Sababu zinazoweza kumfanya mwanamke asikuache kirahisi

Sababu zinazoweza kumfanya mwanamke asikuache kirahisi

Kwa mfano mimi nna msimamo wa kutokupigiwa simu kuanzia saa nne usiku, pia simu za mara kwa mara na msg na wananielewa kabisaa na vile vile utani unakuwepo bila kuadhiri misimamo yangu
Kwamba saa nne unakua ushalala ama ni nini kinakufanya usitake kupigiwa muda huo au una michepuko unaogopa kukamatwa?
 
Mambo vip,

Nataka niende straight kwa point,

Iko hivi nimekua na changamoto ya kutokuachwa kirahisi na mademu zangu kiasi ambacho washkaji wananiulizaga ni mbinu gani natumia mpaka huaga siachiki kirahisi na wanaokua wapenzi wangu hata kama wakijua natoka na wnawake wengine??

Kwanza nataka mtoe akili yakwamba mi nna mkwanja laah... yaani kwajinsi nilivo na maisha magumu kwa ndani (kwa nje huwezi dhania)
Na pia ni bahili mbaya mnoo hasa wa kuhonga otherwise tuspend tukiwa pamoja

Iko hivi, namna nnavoishi nao ni kama hivi;
1. Misimamo... onesha msimamo wa kipi unataka na kipi hutaki, na simamia

2. Experience.. hawa dada zetu wanataka mwanaume mwenye uzoefu wa mambo mengi ya maisha hasa mahusiano. Mpe mifano ya mahusiano mbalimbali ilivofanikiwa na kufa.

3. Onyesha kujali hata pasipo uwezo... onyesha kua ulitamani kumfanyia kitu flani alipopatwa na tatizo ukakwamishwa na pesa, muda (kuchelewa), umbali, jamii nk

4. Toa maana ya kila zawadi...
hii hata ukimpelekea pipi mweleze inamaana gani katika maisha yako na yake.

5. Toa Uhuru...
mpe uhuru wa kufunua hisia zake na kuzikubali.. hapa atakwambia aina ya sex position azipendazo, amefika au hajafika kileleni na mambo mengine mengi.

5. Utani na kutaniana...
kifupi kua mwaaume sio ukauzu na kukoroma koroma tuu.

6. Usikae kinyonge..
lazima ajue akizingua fasta ukosi chombo ingine yaan amsha amsha ziwe nyingi sio kila mara kumlilia na kumsifia ooh malaika sijui wewe kwako sijiwezi sijui ng'ang'a nyingi kana kwamba wewe (mwanaume) umeumbwa kwa ajili yake wakati yeye (mwanamke) ndo aliumbwa kwa ajili yetu... kifupi wanawake hawapendi weak men.

7. Usiwe na Huruma naye wala ustaarabu kwenye Sex... narudia tena hapa usimuonee huruma hata kama unamheshimu sijui unasali nae au anaonekana mtu wa dini saana... aiseeh do hardly, roughly and scream horror kuonesha una enjoy na kujua kazi ya uanaume wako.

🙄 Angalizo ukifanya hivi watakuroga na kukutia nuksi... mi mwenzunu sikuhiizi sipati hela maana kila demu anantolea chozi et kwann nimumuacha..

Fanya kwa demu uko na future nae au wife..
Uongo!
Ngoja apate lodi lofa!
Atakukimbia kama kipepe na utapokea matusi yote wayajuayo wanawake!
 
Kwamba saa nne unakua ushalala ama ni nini kinakufanya usitake kupigiwa muda huo au una michepuko unaogopa kukamatwa?
Si ndo unatengeneza mazingira mapema, tena unakua mkali kweli kwamba mda huo unakua ushalala
 
Uongo!
Ngoja apate lodi lofa!
Atakukimbia kama kipepe na utapokea matusi yote wayajuayo wanawake!
Mwanangu mi nazungumzia nnayoyaishi sio kuhadisiwa ni kweli wapo waliopata ma lodi lofa na bado walikua wananiletea mpaka mkwanja
 
[emoji17] jamani sasa hayo ndio mapenzi gani?
Mapenzi ni kama kuwahi nyota ya mwenzako kwakumshika mkono, mkono wako ukiwa juu ndo ushamlalia ivo hainuki tenaaaa unamtawala tuu....

