BADO WANA KAUSHAMBA KAMAPENZI?
 
Back
Top Bottom