Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
- #121
Ni kweli lakini si wanawake???Unawez shangaa wanaokulilia ni wal wal wa kin mwantumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli lakini si wanawake???Unawez shangaa wanaokulilia ni wal wal wa kin mwantumu
Hua wana force huko ila mi sio michezo yanguvipi kuwatembelea kwa mpalange haisaidii?
Mi nakubaliana na hii attitude kikubwe usiwe unaliaga kwenye kioo cha chooni peke akoKiazi kweli, yeye huyo mwanamke ni nani kwenye maisha yangu hadi nianze kufikiria ni jinsi gani asiniache kirahisi? Kwanini yeye ndo asifanye hizo jitihada ili nisimuache kirahisi
Mi sijali chochote.
Kumbe upo sema ni mdogo tuu???Vijana kama hawa mchango wao Kwa taifa ni mdogo sana
Tafuta anaekupenda kama ukikosa acha kuyaendekeza mapenzi yule wako atakuja tu kwa muda wake.
Hata mm, jamaa kanichekesha sana hapo kwny pipi dahhh😅😅. Mbinu za kwny movie anazileta in real lifeKwelii nimeshazeeka nikianza kumpa wife pipi nimuelezee na maana yake duh! Gez z wa Tanganyika mbinguni mtaenda kweliii?
Hahahaaanilikua nakuheshimu sana mkuu ila dah kumbe amna kitu 😂
Na hayahitaji mfumo wa kufanana, kila mahusiano yana tabia yake. Shtuka ndugu yangu.Mapenzi hayataki logic ndugu angu shtuka
Sema tena na tena.Haya makitu hayana formula.Hayanaga formular.
Hoja zako zote ni sahihi.Mambo vip,
Nataka niende straight kwa point,
Iko hivi nimekua na changamoto ya kutokuachwa kirahisi na mademu zangu kiasi ambacho washkaji wananiulizaga ni mbinu gani natumia mpaka huaga siachiki kirahisi na wanaokua wapenzi wangu hata kama wakijua natoka na wnawake wengine??
Kwanza nataka mtoe akili yakwamba mi nna mkwanja laah... yaani kwajinsi nilivo na maisha magumu kwa ndani (kwa nje huwezi dhania)
Na pia ni bahili mbaya mnoo hasa wa kuhonga otherwise tuspend tukiwa pamoja
Iko hivi, namna nnavoishi nao ni kama hivi;
1. Misimamo... onesha msimamo wa kipi unataka na kipi hutaki, na simamia
2. Experience.. hawa dada zetu wanataka mwanaume mwenye uzoefu wa mambo mengi ya maisha hasa mahusiano. Mpe mifano ya mahusiano mbalimbali ilivofanikiwa na kufa.
3. Onyesha kujali hata pasipo uwezo... onyesha kua ulitamani kumfanyia kitu flani alipopatwa na tatizo ukakwamishwa na pesa, muda (kuchelewa), umbali, jamii nk
4. Toa maana ya kila zawadi...
hii hata ukimpelekea pipi mweleze inamaana gani katika maisha yako na yake.
5. Toa Uhuru...
mpe uhuru wa kufunua hisia zake na kuzikubali.. hapa atakwambia aina ya sex position azipendazo, amefika au hajafika kileleni na mambo mengine mengi.
5. Utani na kutaniana...
kifupi kua mwaaume sio ukauzu na kukoroma koroma tuu.
6. Usikae kinyonge..
lazima ajue akizingua fasta ukosi chombo ingine yaan amsha amsha ziwe nyingi sio kila mara kumlilia na kumsifia ooh malaika sijui wewe kwako sijiwezi sijui ng'ang'a nyingi kana kwamba wewe (mwanaume) umeumbwa kwa ajili yake wakati yeye (mwanamke) ndo aliumbwa kwa ajili yetu... kifupi wanawake hawapendi weak men.
7. Usiwe na Huruma naye wala ustaarabu kwenye Sex... narudia tena hapa usimuonee huruma hata kama unamheshimu sijui unasali nae au anaonekana mtu wa dini saana... aiseeh do hardly, roughly and scream horror kuonesha una enjoy na kujua kazi ya uanaume wako.
🙄 Angalizo ukifanya hivi watakuroga na kukutia nuksi... mi mwenzunu sikuhiizi sipati hela maana kila demu anantolea chozi et kwann nimumuacha..
Fanya kwa demu uko na future nae au wife..
Muda wa aliyesahihi ukifika hayo yote yatajusetApo kwenye kutafuta ndo njia izi sasa
Afu hata so unyama sasa, ni kukosa kazi tu kutakufanya uhangaikie kupendwa.Shika unayoyamudu kwanza kupendwa wote sio lazima
This bypassed others by using the rear door.Are you sure you were the sperm that won.? 😥