bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Ngoja upigwe tukio ulete mrejesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi unakaribia kufaTangu niwajue nina idada ya 25 ladies nimewatesa kwa same style tena hadi raia wa kigen... so ukipinga uwe na hoja
Labda ufafanue kufa kwa namna gani?? Maana nnayeandika hapa si mzimu mmUkishawajua tu utakua umeshakufa
Umeninywesha sumu nn??Basi unakaribia kufa
Sasa hii nayo ni idada ya kutisha?? Watu hawakumbuki hata idada sembuse mimi nnaye ji control??Umewajua alafu bado upo hai?
Unaongea kama wanawake wote wanafanana interestUmeninywesha sumu nn??
Nasemaje wanawake wote wanaafana kwenye mapenzi kikubwa ujue tuu code zao...Unaongea kama wanawake wote wanafanana interest
Ha ha haaaaa chukua hii,Hivi vipi mze...pipi hii nakupa inaa maana moyo wangu umekua kama pipi tamu love you
Wenzangu ni Wazungu ila wote ni wanaume.Hivi kweli wewe wa kujifananisha na hao watu kweli... huu si ni uchuro ndugu yangu???
Alokuambia wanaume wote tunafanana na nan??Wenzangu ni Wazungu ila wote ni wanaume.
ujinga mtu. maelezo mengi utafikiri ya kutafuta utajiriMambo vip,
Nataka niende straight kwa point,
Iko hivi nimekua na changamoto ya kutokuachwa kirahisi na mademu zangu kiasi ambacho washkaji wananiulizaga ni mbinu gani natumia mpaka huaga siachiki kirahisi na wanaokua wapenzi wangu hata kama wakijua natoka na wnawake wengine??
Kwanza nataka mtoe akili yakwamba mi nna mkwanja laah... yaani kwajinsi nilivo na maisha magumu kwa ndani (kwa nje huwezi dhania)
Na pia ni bahili mbaya mnoo hasa wa kuhonga otherwise tuspend tukiwa pamoja
Iko hivi, namna nnavoishi nao ni kama hivi;
1. Misimamo... onesha msimamo wa kipi unataka na kipi hutaki, na simamia
2. Experience.. hawa dada zetu wanataka mwanaume mwenye uzoefu wa mambo mengi ya maisha hasa mahusiano. Mpe mifano ya mahusiano mbalimbali ilivofanikiwa na kufa.
3. Onyesha kujali hata pasipo uwezo... onyesha kua ulitamani kumfanyia kitu flani alipopatwa na tatizo ukakwamishwa na pesa, muda (kuchelewa), umbali, jamii nk
4. Toa maana ya kila zawadi...
hii hata ukimpelekea pipi mweleze inamaana gani katika maisha yako na yake.
5. Toa Uhuru...
mpe uhuru wa kufunua hisia zake na kuzikubali.. hapa atakwambia aina ya sex position azipendazo, amefika au hajafika kileleni na mambo mengine mengi.
5. Utani na kutaniana...
kifupi kua mwaaume sio ukauzu na kukoroma koroma tuu.
6. Usikae kinyonge..
lazima ajue akizingua fasta ukosi chombo ingine yaan amsha amsha ziwe nyingi sio kila mara kumlilia na kumsifia ooh malaika sijui wewe kwako sijiwezi sijui ng'ang'a nyingi kana kwamba wewe (mwanaume) umeumbwa kwa ajili yake wakati yeye (mwanamke) ndo aliumbwa kwa ajili yetu... kifupi wanawake hawapendi weak men.
7. Usiwe na Huruma naye wala ustaarabu kwenye Sex... narudia tena hapa usimuonee huruma hata kama unamheshimu sijui unasali nae au anaonekana mtu wa dini saana... aiseeh do hardly, roughly and scream horror kuonesha una enjoy na kujua kazi ya uanaume wako.
🙄 Angalizo ukifanya hivi watakuroga na kukutia nuksi... mi mwenzunu sikuhiizi sipati hela maana kila demu anantolea chozi et kwann nimumuacha..
Fanya kwa demu uko na future nae au wife..
We ushaupata ??ujinga mtu. maelezo mengi utafikiri ya kutafuta utajiri
nimeshangaa sana
Tayari Man down....ushawekwa kwenye kichupa.....Ha ha haaaaa chukua hii,
Pipi hii mpenzi wangu ili uskie utamu wake inahitaji mate yako, hivyo kwa ushirikiano huu wa pipi na mate yako ndivo ladha ya penzi letu linalohitaji ushirikiano wa mioyo yetu... love u love of my life
Oyaaah hiyo ni brain wash mzeeTayari Man down....ushawekwa kwenye kichupa.....
*****!, Hii ndo my best comment tangu nijiunge humu jf 😂😂Are you sure you were the sperm that won.? 😥
Huu ni unafiki sasa*****!, Hii ndo my best comment tangu nijiunge humu jf 😂😂
Huyo baba muongo sana khaa 😂😂😂Huu ni unafiki sasa
Huu ni mtego Sir 😂😂😂*****!, Hii ndo my best comment tangu nijiunge humu jf 😂😂