min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
😁😁 nimeshakuamini mama.Huwezi kumtuliza mtu niamini mimi. Atatulia akiamua yeye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁 nimeshakuamini mama.Huwezi kumtuliza mtu niamini mimi. Atatulia akiamua yeye.
Sema hii nayo point nai note..... kwa ivo mkirudia X maana yake huyo jamaa ni boya??????🤔Akirudi ujue kapigwa matukio huko alikoenda sasa anajirudisha kwa boya wake wa siku zote.
Na Siwezi kua serious JF ..😂😂😂Usiwaze saana mi na wewe ni wale wale ungekua seriously ungeshinda kwenyee strory of change na jujwaa la siasa🤣🤣🤣
We kaa hapa tule shushu mzee mwenzangu
Lazima tutembee na upepo we si unaona uzi ulivyochangamka??🤣🤣🤣🤣Na Siwezi kua serious JF ..😂😂😂
Halafu ulisema tule shushu?😂😂 Tutambuane. Wewe nanga brigedi😂😂Lazima tutembee na upepo we si unaona uzi ulivyochangamka??🤣🤣🤣🤣
Nani anapenda uzi wake udode??
xyrelaUsiwaze mwanangu relaxy
Ndio. Ex harudiwi, hasa hasa wale wanakuacha kwa nyodo kama zote alafu badae wanataka kurudi.Sema hii nayo point nai note..... kwa ivo mkirudia X maana yake huyo jamaa ni boya??????[emoji848]
Uko poa lkn?[emoji16][emoji16] nimeshakuamini mama.
Mimi huwa nawapiga matukio weeeh nikiona anakomaa namgonganisha na mwanzake, basi atakasirika na kususa after two days au hata wiki anajigongesha tena kurudi na hata akipata mahusiano mapya hayadumu anarudiNdio. Ex harudiwi, hasa hasa wale wanakuacha kwa nyodo kama zote alafu badae wanataka kurudi.
Oyaa mbona unamlegezea sauti kwenye uzi wanngu??Uko poa lkn?
ChaiHamna kitu umeandika hapo sijasikia vijiweni
Wanaume tunapiga mbuli sana, uongo mwingi
Chai.Mimi huwa nawapiga matukio weeeh nikiona anakomaa namgonganisha na mwanzake, basi atakasirika na kususa after two days au hata wiki anajigongesha tena kurudi na hata akipata mahusiano mapya hayadumu anarudi
Mi kauli yangu moja bro...Chai.
Choir bar.
Unapiga mbuli.
Salama tu , siku hizi nakuona kwa nadra sana lakini🤔Uko poa lkn?
Kwa mfano mimi nna msimamo wa kutokupigiwa simu kuanzia saa nne usiku, pia simu za mara kwa mara na msg na wananielewa kabisaa na vile vile utani unakuwepo bila kuadhiri misimamo yanguIngawa umekosea namba 5 zipo mbili.
Nianze na namba 1. Msimamo na namba 5 ya pili umesema msimamo
Unakuwaje na msimamo na utani at the same relationship mkuu?
Nipo sana. Leo weekend unajidai wapi ama usharudi kulala?Salama tu , siku hizi nakuona kwa nadrq sana lakini[emoji848]
Mshapeana nyinyi😭😭😭Nipo sana. Leo weekend unajidai wapi ama usharudi kulala?
Nipo nipo tu hata sijielewi😁Nipo sana. Leo weekend unajidai wapi ama usharudi kulala?
Kwa mfano mimi nna msimamo wa kutokupigiwa simu kuanzia saa nne usiku, pia simu za mara kwa mara na msg na wananielewa kabisaa na vile vile utani unakuwepo bila kuadhiri misimamo yangu