Sababu zinazoweza kumfanya mwanamke asikuache kirahisi

Kiazi kweli, yeye huyo mwanamke ni nani kwenye maisha yangu hadi nianze kufikiria ni jinsi gani asiniache kirahisi? Kwanini yeye ndo asifanye hizo jitihada ili nisimuache kirahisi

Mi sijali chochote.
huu uanaume🔥👍
 
Awapi mkuu kwanza juz nimetoka kutoa hints zangu kwa mtoto mkalii na amekubali mwanzo alitaka kuleta ma uji uji, na akitaka kwenda ni aendee🔥.
Sasa huyo unamuwahi kummaliza kwa hizo trick just within a week inatosha kumfanya asafe we ukae ki kifalme
 
Najiuliza kimoyo moyo huyu pesa anatafta sangapi
 
Najiuliza huyu mtoa uzi mambo yote hayo yote amfanyie manzi tu sasa shughuli za uzalishaji mali nafanya sangapi
Tatizo la afya ya akili ni kubwa saana... sasa kwa akili yako yakuvalia chupi umeona ivo vitu vinahitaji masaa mengi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…