Fake P
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 3,952
- 11,919
😥Unatuumiza, sisi wakubwa wenzako baba jayron au ni baba mlezi😂😂.? Kama yule wa mortuaryHapana kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😥Unatuumiza, sisi wakubwa wenzako baba jayron au ni baba mlezi😂😂.? Kama yule wa mortuaryHapana kabisa
Hapana kizazi iki kina genye hatari... pesa ni jinsi unavowaingiaAchana kabisa na watoto wa elfu 2000, hawataelewa ulicho andika hapa wao wanataka pesa,
unataka mahaba toa pesa, unataka mapenzi toa huduma. 😃😃😃😃
kizazi Cha Sasa nipe nikupe.
huna pesa hupati ku-ma. 😃😃😃😃
Church boi unajulikana tuuNitaanza kuwaambia wadada siendagi kanisani nione watakavyodata😅
Stori za Wanavyuo za kugoogleMambo vip,
Nataka niende straight kwa point,
Iko hivi nimekua na changamoto ya kutokuachwa kirahisi na mademu zangu kiasi ambacho washkaji wananiulizaga ni mbinu gani natumia mpaka huaga siachiki kirahisi na wanaokua wapenzi wangu hata kama wakijua natoka na wnawake wengine??
Kwanza nataka mtoe akili yakwamba mi nna mkwanja laah... yaani kwajinsi nilivo na maisha magumu kwa ndani (kwa nje huwezi dhania)
Na pia ni bahili mbaya mnoo hasa wa kuhonga otherwise tuspend tukiwa pamoja
Iko hivi, namna nnavoishi nao ni kama hivi;
1. Misimamo... onesha msimamo wa kipi unataka na kipi hutaki, na simamia
2. Experience.. hawa dada zetu wanataka mwanaume mwenye uzoefu wa mambo mengi ya maisha hasa mahusiano. Mpe mifano ya mahusiano mbalimbali ilivofanikiwa na kufa.
3. Onyesha kujali hata pasipo uwezo... onyesha kua ulitamani kumfanyia kitu flani alipopatwa na tatizo ukakwamishwa na pesa, muda (kuchelewa), umbali, jamii nk
4. Toa maana ya kila zawadi...
hii hata ukimpelekea pipi mweleze inamaana gani katika maisha yako na yake.
5. Toa Uhuru...
mpe uhuru wa kufunua hisia zake na kuzikubali.. hapa atakwambia aina ya sex position azipendazo, amefika au hajafika kileleni na mambo mengine mengi.
5. Utani na kutaniana...
kifupi kua mwaaume sio ukauzu na kukoroma koroma tuu.
6. Usikae kinyonge..
lazima ajue akizingua fasta ukosi chombo ingine yaan amsha amsha ziwe nyingi sio kila mara kumlilia na kumsifia ooh malaika sijui wewe kwako sijiwezi sijui ng'ang'a nyingi kana kwamba wewe (mwanaume) umeumbwa kwa ajili yake wakati yeye (mwanamke) ndo aliumbwa kwa ajili yetu... kifupi wanawake hawapendi weak men.
7. Usiwe na Huruma naye wala ustaarabu kwenye Sex... narudia tena hapa usimuonee huruma hata kama unamheshimu sijui unasali nae au anaonekana mtu wa dini saana... aiseeh do hardly, roughly and scream horror kuonesha una enjoy na kujua kazi ya uanaume wako.
🙄 Angalizo ukifanya hivi watakuroga na kukutia nuksi... mi mwenzunu sikuhiizi sipati hela maana kila demu anantolea chozi et kwann nimumuacha..
Fanya kwa demu uko na future nae au wife..
Mtu atatulia na wewe akiamua yeye. Unaweza jikakamua ufanye yote ati asikuache na bado akakuacha.Kwa nini?
Usiwaze saana mi na wewe ni wale wale ungekua seriously ungeshinda kwenyee strory of change na jujwaa la siasa🤣🤣🤣😥Unatuumiza, sisi wakubwa wenzako baba jayron au ni baba mlezi😂😂.? Kama yule wa mortuary
For Promotional Use Only.Mambo vip,
Nataka niende straight kwa point,
Iko hivi nimekua na changamoto ya kutokuachwa kirahisi na mademu zangu kiasi ambacho washkaji wananiulizaga ni mbinu gani natumia mpaka huaga siachiki kirahisi na wanaokua wapenzi wangu hata kama wakijua natoka na wnawake wengine??
