Pichan ni Donkey VSZebra (PUNDA)
1. Donkey amekosa uzuri (mvuto)ambao Zebra kabarikiwa
2. Licha ya kukosa uzuri lakin ndiye miongoni mwa wanyama wanofugwa/wanaoishi na watu at homes
3. Zebra na uzuri (mvuto) wake wote alionao lakini anaishi porini haishi nyumbani na watu kama donkey
4. Watu wanaingia Gharama wanatoka nyumbani wanaenda porini/mbugani kumuangalia tu Zebra na kumuacha huko huko mbugani
5. Hvi kwanini watu wasimchukue Zebra wakaishi nae nyumbani kupunguza gharama za kwenda kumuangalia mbugani?
N:B uzi huu hauna maana nyingine zaidi ya Donkey na zebra


1. Donkey amekosa uzuri (mvuto)ambao Zebra kabarikiwa
2. Licha ya kukosa uzuri lakin ndiye miongoni mwa wanyama wanofugwa/wanaoishi na watu at homes
3. Zebra na uzuri (mvuto) wake wote alionao lakini anaishi porini haishi nyumbani na watu kama donkey
4. Watu wanaingia Gharama wanatoka nyumbani wanaenda porini/mbugani kumuangalia tu Zebra na kumuacha huko huko mbugani
5. Hvi kwanini watu wasimchukue Zebra wakaishi nae nyumbani kupunguza gharama za kwenda kumuangalia mbugani?
N:B uzi huu hauna maana nyingine zaidi ya Donkey na zebra