Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
They're too selective and they end being single and desperate.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nna sura chachu sana, ila ngoja nirekebishe nione itakavokuaUnajua kununa sana, hebu acha hizo, ulivyo mrembo sasa[emoji23]
Kitu kinachowasumbua wanaume ni mob psychology yan kazi yao kudanganyana na kufuata mkumbo. Ukiona anaetongoza mize minne ujue anaaply ile kanuni ya mwanaume lazma upambanie unachokipenda. Mpk kieleweke. [emoji3] aliyosikia kijiweni.Kitu ambacho wanaume wengi hatuelewi ni kuwa mwanamke akikupenda huwezi struggle kumpata, hivyo mm maximum natumia wiki 1 tu kumtongoza mdada, siku 2 za kufahamiana naye, siku 5 za yeye ku-play hard to get, asipoeleweka ndani ya muda huo eti awe ananipa majibu ya dharau, matusi, ananiambia anakuja hlf asije, mara aniombe hela, mimi namkimbia.
Mwanamke akitamani zaidi, hata siku hiyo hiyo mnayokutana unaweza mpata, au ndani ya siku mbili.
Nimegundua huu ujinga wa kufuatilia mwanamke miezi 8 hadi mwaka ni kupoteza muda, mwanamke yoyote anajua mwanaume anayemtaka, akimwona ndani ya sekunde chache tu kama sisi, anajua huyu mwanaume ni type yangu au la, jibu tayari analo kichwani Leejay49
Kwann mtu awaze wengine wanateseka? Kila jinsia inateseka kwa wakat wake na mwisho ukitathmini utaona ni sawa. Hakuna mwenye nafuu. Iwe kwenye mapenzi wala maisha.Ile view yake[emoji23] mbuzi kagoma, hatarii[emoji23]
Kama una ujuzi njoo tufanye kaziMkuu una tatizo gani? Mada zako kila mara hapa jukwaani ni za Mapenzi tu..
😁😁Kama una ujuzi njoo tufanye kazi
Wenye vipaji vya 'Graphics & Animation'
Kuna kipindi nilileta uzi wa kutafuta 'animators'/ watengenezaji wa video za katuni; Sikufanikiwa kupata wajuzi, ili niweze kuwapa ajira. Nimegundua hii 'field' wengi hawana ujuzi, kwa hiyo nimekuja na mkakati mwingine wa kuwapata hawa wajuzi, ambao itabidi wajifunze kwa 'online' kwa gharama...www.jamiiforums.com
Bwana wee tena wanakuwa na wapenzi wanne...mnapangwa tuu vizuriKwani kuna mwanamke hana mpenzi?
Kama wewe ni 'animator' mzuri njoo tupige kazi, upasue mawingu bara kwa bara
I know nothing and i need to learn so tufundishe mku .Kama wewe ni 'animator' mzuri njoo tupige kazi, upasue mawingu bara kwa bara
Tembelea huu uziI know nothing and i need to learn so tufundishe mku .
Hawa ndo wepesi sasa kuingilikaKuna watu wananuna mpaka unaogopa kumsogelea[emoji23]
Nakucheki pm MkuuTembelea huu uzi
Wenye vipaji vya 'Graphics & Animation'
Kuna kipindi nilileta uzi wa kutafuta 'animators'/ watengenezaji wa video za katuni; Sikufanikiwa kupata wajuzi, ili niweze kuwapa ajira. Nimegundua hii 'field' wengi hawana ujuzi, kwa hiyo nimekuja na mkakati mwingine wa kuwapata hawa wajuzi, ambao itabidi wajifunze kwa 'online' kwa gharama...www.jamiiforums.com
Nakupenda mimi nakaa airport sina hela nimevulugwa hatari.. Ningependa uwe my wife to be .. Ni DMMimi napenda niambiwe ukweli hata kama ni mchungu. Niamue toka mwanzo nakua na wewe ama vipi.
Sent using Jamii Forums mobile app
NdioJamani jamanii [emoji134]
Yeah, sure 😔Ndio
Kama nmedanganya sema wap?
Maisha mazuri na mafanikio ni mchakato
Kila kinachoonekana leo basi jua mipango yake ilikuepo tangu muda mrefu
Malengo yanaathiliwa na uchumi
Wakati mwingine ndoto zinafifishwa kutokana na hari ya kuyumba kwa uchumi
Wakati huo mwanamke ndio wakati sahihi wakuonesha mshikamano na mwenzako
Lakin ndio kwaaanza hua mnakimbia...
“Ladies wanapenda ukanilifu”
Kua hili ni gari
Hi ni nyumba yangu
Hi ni biashara yangu
Ila hawapendi kauri ya “nna”!!
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌Wanawake wanapenda kuambiwa uwongo
Usijaribu kumuambia ukweli mwanamke utamkosa
Wanapenda uwongo + maigizo
Wanawake wanapenda kusikia ukamilifu wa jambo
Hawapendi kusikia kuhusu mchakato
Ili uishi nao vizuri basi jitahidi kua muongo na uwe kanumba mzuri
Hata kama umeshika jiwe mwambie hu ni mkate mpenzi wangu.
Mimi napenda niambiwe ukweli hata kama ni mchungu. Niamue toka mwanzo nakua na wewe ama vipi.
Sent using Jamii Forums mobile app