Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Sijui hao wengine ila binafsi napenda niambiwe ukweli.siku zote munapoambiwa ukweli lazima mumkatae mwanamme, Uongo ndio munaopenda kuusikia kwenye masikio yenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui hao wengine ila binafsi napenda niambiwe ukweli.siku zote munapoambiwa ukweli lazima mumkatae mwanamme, Uongo ndio munaopenda kuusikia kwenye masikio yenu.
Sijui hao wengine ila binafsi napenda niambiwe ukweli.
Nasema uwongo?😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌
Hahahaha naked truth 🤣🤣🤣🤣🤣🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨Nasema uwongo?😅😅
Sahihi kabisa, hii nimeiona Kwa mpenzi wangu ... Anakuwa excited na hicho utakachomwambia hajui nini utafany au mfanye kukimalishaWanawake wanapenda kuambiwa uwongo
Usijaribu kumuambia ukweli mwanamke utamkosa
Wanapenda uwongo + maigizo
Wanawake wanapenda kusikia ukamilifu wa jambo
Hawapendi kusikia kuhusu mchakato
Ili uishi nao vizuri basi jitahidi kua muongo na uwe kanumba mzuri
Hata kama umeshika jiwe mwambie hu ni mkate mpenzi wangu.
Hizi zinaweza kuwa sababu kuu, zinazowafanya wanawake wengi wasiwe na wapenzi wa kiume:-
Kuwajibu wanaume wanao watongoza kwa lugha ya ukali Kuwadharau wanaume wanao watongoza kimuonekano na kumjibu kwa dhihaka Kuwadharau na kuwapuuza wanaume wenye kipato kidogo, wasiokuwa na mali kwa sasa. Kuwapenda wanaume wanao igiza maisha Kukimbilia kwa mwanaume mwenye kipato kikubwa Kukunja sura muda wote Kujifanya unajua kila kitu Kukosa lugha ya mahaba kwa uliyenaye Kujiona wewe ni spesho kuliko wengine Kupenda sana pesa kuliko utu Kutokuwa na maono katika maisha Kuwa muongeaji sana n.kMkiacha haya mambo; mtafanikiwa kupata wapenzi wazuri na wanaojali.
Huko ulipo wako wangapi?Watu hawana wapenz na hamsemii[emoji23][emoji23][emoji23]
Haya sasa matusi[emoji23]Unakosaje mpenzi?
Men are so cheap
UKweli usemweHaya sasa matusi[emoji23]
😅😅Hahahaha naked truth 🤣🤣🤣🤣🤣🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨
Ndivyo walivyoSahihi kabisa, hii nimeiona Kwa mpenzi wangu ... Anakuwa excited na hicho utakachomwambia hajui nini utafany au mfanye kukimalisha
Hakuna mwanamke hana mpenzi.
We tunaenda sawaInategemea na anaemuuliza eeh?[emoji3]
Tuna comment kutokana na uzi ulivyo mkuuMnakatisha tamaa sana wakuu , kila mada kuhusu wanawake ni upande wa mabaya tu iv ni kwel kwamba hawa watu hawana mazuri?
Ni kwel mkuu ila wanaume inabdi tuwe wanaume kwel wengi wanalia lia tu bila wao kuwa na msimamo ,mfano upendi kuombwa pesa kwenye mapnz mwambie kwa kunyooka nakutaka ila sitakupa pesa kama kigezo cha mapnz , mpe mwanamke pesa au msaada kwa wewe kupenda na sio yeye akuuendeshe , tatizo tunaishi maisha ya kuigiza ndio maana tuna lialia .Tuna comment kutokana na uzi ulivyo mkuu
Sasa kwa heading hiyo ulitaka tuwasifie kama mama zetu waliotulea miezi 9 tumboni?
Lucky dude anasema “god bless women “
Hata mimi nasema mwenezi mungu awabariki wanawake wote duniani...
Ila ili uende nao sawa ndio hapo inahitaji akili yako
📌 mkuuNi kwel mkuu ila wanaume inabdi tuwe wanaume kwel wengi wanalia lia tu bila wao kuwa na msimamo ,mfano upendi kuombwa pesa kwenye mapnz mwambie kwa kunyooka nakutaka ila sitakupa pesa kama kigezo cha mapnz , mpe mwanamke pesa au msaada kwa wewe kupenda na sio yeye akuuendeshe , tatizo tunaishi maisha ya kuigiza ndio maana tuna lialia .