Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
NakaziaUsiwe na Huruma naye wala ustaarabu kwenye Sex.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaUsiwe na Huruma naye wala ustaarabu kwenye Sex.
Movie ni maisha halisi weweHata mm, jamaa kanichekesha sana hapo kwny pipi dahhh😅😅. Mbinu za kwny movie anazileta in real life
Fwala saana wèweBaada ya kufanya yote haya pitia hapa subscribe my channelView attachment 3042450
Hii nayo ni tatizo la afya ya akiliAfu hata so unyama sasa, ni kukosa kazi tu kutakufanya uhangaikie kupendwa.
Mwaaume ni mwiko kupenda si tunatakiwa kupendwa tuuSisi wengine Mapenzi yashatushinda. Coz we love too much, so ukiwa na pesa utaumizwa, ukiwa Huna pesa utaumizwa, uwe handsome or not utaumizwa tu. Romantic or kinda rude utaumizwa tu.
Hayanaga formula ni mpaka umuotee mmoja mwenye atakuwa loyal na kwa kiźazi hiki wamebaki wawili tu mimi na mwingine sijui nani😅😂😂
Yaani unakuta mtu yupo serious anataka kukumiza kwa makusudi, hii kizazi ya hovyo sana!
Ha ha haaaaa umeua mwanangu🤣🤣🤣Hoja zako zote ni sahihi.
Isipokuwa hiki la rough riding nguvu zenyewe ziko wap sasa! Km unataman kula had VAT!
Wallah mi nawapelekea mfumo mmoja coz kile na jua madem wanapenda vitu vinavyofanana sema wengine wanakua wasiri tuuNa hayahitaji mfumo wa kufanana, kila mahusiano yana tabia yake. Shtuka ndugu yangu.
Ova
Pesa hainunui hisia mzee inanunua mwili tuPesa
Pesa
Pesa
KAZI ni kipimo cha UTU
Jesus, St.Paul, Newton nao walikua na matatizo ya akili?Hii nayo ni tatizo la afya ya akili
Uko wapi......Mambo vip,
Nataka niende straight kwa point,
Iko hivi nimekua na changamoto ya kutokuachwa kirahisi na mademu zangu kiasi ambacho washkaji wananiulizaga ni mbinu gani natumia mpaka huaga siachiki kirahisi na wanaokua wapenzi wangu hata kama wakijua natoka na wnawake wengine??
Kwanza nataka mtoe akili yakwamba mi nna mkwanja laah... yaani kwajinsi nilivo na maisha magumu kwa ndani (kwa nje huwezi dhania)
Na pia ni bahili mbaya mnoo hasa wa kuhonga otherwise tuspend tukiwa pamoja
Iko hivi, namna nnavoishi nao ni kama hivi;
1. Misimamo... onesha msimamo wa kipi unataka na kipi hutaki, na simamia
2. Experience.. hawa dada zetu wanataka mwanaume mwenye uzoefu wa mambo mengi ya maisha hasa mahusiano. Mpe mifano ya mahusiano mbalimbali ilivofanikiwa na kufa.
3. Onyesha kujali hata pasipo uwezo... onyesha kua ulitamani kumfanyia kitu flani alipopatwa na tatizo ukakwamishwa na pesa, muda (kuchelewa), umbali, jamii nk
4. Toa maana ya kila zawadi...
hii hata ukimpelekea pipi mweleze inamaana gani katika maisha yako na yake.
5. Toa Uhuru...
mpe uhuru wa kufunua hisia zake na kuzikubali.. hapa atakwambia aina ya sex position azipendazo, amefika au hajafika kileleni na mambo mengine mengi.
5. Utani na kutaniana...
kifupi kua mwaaume sio ukauzu na kukoroma koroma tuu.
6. Usikae kinyonge..
lazima ajue akizingua fasta ukosi chombo ingine yaan amsha amsha ziwe nyingi sio kila mara kumlilia na kumsifia ooh malaika sijui wewe kwako sijiwezi sijui ng'ang'a nyingi kana kwamba wewe (mwanaume) umeumbwa kwa ajili yake wakati yeye (mwanamke) ndo aliumbwa kwa ajili yetu... kifupi wanawake hawapendi weak men.
7. Usiwe na Huruma naye wala ustaarabu kwenye Sex... narudia tena hapa usimuonee huruma hata kama unamheshimu sijui unasali nae au anaonekana mtu wa dini saana... aiseeh do hardly, roughly and scream horror kuonesha una enjoy na kujua kazi ya uanaume wako.
🙄 Angalizo ukifanya hivi watakuroga na kukutia nuksi... mi mwenzunu sikuhiizi sipati hela maana kila demu anantolea chozi et kwann nimumuacha..
Fanya kwa demu uko na future nae au wife..
Hivi kweli wewe wa kujifananisha na hao watu kweli... huu si ni uchuro ndugu yangu???Jesus, St.Paul, Newton nao walikua na matatizo ya akili?
Nipo dar momieUko wapi......
Pokea simu.....Nipo dar momie
Piga tenaPokea simu.....
Aisee kweli?Wahuni wahuni. Wadada wengi hawapendi wanaume wastaarabu.
Tangu niwajue nina idada ya 25 ladies nimewatesa kwa same style tena hadi raia wa kigen... so ukipinga uwe na hojaUwajui wanawake wewe
Ukishawajua tu utakua umeshakufaUwajui wanawake wewe
Umewajua alafu bado upo hai?Tangu niwajue nina idada ya 25 ladies nimewatesa kwa same style tena hadi raia wa kigen... so ukipinga uwe na hoja