Kwanza nataka mtoe akili yakwamba mi nna mkwanja laah... yaani kwajinsi nilivo na maisha magumu kwa ndani (kwa nje huwezi dhania)
Na pia ni bahili mbaya mnoo hasa wa kuhonga otherwise tuspend tukiwa pamoja
Iko hivi, namna nnavoishi nao ni kama hivi;
1. Misimamo... onesha msimamo wa kipi unataka na kipi hutaki, na simamia
2. Experience.. hawa dada zetu wanataka mwanaume mwenye uzoefu wa mambo mengi ya maisha hasa mahusiano. Mpe mifano ya mahusiano mbalimbali ilivofanikiwa na kufa.
3. Onyesha kujali hata pasipo uwezo... onyesha kua ulitamani kumfanyia kitu flani alipopatwa na tatizo ukakwamishwa na pesa, muda (kuchelewa), umbali, jamii nk
4. Toa maana ya kila zawadi...
hii hata ukimpelekea pipi mweleze inamaana gani katika maisha yako na yake.
5. Toa Uhuru...
mpe uhuru wa kufunua hisia zake na kuzikubali.. hapa atakwambia aina ya sex position azipendazo, amefika au hajafika kileleni na mambo mengine mengi.
5. Utani na kutaniana...
kifupi kua mwaaume sio ukauzu na kukoroma koroma tuu.
6. Usikae kinyonge..
lazima ajue akizingua fasta ukosi chombo ingine yaan amsha amsha ziwe nyingi sio kila mara kumlilia na kumsifia ooh malaika sijui wewe kwako sijiwezi sijui ng'ang'a nyingi kana kwamba wewe (mwanaume) umeumbwa kwa ajili yake wakati yeye (mwanamke) ndo aliumbwa kwa ajili yetu... kifupi wanawake hawapendi weak men.
7. Usiwe na Huruma naye wala ustaarabu kwenye Sex... narudia tena hapa usimuonee huruma hata kama unamheshimu sijui unasali nae au anaonekana mtu wa dini saana... aiseeh do hardly, roughly and scream horror kuonesha una enjoy na kujua kazi ya uanaume wako.
🙄 Angalizo ukifanya hivi watakuroga na kukutia nuksi... mi mwenzunu sikuhiizi sipati hela maana kila demu anantolea chozi et kwann nimumuacha..
Fanya kwa demu uko na future nae au wife..
Oya Google na yako mzeeStori za Wanavyuo za kugoogle
Sio kirahisi yaan ataenda kisha atarudi tuuMtu atatulia na wewe akiamua yeye. Unaweza jikakamua ufanye yote ati asikuache na bado akakuacha.
Nyege kila mwanamke anazo lakini kizazi hiki na kijacho basi pesa ni bora zaidi KWAO. 😃😃😃😃Hapana kizazi iki kina genye hatari... pesa ni jinsi unavowaingia
Ila ukiamua unaweza mtuliza na asifurukute mwanamke mna nguvu kubwa sana sema mnaipuuzia au hamjijui labda.Mtu atatulia na wewe akiamua yeye. Unaweza jikakamua ufanye yote ati asikuache na bado akakuacha.
Si mtoto sema watoto wenye afya njema ya akili na mwili....Huyu nayeye ni mzazi wa mtoto fulani..
😂😆 bureeNdo kitu nimeandika hapo "msimamo" ndio tatizo la kuachika ulilo nAlo maana ungeacha ku comment kuonesha kunidharau
Huwezi kumtuliza mtu niamini mimi. Atatulia akiamua yeye.Ila ukiamua unaweza mtuliza na asifurukute mwanamke mna nguvu kubwa sana sema mnaipuuzia au hamjijui labda.
Nimependa hii fasihi aiseehMapenzi wengine joto la utenguzi. Kweli kuna watu kama mbingu na ardhi.
Yoooooooooh 🙆🏼♀️🙆🏼♀️🙆🏼♀️🙆🏼♀️🙆🏼♀️🙆🏼♀️🙆🏼♀️Are you sure you were the sperm that won.? 😥
Akirudi ujue kapigwa matukio huko alikoenda sasa anajirudisha kwa boya wake wa siku zote.Sio kirahisi yaan ataenda kisha atarudi tuu
Usiwaze mwanangu relaxy😂😆 buree