So inawezekana kabisa na utaelewa tuu
 
Mambo vip,

Nataka niende straight kwa point,

Iko hivi nimekua na changamoto ya kutokuachwa kirahisi na mademu zangu kiasi ambacho washkaji wananiulizaga ni mbinu gani natumia mpaka huaga siachiki kirahisi na wanaokua wapenzi wangu hata kama wakijua natoka na wnawake wengine??

Kwanza nataka mtoe akili yakwamba mi nna mkwanja laah... yaani kwajinsi nilivo na maisha magumu kwa ndani (kwa nje huwezi dhania)
Na pia ni bahili mbaya mnoo hasa wa kuhonga otherwise tuspend tukiwa pamoja

Iko hivi, namna nnavoishi nao ni kama hivi;
1. Misimamo... onesha msimamo wa kipi unataka na kipi hutaki, na simamia

2. Experience.. hawa dada zetu wanataka mwanaume mwenye uzoefu wa mambo mengi ya maisha hasa mahusiano. Mpe mifano ya mahusiano mbalimbali ilivofanikiwa na kufa.

3. Onyesha kujali hata pasipo uwezo... onyesha kua ulitamani kumfanyia kitu flani alipopatwa na tatizo ukakwamishwa na pesa, muda (kuchelewa), umbali, jamii nk

4. Toa maana ya kila zawadi...
hii hata ukimpelekea pipi mweleze inamaana gani katika maisha yako na yake.

5. Toa Uhuru...
mpe uhuru wa kufunua hisia zake na kuzikubali.. hapa atakwambia aina ya sex position azipendazo, amefika au hajafika kileleni na mambo mengine mengi.

5. Utani na kutaniana...
kifupi kua mwaaume sio ukauzu na kukoroma koroma tuu.

6. Usikae kinyonge..
lazima ajue akizingua fasta ukosi chombo ingine yaan amsha amsha ziwe nyingi sio kila mara kumlilia na kumsifia ooh malaika sijui wewe kwako sijiwezi sijui ng'ang'a nyingi kana kwamba wewe (mwanaume) umeumbwa kwa ajili yake wakati yeye (mwanamke) ndo aliumbwa kwa ajili yetu... kifupi wanawake hawapendi weak men.

7. Usiwe na Huruma naye wala ustaarabu kwenye Sex... narudia tena hapa usimuonee huruma hata kama unamheshimu sijui unasali nae au anaonekana mtu wa dini saana... aiseeh do hardly, roughly and scream horror kuonesha una enjoy na kujua kazi ya uanaume wako.

🙄 Angalizo ukifanya hivi watakuroga na kukutia nuksi... mi mwenzunu sikuhiizi sipati hela maana kila demu anantolea chozi et kwann nimumuacha..

Fanya kwa demu uko na future nae au wife..
Changamoto ya mwanamke kukung'ang'ania ni ngumu sana.
 
BGD6DUNYHWW Imethibitishwa Tsh500,000.00 imetumwa kwa ...

Umepokea TSh 200,000 kutoka kwa Wakala -

Utambulisho wa Muamala: 2370468. Umepokea TSH 100.000 kutoka ...
 
Wahuni wahuni. Wadada wengi hawapendi wanaume wastaarabu.
Ustaarabu unaosema ni ile mtu anakuwa mstaarabu hadi kuvaa kwake nguo ni kama mzee wa miaka 60.
Mitoko hakuna, hana exposure ya vitu vingi, ye ni kanisani, kazini na nyumbani.
Pombe hanywi, yupo too seriously.



Kwa hawa dada zetu wa kupanda juu ya meza huku ile nyimbo inacheza :Music::EDMusic:mi napenda shishaaaaa shishaaaaa shishaaaa.... Hapo mahusiano hakuna.

Si kweli kwamba wanawake hawapendi wanaume wastaarabu kwa sababu kuna wanaume wastaarabu wanavuta bangi, kunywa pombe n.k
 
Back
Top Bottom